Tahadhari: Giza limeota macho halafu lina masikio

Tahadhari: Giza limeota macho halafu lina masikio

Inatisha Mkuu naona hata Burundi na Rwanda zitakuwa na ahueni siye tutachukua nambari ya juu kabisa kwa giza nene litakalotanda kila kona. Ukiguna tu umezingirwa, ukikohoa tu umezingirwa cha kusikitisha pamoja na hali hii ya kutisha ikizidi kushamiri nchini wastaafu ambao bado wanaheshimika sana nchini kama SAS, Warioba na labda Mzee RUKHSA wako kimyaaa kabisa. Panapofuka moshi........., na moto ukishawaka basi kuuzima kwake ni shiiiidaaaaaaaaaaaaaaaah!

Namuona kui anakodolea macho huu uzi kimya kimya ni aje kui? 😛😛😛

Tunataka au tunaelekea kufananua na Burundi na Rwanda in terms of freedom of speech....
Kuna kitu kinajaribu kujengwa kwenye hii jumuiya.... Tanzania ndio ilikuwa kimbilio lakini sasa mmh!!!
Ya Uganda ya Kenya ya Burundi na Rwanda katika ujumla wake yameshapandikizwa kwetu tayari
Nini kinafuata?
 
Online Typing...........
We know where you are
You cannot hide
You cannot run
We will pick you up in minutes
BIG BROTHER IS WATCHING YOU NOW........
 
Online Typing...........
We know where you are
You cannot hide
You cannot run
We will pick you up in minutes
BIG BROTHER IS WATCHING YOU NOW........
1466574604292.jpg
the once thought to be imagination or fictional stories in the art of carving and drawings is now becoming real in the terrifying states....
Once upon a time I was told that politik is the opium of the society...!
 
Ila kuna kitu kibaya kinajengwa....hebu angalia upinzani unavyonyanyaswa ndani ya jumuiya nzima ya Afrika mashariki
Wapinzani wanakuwa kama vigeugeu .
Jana ilikuwa posho hawaitaki (hapana kabisa) leo posho haki yao. Piga pingu wapate msimamo.
Jana ilikuwa fisadi kuu leo malaika wa mkuu , piga pingu watuambie kulikoni.
Elimu bure kabisa...... hapana ....Kesho Ndiyo, Kesho kutwa hapana, vigeugeu mpaka lini?
Watoto wetu... Watoto wetu..... Sukari yetu sukari yetu .....mpaka lini?
Piga pingu mpaka sukari waitoe.
Piga pingu mpaka wachonge madawati.

Kwa nini hawawajibishwi kwa matamshi yao?
Piga pingu hao mpaka wajue nidhamu ya kuwajibika .
Watu wanakufa kwa maandamano, risasi, marungu Kisa mwenyekiti kasema kweli, Kesho mwenyekiti kakimbia ... Leo karudi kuomba kuwa mwenyekiti mtiifu.
kwa damu walizo pelekea kumwagika piga pingu.

Too much talking and doing nothing at the expense of Democracy.
 
7243ac8f950065ef79756575aba34f6d.gif

Ndugu zangu hamkani si shwari tena...you are being watched n monitored!take care
Uhuru wa kupashana habari umeingia kitanzini... mitandao ya kijamii imebanwa mbavu.... mada nyingi zenye kukosoa utendaji hazidumu tena popote
Kamatakamata ya kimyakimya inaendelea....kama wewe ni mpenzi na mkereketwa wa siasa za upinzani..badili mtazamo wako sasa...kimenuka na kumenuka
Tunarudi kwenye zama za kuongelea chini ya zulia kunong'ona na kunong'onezana utafikiri mahaba ya wizi
Tunarudi kwenye zama za kuangalia kushoto na kulia mbele na nyuma juu na chini kabla hatujaongea dukuduku
Ni kama maji yenye kina kirefu sana..yametulia tuli lakini Usijaribu kuingia....!tutakupoteza mara
6605ebd857797d297e46ae415f6e3207.gif

Kuna jicho kali katili kizani LIOGOPE...! Tena liogope hasa..koleo na bisibisi vipo tena vipo sana na vimekolezwa makali...! Lala ukijua hilo amka ukitafakari
Nilisema na naomba niseme tena wakimaliza juu wakimaliza katikati watakuja chini....hawako mbali sasa...hawaonekani kwa macho lakini mvumo wao unasikika...JIHADHARI
Where we dare to talk openly inaelekea kubaki story[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji15] [emoji35] [emoji15] [emoji35] [emoji25] [emoji25] zinaumiza sana hizi hisia... tunaupa mwanga kisogo na kulikabili giza linaloogofya...! Giza lenye macho makali na masikio marefu
92ecb61688981daa08d99db02cbe7c10.jpg

Wakati utaamua...! Wakati utasema...! Lakini kwasasa vuta handbrake...! You are being watched n monitored
Ndo kisa na maana cha kumtoleeni simu ati Feki
 
Kuna daladala imeandikwa dirisha dogo...nikadhani ni kiini cha kwenye makalio.
Duh! Kumbe.........
 
Back
Top Bottom