Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,357
- 3,550
Let's wait n cKumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Let's wait n cKumbe
Unatumia nini kufikiri?? Ni Nani anayetafuta pa Kutokea? Yule anayehangaika kuiba au anayedhibiti wizi? Kumbuka wizi ni uvunjifu wa Sheria so anayeiba ndio anatapatapa mana anajua asipoiba hashindi. Au wewe akili yako inakuelekezaje??Mmeanza kutafutapakutokea maana spana za jpm kila kona wananchi wanawataka ccm tu
Mwaka huu tanawadhibiti hawa matapeli, hawatoboiAcha na vituo feki...kuna mzigo haswa wa kura feki..mzigo wa kutosha..yani unakuta mzigo una kartasi kama laki mbili yana tiki za çcm..huu wameshauandaa kureplace kura za upinzani..
Na Wana mabohari yao wanahifadhi ndo maana NEC wanazuia watu kulinda kura ili wafanye vema madudu yao.
Uchaguzi huu muhujumu wa kwanza ni Nec! Wakifuatia wagombea
NEC wameruhusu rafu,wameruhusu hujuma.wamenunuliwa.
Hili zoezi lifanyike nchi nzima sehemu zote. Wanachama na viongozi wahakiki na kufuatilia uhalali na uwepo wa vituo vya uchaguzi nchi nzima. Na vituo vyote hewa na idadi ya wapiga kura hewa iorodheshwe na kuweka wazi.Nimeona Video clip inayomwonyesha Mgombea Ubunge wa Chadema Nyamagana (John Pambalu) akishtukia uwepo wa kituo Feki/Bubu/Hewa Jimboni humo.
Namba ya utambulisho wa Kituo hicho haikuwepo kwenye orodha ya Vituo halali vya Kupigia Kura Jimboni hapo na wala Tume haikuapisha Mawakala wa Kituo hicho kinachodhaniwa kuwa ni Kituo Feki/Bubu/Hewa.
Hali hii ya uwepo wa Vituo Feki/Bubu/Hewa huenda ipo nchi nzima. Hivyo ni muhimu wagombea wote hasa wa Upinzani wahakiki idadi na namba za utambulisho wa kila Kituo cha Kupigia Kura katika maeneo Yao Ili kudhibiti udanganyifu wa Aina hii. Katika mazingira ya sasa, haiwezekani uwepo wa kituo Feki/Bubu/Hewa ukawa ni bahati mbaya.
Tundu Lissu, Mnyika na Zitto wahimizeni wagombea na viongozi wenu nchi nzima kuhakiki na kubaini Vituo Feki/Bubu/Hewa Ili kuzuia goli la Mkono.
....alisikika msukule akikariri wimbo!Huo uwongo wenu wa chadema mwisho wenu ni October
Doooh aisee hii ni FEDHEHA kubwa Sana Kwa Taifa letu na DHIHAKA Kwa Watanzania.
Mkuu, ni wapi huko?
Duuu rafu za wazi
Kwa hiyo wananchi hawana haki ya kuchagua, ila kikundi kidogo cha ccm ndo chenye haki?!Nec wako sahihi hata kama Lisu angekuwa na jura za kutosha mie ningebariki mbinu zote ili asipate urais. Nchi yetu haiwezi kuongozwa na Amsterdam wewe!
Hata marekani wanachi wanachagua ila kikundi cha watu wasiozidi 400 wanapiga chini matakwa ya mamilioni ya wananchi. Yote hii ni kwa maslahi ya nchi.Kwa hiyo wananchi hawana haki ya kuchagua, ila kikundi kidogo cha ccm ndo chenye haki?!
Tume ya Uchaguzi, CCM, na polisi, amani ya nchi hii iko mikononi mwenu. Kikinuka, Siro, Magumashi na wenzako mjiandaeNimeona Video clip inayomwonyesha Mgombea Ubunge wa Chadema Nyamagana (John Pambalu) akishtukia uwepo wa kituo Feki/Bubu/Hewa Jimboni humo.
Namba ya utambulisho wa Kituo hicho haikuwepo kwenye orodha ya Vituo halali vya Kupigia Kura Jimboni hapo na wala Tume haikuapisha Mawakala wa Kituo hicho kinachodhaniwa kuwa ni Kituo Feki/Bubu/Hewa.
Hali hii ya uwepo wa Vituo Feki/Bubu/Hewa huenda ipo nchi nzima. Hivyo ni muhimu wagombea wote hasa wa Upinzani wahakiki idadi na namba za utambulisho wa kila Kituo cha Kupigia Kura katika maeneo Yao Ili kudhibiti udanganyifu wa Aina hii. Katika mazingira ya sasa, haiwezekani uwepo wa kituo Feki/Bubu/Hewa ukawa ni bahati mbaya.
Tundu Lissu, Mnyika na Zitto wahimizeni wagombea na viongozi wenu nchi nzima kuhakiki na kubaini Vituo Feki/Bubu/Hewa Ili kuzuia goli la Mkono.
Mwenye hii video aipandishie uzi unaojitegemea kabisa. Hii hujuma haitakiwi kuwa sehemu ya comments. Inatakiwa iwe ni uzi unaojitegemea ili watanzania na dunia waone huu uhuni.
Naunga mkono hoja Chadema/ACT wawekeze kwenye kuhakiki wapiga kura feki na vituo feki ,Mawakala wapewe elimu kwamba kila mpiga kura anayeiingia kwenye kituo waangalie picha ya kitambulisho kama anafanana na mpiga kura ,akiwa tofauti aweke pingamizi.Nimeona Video clip inayomwonyesha Mgombea Ubunge wa Chadema Nyamagana (John Pambalu) akishtukia uwepo wa kituo Feki/Bubu/Hewa Jimboni humo.
Namba ya utambulisho wa Kituo hicho haikuwepo kwenye orodha ya Vituo halali vya Kupigia Kura Jimboni hapo na wala Tume haikuapisha Mawakala wa Kituo hicho kinachodhaniwa kuwa ni Kituo Feki/Bubu/Hewa.
Hali hii ya uwepo wa Vituo Feki/Bubu/Hewa huenda ipo nchi nzima. Hivyo ni muhimu wagombea wote hasa wa Upinzani wahakiki idadi na namba za utambulisho wa kila Kituo cha Kupigia Kura katika maeneo Yao Ili kudhibiti udanganyifu wa Aina hii. Katika mazingira ya sasa, haiwezekani uwepo wa kituo Feki/Bubu/Hewa ukawa ni bahati mbaya.
Tundu Lissu, Mnyika na Zitto wahimizeni wagombea na viongozi wenu nchi nzima kuhakiki na kubaini Vituo Feki/Bubu/Hewa Ili kuzuia goli la Mkono.
Ni kweli kabisa, naunga Mkono hoja hii. Na tupate tukio kamili mana hapa haielezei ni Wapi, Lini na Mwaka gani.Mwenye hii video aipandishie uzi unaojitegemea kabisa. Hii hujuma haitakiwi kuwa sehemu ya comments. Inatakiwa iwe ni uzi unaojitegemea ili watanzania na dunia waone huu uhuni.
Kwa sasa YATAKUWA hayapelekwi vituoni kwanza, bali yanahifadhiwa kwa wakurugenzi, ma-DC, ma-RC, policcm, nk
Usiseme wananchi,sema weweMmeanza kutafutapakutokea maana spana za jpm kila kona wananchi wanawataka ccm tu
Jiandae kuwa mpinzani kwa heri au kwa Shari,angalia usije ukapoteana humu baada ya 28thHuo uwongo wenu wa chadema mwisho wenu ni October