Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii pic hata cjailewa kaka....[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
![]()
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hapa kazi tuu...hata kama kazi yenyewe inakufanya usijue ya mbeleni
kazi kazi tu hakuna kuwaza wala kufikiri ni mwendo wa kazi tu ukichoka unalala ukiamka kazi tu mpaka kazi iishe sijui itaisha lini hii kazi....![emoji23] [emoji23] [emoji23] hapa kazi tuu...hata kama kazi yenyewe inakufanya usijue ya mbeleni
Ngumu kumesa
Ah ah ah ah naona hajaangalia muda na hizo picha zakeHivi mshana unajua sa hivi ni sa ngapi
Huyo anayesimamia anakuwa ni nani?Kma ukitumia vibaya kitu cgochote na akawepo wa kukusimamia kukuelekeza utumie vzur bado utaona unaonewa
Pumba tu hueleweki upo upande gan kutaka maendeleo au kupinga maendeleo.... Mmetaka maendeleo hlf mnayaogopa... Kwan kuna faida gan mwanaume ukisifiwa kuongeaInatisha Mkuu naona hata Burundi na Rwanda zitakuwa na ahueni siye tutachukua nambari ya juu kabisa kwa giza nene litakalotanda kila kona. Ukiguna tu umezingirwa, ukikohoa tu umezingirwa cha kusikitisha pamoja na hali hii ya kutisha ikizidi kushamiri nchini wastaafu ambao bado wanaheshimika sana nchini kama SAS, Warioba na labda Mzee RUKHSA wako kimyaaa kabisa. Panapofuka moshi........., na moto ukishawaka basi kuuzima kwake ni shiiiidaaaaaaaaaaaaaaaah!
Namuona kui anakodolea macho huu uzi kimya kimya ni aje kui? 😛😛😛