fenestra rotunda
JF-Expert Member
- Jun 18, 2015
- 608
- 614
Fikra potofu ikitolewa na akili dhohofuNec wako sahihi hata kama Lisu angekuwa na jura za kutosha mie ningebariki mbinu zote ili asipate urais. Nchi yetu haiwezi kuongozwa na Amsterdam wewe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fikra potofu ikitolewa na akili dhohofuNec wako sahihi hata kama Lisu angekuwa na jura za kutosha mie ningebariki mbinu zote ili asipate urais. Nchi yetu haiwezi kuongozwa na Amsterdam wewe!
Labda we mgeni. Bila wizi ccm wangesahaulika kitambo. Ila mwaka huu kazi wanayo. Orodha ya wahusika wote inaandaliwa kwa ajili ya hatua kaliYaani haya mambo ya wizi yanaratibiwa na serikali kweli?
Naona kama muujiza kabisa.
Ww kila kitu utabisha kila kitu kwa ccm inavokushikia akili iko siku utakuja kumkataa baba ako mzazi na kusema kama magufuli ndio baba akoHuo uwongo wenu wa chadema mwisho wenu ni October
Jiandae kuwa mpinzani kwa heri au kwa Shari,angalia usije ukapoteana humu baada ya 28th
Acha na vituo feki...kuna mzigo haswa wa kura feki..mzigo wa kutosha..yani unakuta mzigo una kartasi kama laki mbili yana tiki za çcm..huu wameshauandaa kureplace kura za upinzani..
Na Wana mabohari yao wanahifadhi ndo maana NEC wanazuia watu kulinda kura ili wafanye vema madudu yao.
Uchaguzi huu muhujumu wa kwanza ni Nec! Wakifuatia wagombea
NEC wameruhusu rafu,wameruhusu hujuma.wamenunuliwa.
Mnatapatapa tu, kipigo kiko palepale! Kura zote kwa ccmNimeona Video clip inayomwonyesha Mgombea Ubunge wa Chadema Nyamagana (John Pambalu) akishtukia uwepo wa kituo Feki/Bubu/Hewa Jimboni humo.
Namba ya utambulisho wa Kituo hicho haikuwepo kwenye orodha ya Vituo halali vya Kupigia Kura Jimboni hapo na wala Tume haikuapisha Mawakala wa Kituo hicho kinachodhaniwa kuwa ni Kituo Feki/Bubu/Hewa.
Hali hii ya uwepo wa Vituo Feki/Bubu/Hewa huenda ipo nchi nzima. Hivyo ni muhimu wagombea wote hasa wa Upinzani wahakiki idadi na namba za utambulisho wa kila Kituo cha Kupigia Kura katika maeneo Yao Ili kudhibiti udanganyifu wa Aina hii. Katika mazingira ya sasa, haiwezekani uwepo wa kituo Feki/Bubu/Hewa ukawa ni bahati mbaya.
Tundu Lissu, Mnyika na Zitto wahimizeni wagombea na viongozi wenu nchi nzima kuhakiki na kubaini Vituo Feki/Bubu/Hewa Ili kuzuia goli la Mkono.
Ilikuwa Mbeya mkuu.Mkuu, ni wapi huko?
Kumbe ndo maana maccm yanasema lzm yashinde, Ni kwa sabb yanajua yameandaa mikakati ya wizi hatari.
Kama ccm wanapendwa Kama wanavosema, si waache wananchi wachague?!
Umeona hiyo video clip? Na wewe umeona hayo Magunia ya Mahindi kama Wenzio?Chadema wote wanajua kabla ya uchaguzi walisha shindwa kwasasa wanaokoteza sababu na baada ya uchaguzi hawatakosa sababu.
Muda watakaokuwa wanayapeleka dipo wananchi wawe makini.Kwa sasa YATAKUWA hayapelekwi vituoni kwanza, bali yanahifadhiwa kwa wakurugenzi, ma-DC, ma-RC, policcm, nk
Mkuu, upo sahihi.. lkn usidhani kuwa vyama vyote vya upinzani, ni vya kweli. Vingi ni vya ccm. Kuna vilivyoanzishwa na ccm, na vipo vilivyonunuliwa na ccmVyama vya Upinzani waunganishe nguvu kuijulisha dunia udhalimu huu mana kumbe tupo chini ya Utawala wa Kikoloni mana inaonekana hatuna tena namna ya kisheria/rasmi ya kuwatoa madarakani wakoloni hawa weusi.
Sio Lazma wayabebe. Wanapeleka namba Tu Tume wanatangaza. Hivyo wananchi wakisubiria kuona malori itakuwa ngumu.Muda watakaokuwa wanayapeleka dipo wananchi wawe makini.
Ila maajabu yanaenda kutokea safari hii, Mungu hawezi kuwaacha hawa mawakala wa shetani waendelee kututesa,ndio mana wananchi wana ujasiri sana kuliko kipindi chochoteJiwe ametufikisha hapa anaogopa uchaguzi wa haki kuliko hata kumuogopa Mungu.
Aibu Sana hii ,Duuu rafu za wazi
Salary SlipMwenye hii video aipandishie uzi unaojitegemea kabisa. Hii hujuma haitakiwi kuwa sehemu ya comments. Inatakiwa iwe ni uzi unaojitegemea ili watanzania na dunia waone huu uhuni.
Hii Ni kweliWapiga kura feki wengi wanapewa vitambulisho feki mbao ndio wanaoenda kupiga kura feki na kuwapa CCM.
Ameulizwa akasema ni Mbeya..Ni kweli kabisa, naunga Mkono hoja hii. Na tupate tukio kamili mana hapa haielezei ni Wapi, Lini na Mwaka gani.