Tahadhari kuhusu wanaotaka kutuma fedha nje ya nchi kupitia airtelmoney

Tahadhari kuhusu wanaotaka kutuma fedha nje ya nchi kupitia airtelmoney

Bra-joe

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,628
Reaction score
1,124
Habari ba-Ndugu? Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza, nawatahadhalisha wale wenye mpango wa kutumia Airtelmoney kutuma fedha nje ya nchi kufikiri kutumia njia nyingine badala ya hii.
Nilituma fedha SA tarehe 20 Jan mpaka ninavyoandika hapa fedha hiyo haijamfikia mlengwa,
Nimewapigia Airtel jibu nililopewa ndiyo nilichoka kabisa! "Niliambiwa lazima nisubiri masaa 72 ya kazi yaani siku9 za kazi ndiyo watakuwa na jibu la kunipa kwa nini fedha hiyo haijafika au kunirudishia fedha yangu"
Nimejiuliza sana kwa Dunia ya sasa yenye mawasiliano rahisi inawezekanaje kuchukua siku Tisa kugundua shida ya muamala?
Tuwe makini sana na Airtel linapokuja swala la kutuma fedha kimataifa. Hawafai.
 
Hahaaa Airtle bure kabisa, nisha aacha kitambo sana kitumia Airtel money kutuma pesa nje. Tumia Vosacom.

Usije jichanganya ukatumia hio airtel
 
Nilikuwa shambani halafu mtu akawa na uhitaji wa haraka wa fedha, nikaona nimtumie tu kwasababu nilikuwa na kiasi cha kutosha kwenye simu. Sitarudia Tena.
 
Habari ba-Ndugu? Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza, nawatahadhalisha wale wenye mpango wa kutumia Airtelmoney kutuma fedha nje ya nchi kufikiri kutumia njia nyingine badala ya hii.
Nilituma fedha SA tarehe 20 Jan mpaka ninavyoandika hapa fedha hiyo haijamfikia mlengwa,
Nimewapigia Airtel jibu nililopewa ndiyo nilichoka kabisa! "Niliambiwa lazima nisubiri masaa 72 ya kazi yaani siku9 za kazi ndiyo watakuwa na jibu la kunipa kwa nini fedha hiyo haijafika au kunirudishia fedha yangu"
Nimejiuliza sana kwa Dunia ya sasa yenye mawasiliano rahisi inawezekanaje kuchukua siku Tisa kugundua shida ya muamala?
Tuwe makini sana na Airtel linapokuja swala la kutuma fedha kimataifa. Hawafai.
Na nyie muwe na akili, mnapotuma fedha hasa USD kwanini usifungue acc ya dola? Ukitumia hiyo mitandao kwanza utapewa rates kandamizi pili usumbufu kama huo utaupata!

Fungua acc ya dola, na kama wewe mtoto wa mkulima nenda stanbic wana acc inaitwa "personal" haina makato kandamizi. Waambie iwe ya usd.
 
Habari ba-Ndugu? Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza, nawatahadhalisha wale wenye mpango wa kutumia Airtelmoney kutuma fedha nje ya nchi kufikiri kutumia njia nyingine badala ya hii.
Nilituma fedha SA tarehe 20 Jan mpaka ninavyoandika hapa fedha hiyo haijamfikia mlengwa,
Nimewapigia Airtel jibu nililopewa ndiyo nilichoka kabisa! "Niliambiwa lazima nisubiri masaa 72 ya kazi yaani siku9 za kazi ndiyo watakuwa na jibu la kunipa kwa nini fedha hiyo haijafika au kunirudishia fedha yangu"
Nimejiuliza sana kwa Dunia ya sasa yenye mawasiliano rahisi inawezekanaje kuchukua siku Tisa kugundua shida ya muamala?
Tuwe makini sana na Airtel linapokuja swala la kutuma fedha kimataifa. Hawafai.
Masaa 72 sio siku 9, ni siku 3.
 
Mahesabu yako ya kazi sio kwa wote. Ukiambiwa masaa 72 kwa airtel na mitandao karibia yote ya simu ni siku tatu.

Ukitaka thibitisha, piga simu usiku kama hutahudumiwa.
Anacho zungumza au andika ndg Bra-joe ndio uhalisia kuwa masaa ya kazi kwao ni 8 kwa siku basi kwa mtandao husika.

Hicho unachoandika wewe kwa airtel ni kitu kingine, ukiweza piga simu warlike mnapo sema nisubiri masaa 72 ina maana gani? Au ni Sawa na siku ngapi?

Ukipata jibu toka airtel usisite kutupa mrejesho
 
Na nyie muwe na akili, mnapotuma fedha hasa USD kwanini usifungue acc ya dola? Ukitumia hiyo mitandao kwanza utapewa rates kandamizi pili usumbufu kama huo utaupata!

Fungua acc ya dola, na kama wewe mtoto wa mkulima nenda stanbic wana acc inaitwa "personal" haina makato kandamizi. Waambie iwe ya usd.
Changamoto ni pesa inapokwenda huko South Africa....!

Huduma za kipesa sio rahisi kama Bongo, hakuna mambo ya Tigo pesa, Wana Mifumo Yao ya kipesa ambayo ni rahisi Kwa kutuma pesa ndani ya SA pekee, mtu anakutumia pesa toka Kwa account yake. Na wewe unaenda ATM kutoa pesa hata kama Huna account na Huna Card, uwe na namba ya Simu.

Nje ya hapo kutuma pesa SA nje ya bank to bank ni Mtihani. Ila ni rahisi kutuma pesa toka SA kwenda Nchi nyingine yoyote.
 
Masaa 72 ni sawa na siku 3. Hizo siku tisa umetoka nazo wapi mzee? Siku 9 ni sawa na masaa 216.
 
Back
Top Bottom