Tahadhari epukeni gesti za bei poa uswazi

Tahadhari epukeni gesti za bei poa uswazi

Mshana jr sio haba hadi na wa bei poa we unao-poa

Au ndo kuisoma namba

Kuna siku nilikwenda na mtoto G house ya buku mbili nilitoka na mifugo(kunguni). sasa asubuhi nipo kanisani mtu akanigusa anamuona mfugo unaingia bandani (makalioni). niliacha kwenda mwaka mzima kwa aibu ya hawa jamaa.
😂😂😂😂😂😂 Bedbug alikua anaelekea kubaya mkuu angekutekenya kinomaa
 
Dah kuna gest niliendaga Manzese yani ile gesti aisee kwanza mlango hauna koromeo wala kitasa unafunga na waya , halafu switch ya taa ndo iyo iyo switch ya feni kwaiyo ukisema uzime taa ndani joto 😂 ile siku nahisi kabisa nilipigwa chabo sana
 
Kuzima taa ni hatari zaidi kwani kama mwili wote umejaa UKURUTU na mabaka mabaka kama kenge hutaona lakini taa ikiwashwa UNAGHAIRI na kuwambia nyege zimeisha hutaki tena papuchi
🤣🤣🤣🤣
Kuna vibinti na mashangingi yaliyoshindikana yanadhalilisha wanaume. Vigesti vya bei poa vina mambo ya ajabu. Vimetegeshewa darubini zisizoonekana kwenye mwanga hafifu wa taa na hata smart phone kwa sasa.

Kuna wapenda chabo hulipia hiyo huduma Kuona ngono live. Wanaume wanadhalilika na kudhalilishwa huko bila kujijua. Mitindo ya tanganyika jeki cha kati.

Mchuzi juu na mingineyo ni dhalili kwa wanaume bila kujijua wanaonwa live. Vile vibinti na ile michangu usione unaifanya matusi kwa bei poa ikaridhika, kuna malipo mengine yanawasubiri. Kama huwezi kabisa kujizuia kwenda huko hakikisha hukubali masharti yao ya ziada na tafadhali zima taa ujilie vyako gizani! Utaokoka na mengi. LAKINI kabla ya kuzima taa hakikisha unamkagua vizuri afya yake akiwa mtupu[emoji1].

3c6102cddced6cc7a178ed11be4255a7.jpg
 
dah kuna gest niliendaga manzese yani ile gesti aisee kwanza mlango hauna koromeo wala kitasa unafunga na waya , halafu switch ya taa ndo iyo iyo switch ya feni kwaiyo ukisema uzime taa ndani joto [emoji23] ile siku nahisi kabisa nilipigwa chabo sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
dah kuna gest niliendaga manzese yani ile gesti aisee kwanza mlango hauna koromeo wala kitasa unafunga na waya , halafu switch ya taa ndo iyo iyo switch ya feni kwaiyo ukisema uzime taa ndani joto [emoji23] ile siku nahisi kabisa nilipigwa chabo sana
Daah ulitisha mwamba hukuwa na Ela nini

Huko wanaenda waizi ,vibaka
 
dah kuna gest niliendaga manzese yani ile gesti aisee kwanza mlango hauna koromeo wala kitasa unafunga na waya , halafu switch ya taa ndo iyo iyo switch ya feni kwaiyo ukisema uzime taa ndani joto 😂 ile siku nahisi kabisa nilipigwa chabo sana
😅😅😅🙌🙌🙌🙌 Wahuni sio watu
 
Kuna mwana kule Mwananyamala ndio alikuwa bingwa wa chabo yani hakuwa na mpinzani.. Alistaafu chabo baada ya siku moja bila kujua akajikuta anayempiga chabo ni mama yake mzazi na anapelekewa moto buza kwananihii
Ha ha ha ha ha ha ah ha ha ha lazimaa astaafu dadekiii hiyo bonge ya fimboooo

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kuna vibinti na mashangingi yaliyoshindikana yanadhalilisha wanaume. Vigesti vya bei poa vina mambo ya ajabu. Vimetegeshewa darubini zisizoonekana kwenye mwanga hafifu wa taa na hata smart phone kwa sasa.

Kuna wapenda chabo hulipia hiyo huduma Kuona ngono live. Wanaume wanadhalilika na kudhalilishwa huko bila kujijua. Mitindo ya tanganyika jeki cha kati.

Mchuzi juu na mingineyo ni dhalili kwa wanaume bila kujijua wanaonwa live. Vile vibinti na ile michangu usione unaifanya matusi kwa bei poa ikaridhika, kuna malipo mengine yanawasubiri. Kama huwezi kabisa kujizuia kwenda huko hakikisha hukubali masharti yao ya ziada na tafadhali zima taa ujilie vyako gizani! Utaokoka na mengi. LAKINI kabla ya kuzima taa hakikisha unamkagua vizuri afya yake akiwa mtupu[emoji1].

3c6102cddced6cc7a178ed11be4255a7.jpg
Kabisa
 
Back
Top Bottom