Wewe Kama nani unayaongea hayo? Kama bosi mkuu ni mama'ko pale tume Basi sawa mkuu hatutapinga!
Shangaa wewe..[emoji3][emoji3],hawa watu akili zao wanazijua wenyeweKwahiyo sasa hivi shida siyo tume huru tena bali mtu atakaesimama upinzani?
Kwahiyo sasa hivi shida siyo tume huru tena bali mtu atakaesimama upinzani?
Sikuwa nikimaanisha hilo. Nililenga zaidi Mwamko wa siasa za upinzani.
Acha ujingaLissu ndiye chaguo la watanzania
MnyarwandaMwananchi wakawaida
Basi utakuwa umevimbiwa boss.
mimi binafsi asiposimama lissu CHADEMA hawatapata kura yangu hata moja
Na wewe pia shangaa unaruhusiwa tu mkuu!Shangaa wewe..[emoji3][emoji3],hawa watu akili zao wanazijua wenyewe
Tabu ipo palepale[emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]Na wewe pia shangaa unaruhusiwa tu mkuu!
Ukweli mchungu, lissu ataungwa mkono na watu wengi sana.Tofauti na jpm mbaguzi
Mmawia tarehe 29 uijuayo, naamini utapotea hapa na msuba utakuwa umekwisha kichani, tunajua sio wewe ila kitu kingine kinasema kichwani.Lissu anatufaa sisi watanzania woote
Tumaini la wafuasi wa siasa za Upinzani wa vyama vya siasa nchini na katika uchaguzi 2020 ni Comrade Tundu Lisu . Kwa mtizamo wa wengi na kwa utafiti niliofanya, Lisu is the last breath, any other way round is a stupidity! Take note! Kamati za Chama Chake kuweni makini kuanzia leo hadi kitakapoeleweka!
Tusitishane meku!
Ni Lissu msihofu wapiganaji.Tumaini la wafuasi wa siasa za Upinzani wa vyama vya siasa nchini na katika uchaguzi 2020 ni Comrade Tundu Lisu . Kwa mtizamo wa wengi na kwa utafiti niliofanya, Lisu is the last breath, any other way round is a stupidity! Take note!
Kamati za Chama Chake kuweni makini kuanzia leo hadi kitakapoeleweka!
NEC itawakata wagombea wote wa CHADEMA kama katika uchaguzi wa serikali za mitaaHahaha bahati mbaya sifa hana...ana mikesi chungu nzima, hiyo tisa, kumi ni katika issue za madini 'makanikia' upande aliokuwa akiutetea kwelikweli 'acacia' ilidhibitika walikua totaly wrong...so uhalali wakupewa fomu ya kugombea nafasi nyeti hana
Kwa hivyo watupilie mbali Democracy, na wafanye uchaguzi wa ki Dictator. Mbona mnafanya Lissu Mungu Mtu. Mna system na mkiivunja hiyo sheria na system yenu, basi mjue hamna haki ya kulalamikia serekali ifanyapo yake. You loose all legal right to criticizeTumaini la wafuasi wa siasa za Upinzani wa vyama vya siasa nchini na katika uchaguzi 2020 ni Comrade Tundu Lisu . Kwa mtizamo wa wengi na kwa utafiti niliofanya, Lisu is the last breath, any other way round is a stupidity! Take note!
Kamati za Chama Chake kuweni makini kuanzia leo hadi kitakapoeleweka!
Ajili kiduchu hizi!Hahaha bahati mbaya sifa hana...ana mikesi chungu nzima, hiyo tisa, kumi ni katika issue za madini 'makanikia' upande aliokuwa akiutetea kwelikweli 'acacia' ilidhibitika walikua totaly wrong...so uhalali wakupewa fomu ya kugombea nafasi nyeti hana