Uchaguzi 2020 Tahadhari kuhusu Uwepo wa Vituo Feki/ Bubu/ Hewa vya Kupigia Kura

Uchaguzi 2020 Tahadhari kuhusu Uwepo wa Vituo Feki/ Bubu/ Hewa vya Kupigia Kura

Loxodona

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2019
Posts
354
Reaction score
618
Nimeona Video clip inayomwonyesha Mgombea Ubunge wa CHADEMA Nyamagana (John Pambalu) akishtukia uwepo wa kituo Feki/Bubu/Hewa Jimboni humo.

Namba ya utambulisho wa Kituo hicho haikuwepo kwenye orodha ya Vituo halali vya Kupigia Kura Jimboni hapo na wala Tume haikuapisha Mawakala wa Kituo hicho kinachodhaniwa kuwa ni Kituo Feki/ Bubu/ Hewa.

Hali hii ya uwepo wa Vituo Feki/ Bubu/ Hewa huenda ipo nchi nzima. Hivyo ni muhimu wagombea wote hasa wa Upinzani wahakiki idadi na namba za utambulisho wa kila Kituo cha Kupigia Kura katika maeneo Yao Ili kudhibiti udanganyifu wa Aina hii. Katika mazingira ya sasa, haiwezekani uwepo wa kituo Feki/ Bubu/ Hewa ukawa ni bahati mbaya.

Ikumbukwe kwamba uwepo wa Vituo FEKI/HEWA/BUBU ni kiashiria Kikuu cha KUWEPO Kwa Kura FEKI sehemu (in the form of hard copy or soft copy). Hivyo kudhibiti vituo FEKI ni kudhibiti Kura FEKI na ushindi FEKI.

Tundu Lissu, Mnyika na Zitto wahimizeni wagombea na viongozi wenu nchi nzima kuhakiki na kubaini Vituo Feki/Bubu/Hewa Ili kuzuia goli la Mkono.
 
Acha na vituo feki...kuna mzigo haswa wa kura feki..mzigo wa kutosha..yani unakuta mzigo una kartasi kama laki mbili yana tiki za çcm..huu wameshauandaa kureplace kura za upinzani.

Na Wana mabohari yao wanahifadhi ndo maana NEC wanazuia watu kulinda kura ili wafanye vema madudu yao.

Uchaguzi huu muhujumu wa kwanza ni Nec! Wakifuatia wagombea.

NEC wameruhusu rafu,wameruhusu hujuma.wamenunuliwa.
 
Acha na vituo feki...kuna mzigo haswa wa kura feki..mzigo wa kutosha..yani unakuta mzigo una kartasi kama laki mbili yana tiki za çcm..huu wameshauandaa kureplace kura za upinzani..
Na Wana mabohari yao wanahifadhi ndo maana NEC wanazuia watu kulinda kura ili wafanye vema madudu yao.

Uchaguzi huu muhujumu wa kwanza ni Nec! Wakifuatia wagombea
NEC wameruhusu rafu,wameruhusu hujuma.wamenunuliwa.
Mwaka huu hatusikilizi uhuni.. lazima tulinde kura
 
Mmeanza kutafutapakutokea maana spana za jpm kila kona wananchi wanawataka ccm tu
 
Acha na vituo feki...kuna mzigo haswa wa kura feki..mzigo wa kutosha..yani unakuta mzigo una kartasi kama laki mbili yana tiki za çcm..huu wameshauandaa kureplace kura za upinzani.
Nec wako sahihi hata kama Lisu angekuwa na jura za kutosha mie ningebariki mbinu zote ili asipate urais. Nchi yetu haiwezi kuongozwa na Amsterdam wewe!
 
Kwa jinsi hali halisi inavyoenda ni wazi mambo ni mengi na muda ni mchache sana (siku nne zimebaki).

Kimazoea tunaweza kudhani 28 October ndio mwisho wa shughuli ya uchaguzi lakini ukifumbua jicho la tatu inaonekana ndio utakuwa mwanzo wa uchaguzi mkuu!
 
Back
Top Bottom