Yanga bila kufanya vile mpaka leo ingekua kama sembo,,,lakini kwa utashi na umakini na kujivika bomu la kuthubutu kuwafukuza mabwana wale,,ndio maana leo hii tunaringa na makombe yetu mtaani,,huku nyie mkiwaonea haya aveva na kabulu,,amkeni nyie sembo..ndiomaan kila mkiamka kumekucha,, saa hii mmeamkia fifa.....Acha unafiki wewe simba haijawahi kufikia huko historia hiyo wanayo Chura tu (Yanga) walimfukuza mchunga na madega wakiwa wenyeviti wa Yanga kwa wakati tofauti kwa mawe mpk mchunga alitoroka kwa kupitia dirishani. Simba wasomi wengi waliojaa busara na hekima.
Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app