Umeanza uongo wewe. Haya tuambie uchawi wake ni upi??Ushirikina upo wa aina nyingi sana, mwingine unatumika kupitia maisha ya kila siku hata haujui kama ni ushirikina.
Mfano; pesa unayotumia unajua ina uchawi?.
Ninachostaajabu, kila mleta mada kuelezea jambo hili, ni lazima akosee mpangilio wa kialphabet kuliandika!Haya mambo sitaki hata kujaribu kuyafanya sitaki linikute Jambo nikakutana na MIMI mwingine sasa MIMI kisanga huyo mwingine atakuaje?
Babe nisamehe, bado nataka kuwa nawe ππΉπΉπΉπΉ Nishapewa RB wanakuja kukukamata
Hawa vijana aisee.Una joto? Mbona unaingiza habari za kikahaba?? ππ
Watafute wale wapenzi wa hizo story mliozoeshana kuongea utumbo, hapa umepotea njia..!!
fursa iyo hapo utaliita jini litakuletea mihela lazima litakupa mashariti yaani hapo ni sawa umepata nyumba bila dalali (mganga)Kitanisaidiaje kuondokana na huu umasikini?
Maisha ya masharti hayana furaha kwenye nafsifursa iyo hapo utaliita jini litakuletea mihela lazima litakupa mashariti yaani hapo ni sawa umepata nyumba bila dalali (mganga)
Kweli kabisaa βMaisha ya masharti hayana furaha kwenye nafsi
Pesa ina uchawi katika mrengo gani?Ushirikina upo wa aina nyingi sana, mwingine unatumika kupitia maisha ya kila siku hata haujui kama ni ushirikina.
Mfano; pesa unayotumia unajua ina uchawi?.
Tatizo hawafanyi kazi ndiomana muda wote miili inawanyevua πΉπΉπΉHawa vijana aisee.
Wakiona id ya kike tu basi mawazo yao ni kwenye mizagamuo tu bila kujali uzi unahusu nini..
Pamoja na jf kua na jukwaa la mapenzi lakini bado vijana hawapitii utelezi.
Msamehe bure.
Jambo lolote ukifanya na kukuletea vitu visivyoonekana kwa macho halisi wao wanaita shirki, ila kuna namna ya kisomi ambayo siyo shirki kama kujenga madaja kisha baadhi yao wakafa kizembe wkt wa ujenzi ila wao hawafi, π!.Ushirikina huu