Tahadhari epukeni gesti za bei poa uswazi

[emoji23]
 
Dah,juzi Kati nilitaka kuchukua mlupo mahali,tulichoshindwana anataka akanilaze kwenye guest aliyochukua yy,kiukweli ilibidi niachane coz nilihisi ana yake zaidi tuliyokubaliana
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Ha ha haaaaa hapana kwakweli nimecheka hizo style zako zikitoka nje kwa walimwengu sura yako utaiweka wapi[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Aisee...video yangu inatoka nmemshikisha mtu socket
 
Aisee...video yangu inatoka nmemshikisha mtu socket
Utakua una kibarua kizito mtaani unapoishi na maeneo unayotafutia mkate bora mtaani utakua unatoka usiku unarudi usiku[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Utakua una kibarua kizito mtaani unapoishi na maeneo unayotafutia mkate bora mtaani utakua unatoka usiku unarudi usiku[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unakuwa kauzu tu baada ya muda inakuwa Sio ishu tena
 
Mmmmh kumbe kuna guest za bei rahisi hivyo eti Tshs: 2,000/= hadi Tshs: 5,000/= Mimi najua guest za bei chee ni Tshs: 50,000/=

Kweli tembea uyaone.
Kukaa ndani kama mwali sio ishu.
 
Hahhaha
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
Mmmmh kumbe kuna guest za bei rahisi hivyo eti Tshs: 2,000/= hadi Tshs: 5,000/= Mimi najua guest za bei chee ni Tshs: 50,000/=

Kweli tembea uyaone.
Kukaa ndani kama mwali sio ishu.
Acha kujikuta wewe..
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…