Tahadhari: Giza limeota macho halafu lina masikio

Inatisha Mkuu naona hata Burundi na Rwanda zitakuwa na ahueni siye tutachukua nambari ya juu kabisa kwa giza nene litakalotanda kila kona. Ukiguna tu umezingirwa, ukikohoa tu umezingirwa cha kusikitisha pamoja na hali hii ya kutisha ikizidi kushamiri nchini wastaafu ambao bado wanaheshimika sana nchini kama SAS, Warioba na labda Mzee RUKHSA wako kimyaaa kabisa. Panapofuka moshi........., na moto ukishawaka basi kuuzima kwake ni shiiiidaaaaaaaaaaaaaaaah!

Namuona kui anakodolea macho huu uzi kimya kimya ni aje kui? 😛😛😛

 
Online Typing...........
We know where you are
You cannot hide
You cannot run
We will pick you up in minutes
BIG BROTHER IS WATCHING YOU NOW........
 
Online Typing...........
We know where you are
You cannot hide
You cannot run
We will pick you up in minutes
BIG BROTHER IS WATCHING YOU NOW........
the once thought to be imagination or fictional stories in the art of carving and drawings is now becoming real in the terrifying states....
Once upon a time I was told that politik is the opium of the society...!
 
Ila kuna kitu kibaya kinajengwa....hebu angalia upinzani unavyonyanyaswa ndani ya jumuiya nzima ya Afrika mashariki
Wapinzani wanakuwa kama vigeugeu .
Jana ilikuwa posho hawaitaki (hapana kabisa) leo posho haki yao. Piga pingu wapate msimamo.
Jana ilikuwa fisadi kuu leo malaika wa mkuu , piga pingu watuambie kulikoni.
Elimu bure kabisa...... hapana ....Kesho Ndiyo, Kesho kutwa hapana, vigeugeu mpaka lini?
Watoto wetu... Watoto wetu..... Sukari yetu sukari yetu .....mpaka lini?
Piga pingu mpaka sukari waitoe.
Piga pingu mpaka wachonge madawati.

Kwa nini hawawajibishwi kwa matamshi yao?
Piga pingu hao mpaka wajue nidhamu ya kuwajibika .
Watu wanakufa kwa maandamano, risasi, marungu Kisa mwenyekiti kasema kweli, Kesho mwenyekiti kakimbia ... Leo karudi kuomba kuwa mwenyekiti mtiifu.
kwa damu walizo pelekea kumwagika piga pingu.

Too much talking and doing nothing at the expense of Democracy.
 
Ndo kisa na maana cha kumtoleeni simu ati Feki
 
Kuna daladala imeandikwa dirisha dogo...nikadhani ni kiini cha kwenye makalio.
Duh! Kumbe.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…