Tahadhari: Giza limeota macho halafu lina masikio

Duh jua limezama nani kalizamisha..?
sisi wenyewe ama kuna mwengine...
 
ata wang'ulike kwa miale ya dhahabu kwa giza kama hilo uliloandika hawawezi kupata mwanga...na hiyo miale haiwezi kukuzunguka mzee mwenzangu ebu nifundishe utundu wa kuzungusha maneno...kama hivyo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wa nini?
Kuna watu wananifuata fuata nataka niwaogopeshe wakija kwangu nawafungulia mlango na lipaka langu leusiiiii.......Ninavyowafahamu nyumbani kwangu watapaona kituo cha polisi.

Matani pembeni tanzania inarudi karne iliyopita. Uongozi wa awamu hii hawajui kutisha na kunyamazisha watu walio jikatia tamaa na hawana cha kupoteza ni hatari sana. Stahiki zao hawapati halafu wananyimwa kuuliza kwa nini inakuwa hivyo.
 
Kuna watu wananifuata fuata nataka niwaogopeshe wakija kwangu nawafungulia mlango na lipaka langu leusiiiii.......Ninavyowafahamu nyumbani kwangu watapaona kituo cha polisi.
Chukua pembe 2 za ng'ombe zijaze udongo kisha chomeka manyoya juu yake halafu ufunge na vitambaa chekundu na cheupe halafu ning'iniza juu ya mlango au kwenye kiambaza huku ukiwa umezimwagia damu ya kawaida kabisa ya ng'ombe
Au chonga sanamu kama hii au ile ya Babayaga
 

kuna vidime viko kazini, I thing they have already script everything, they are now acting, lets watch and see, and wherever possible lets take a chance and win the game, no matter what.
 
kuna vidime viko kazini, I thing they have already script everything, they are now acting, lets watch and see, and wherever possible lets take a chance and win the game, no matter what.
Naona kama jumuiya inatumika na kutumiwa vibaya kisiasa kwa faida na malengo ya kikundi fulani cha watu
 
duuuh,inabidi tuanze kuimba zile pambio za kidumu chama cha mitume na manabii
Piga makofi kwa kwa kwaa
Imba
Naapa na ahidi mbele ya Chama Mapinduzii nitakulinda mpaka ku ufaaa
(lakini si mapinduzi hii)
 
Mshana umesema kweli.
Anza na hapa :anatega!
Sasa iga ufe.....
alisema wale buku 7 alianza nao na atamaliza nao
sasa hapo "mkoma nyani atakuwa nani? "
ccm malingalinga mpaka inatia huruma. .disco limeingia mmasai.
...!.....kapewa rungu...!.....kakimbia na nguo[emoji87] [emoji134] [emoji134] [emoji85] [emoji144] [emoji144] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
duu hii shida sasa MUNGU atujaalie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…