Tahadhari epukeni gesti za bei poa uswazi

Tahadhari epukeni gesti za bei poa uswazi

mshana jr sio haba hadi na wa bei poa we unao-poa

au ndo kuisoma namba

Kuna siku nilikwenda na mtoto G house ya buku mbili nilitoka na mifugo(kunguni). sasa asubuhi nipo kanisani mtu akanigusa anamuona mfugo unaingia bandani (makalioni). niliacha kwenda mwaka mzima kwa aibu ya hawa jamaa.
[emoji23]
 
Dah,juzi Kati nilitaka kuchukua mlupo mahali,tulichoshindwana anataka akanilaze kwenye guest aliyochukua yy,kiukweli ilibidi niachane coz nilihisi ana yake zaidi tuliyokubaliana
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Ha ha haaaaa hapana kwakweli nimecheka hizo style zako zikitoka nje kwa walimwengu sura yako utaiweka wapi[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Aisee...video yangu inatoka nmemshikisha mtu socket
 
Aisee...video yangu inatoka nmemshikisha mtu socket
Utakua una kibarua kizito mtaani unapoishi na maeneo unayotafutia mkate bora mtaani utakua unatoka usiku unarudi usiku[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Utakua una kibarua kizito mtaani unapoishi na maeneo unayotafutia mkate bora mtaani utakua unatoka usiku unarudi usiku[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unakuwa kauzu tu baada ya muda inakuwa Sio ishu tena
 
Mmmmh kumbe kuna guest za bei rahisi hivyo eti Tshs: 2,000/= hadi Tshs: 5,000/= Mimi najua guest za bei chee ni Tshs: 50,000/=

Kweli tembea uyaone.
Kukaa ndani kama mwali sio ishu.
 
Hahhaha
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
Mmmmh kumbe kuna guest za bei rahisi hivyo eti Tshs: 2,000/= hadi Tshs: 5,000/= Mimi najua guest za bei chee ni Tshs: 50,000/=

Kweli tembea uyaone.
Kukaa ndani kama mwali sio ishu.
Acha kujikuta wewe..
 
Kuna kitu nimeking'amua sasa mwisho wa siku. Kuna magroup haya ya "Malaya" utakuta wameweka mabandiko kuwa, kwa picha zake ni sh 5000, vidz anazogegedwa sh 10000, anazoliwa tigo 20000 na anazonyonya ndushe, 15000. Nikawa najiuliza sana, hizo vidz wanazichukuaje! Sasa nimeanza kuupata mwanga
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Back
Top Bottom