Hahahaaaa jamaa kaandika maneno matano umemjibu ukurasa mzima, angeandika ukurasa je, si ungeandaa kitabu kizima.Acha unafiki wewe simba haijawahi kufikia huko historia hiyo wanayo Chura tu (Yanga) walimfukuza mchunga na madega wakiwa wenyeviti wa Yanga kwa wakati tofauti kwa mawe mpk mchunga alitoroka kwa kupitia dirishani. Simba wasomi wengi waliojaa busara na hekima.
Wasomi Simba! Hahahaaa.. Asikusikie Aden Rage! Walioitwa mambumbumbu na mwenyekiti wao wa Club ni team ipi!Acha unafiki wewe simba haijawahi kufikia huko historia hiyo wanayo Chura tu (Yanga) walimfukuza mchunga na madega wakiwa wenyeviti wa Yanga kwa wakati tofauti kwa mawe mpk mchunga alitoroka kwa kupitia dirishani. Simba wasomi wengi waliojaa busara na hekima.
Kaka nenda kajifunze sheria ya mkataba ( contact law) simba mpk sasa wameingia mkataba na mdhamini mmoja tu naye ni sport pesa. Mo siyo mdhamini bali alikuwa anaikopesha timu na deni lake mpk sasa ni 1.4 bilion mdhamini hakopeshi sisi wana msimbazi ndo tunajua nyie wapita njia hamjui chochote kuhusu simbaWasomi Simba! Hahahaaa.. Asikusikie Aden Rage! Walioitwa mambumbumbu na mwenyekiti wao wa Club ni team ipi!
Wanaodai points 3 ilihali wamefungwa na wamekiuka kanuni za rufaa ni nani..
Walioshindwa kuisoma na kuielewa mikataba ya wadhamini wa Club na kuingizwa Chaka na Sportpesa ni nani.... Hao ndo wasomi sio,. Hahahahaaaa
Hivi mkopo hauna mkataba?.... Mkataba ni nini msomi wa SimbaKaka nenda kajifunze sheria ya mkataba ( contact law) simba mpk sasa wameingia mkataba na mdhamini mmoja tu naye ni sport pesa. Mo siyo mdhamini bali alikuwa anaikopesha timu na deni lake mpk sasa ni 1.4 bilion mdhamini hakopeshi sisi wana msimbazi ndo tunajua nyie wapita njia hamjui chochote kuhusu simba
Kipukuswa alikuwa hajui kusoma wala kuandika na aliiongoza simba ya wasomiAcha unafiki wewe simba haijawahi kufikia huko historia hiyo wanayo Chura tu (Yanga) walimfukuza mchunga na madega wakiwa wenyeviti wa Yanga kwa wakati tofauti kwa mawe mpk mchunga alitoroka kwa kupitia dirishani. Simba wasomi wengi waliojaa busara na hekima.
Wamesoma sana kaswidaaaaWasomi Simba! Hahahaaa.. Asikusikie Aden Rage! Walioitwa mambumbumbu na mwenyekiti wao wa Club ni team ipi!
Wanaodai points 3 ilihali wamefungwa na wamekiuka kanuni za rufaa ni nani..
Walioshindwa kuisoma na kuielewa mikataba ya wadhamini wa Club na kuingizwa Chaka na Sportpesa ni nani.... Hao ndo wasomi sio,. Hahahahaaaa
Mkataba ni makubaliano yoyote yanayotambulika kisheria.kulikuwa na makubaliano kati ya simba na Dewj ambayo yamekiukwa.Kaka nenda kajifunze sheria ya mkataba ( contact law) simba mpk sasa wameingia mkataba na mdhamini mmoja tu naye ni sport pesa. Mo siyo mdhamini bali alikuwa anaikopesha timu na deni lake mpk sasa ni 1.4 bilion mdhamini hakopeshi sisi wana msimbazi ndo tunajua nyie wapita njia hamjui chochote kuhusu simba
Aliwakopesha kwa maneno?Kaka nenda kajifunze sheria ya mkataba ( contact law) simba mpk sasa wameingia mkataba na mdhamini mmoja tu naye ni sport pesa. Mo siyo mdhamini bali alikuwa anaikopesha timu na deni lake mpk sasa ni 1.4 bilion mdhamini hakopeshi sisi wana msimbazi ndo tunajua nyie wapita njia hamjui chochote kuhusu simba
Kama yana legal entity mwambieni aende mahakama Kichwa chenye akili kubwa Aveva kashasainiMkataba ni makubaliano yoyote yanayotambulika kisheria.kulikuwa na makubaliano kati ya simba na Dewj ambayo yamekiukwa.
Nyinyi si mbumbumbu Fc hamjui haki zenu.Acha unafiki wewe simba haijawahi kufikia huko historia hiyo wanayo Chura tu (Yanga) walimfukuza mchunga na madega wakiwa wenyeviti wa Yanga kwa wakati tofauti kwa mawe mpk mchunga alitoroka kwa kupitia dirishani. Simba wasomi wengi waliojaa busara na hekima.
Aveva ana akili kubwa? Toka lini,Aveva kilaza yule,kama Aveva ana akili kubwa basi,Simba ni nzi na mkiacha ujinga ipo siku mtatengeneza asali.Kama yana legal entity mwambieni aende mahakama Kichwa chenye akili kubwa Aveva kashasaini
Sasa hivi wanatengeneza point za mezaniAveva ana akili kubwa? Toka lini,Aveva kilaza yule,kama Aveva ana akili kubwa basi,Simba ni nzi na mkiacha ujinga ipo siku mtatengeneza asali.
Hawatazipata,safarii yule Manara wao alisema wakikosa Ubingwa anamuoa wema sepetu na amuoe sasa,Sasa hivi wanatengeneza point za mezani
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Aveva kashituka mhindi alikuwa anataka aendelee kutukopesha kesho itokee kama vyura fc deni la bilion 11 Aveva hapendi ujinga kaka.Aveva ana akili kubwa? Toka lini,Aveva kilaza yule,kama Aveva ana akili kubwa basi,Simba ni nzi na mkiacha ujinga ipo siku mtatengeneza asali.
Malizia wasiochukua kombe miaka nenda miaka rudi..............Acha unafiki wewe simba haijawahi kufikia huko historia hiyo wanayo Chura tu (Yanga) walimfukuza mchunga na madega wakiwa wenyeviti wa Yanga kwa wakati tofauti kwa mawe mpk mchunga alitoroka kwa kupitia dirishani. Simba wasomi wengi waliojaa busara na hekima.
Aveva kilaza tuuu .Aveva kashituka mhindi alikuwa anataka aendelee kutukopesha kesho itokee kama vyura fc deni la bilion 11 Aveva hapendi ujinga kaka.
Simba wasomi wengi akina bi. Hindu na MsagasumuAcha unafiki wewe simba haijawahi kufikia huko historia hiyo wanayo Chura tu (Yanga) walimfukuza mchunga na madega wakiwa wenyeviti wa Yanga kwa wakati tofauti kwa mawe mpk mchunga alitoroka kwa kupitia dirishani. Simba wasomi wengi waliojaa busara na hekima.
Umeua!Wasomi Simba! Hahahaaa.. Asikusikie Aden Rage! Walioitwa mambumbumbu na mwenyekiti wao wa Club ni team ipi!
Wanaodai points 3 ilihali wamefungwa na wamekiuka kanuni za rufaa ni nani..
Walioshindwa kuisoma na kuielewa mikataba ya wadhamini wa Club na kuingizwa Chaka na Sportpesa ni nani.... Hao ndo wasomi sio,. Hahahahaaaa