Tetesi: Tahadhari kwa CHADEMA kwenye mtandao wa Whatsapp

Tetesi: Tahadhari kwa CHADEMA kwenye mtandao wa Whatsapp

Na; Joseph Monia Politician

TAHADHARI KWA WANA CHADEMA WOTE WANAOTUMIA MTANDAO WA WHATSAP.
TAFADHALI SAMBAZA TAARIFA HII.

Tumepokea taarifa ya vijana wa CCM (Lumumba) kuunda njama za kuanzisha magroup mawili ya Whatsap waliyopanga wayaite kwa majina ya "FRIENDS OF LISSU", na "FRIENDA OF MBOWE" ambapo mpango wao mkubwa ni kueneza link ya group husika ili wana CHADEMA wajiunge,kisha waanzishe hoja ya uchonganishi wa viongozi wawili wa CHADEMA yaani;

1. Mh.FREEMAN MBOWE (M/kiti wa chama)

2. Mh. TUNDU LISSU (Mwanasheria mkuu wa chama) kama mipango yao inavyoonekana hapo chini.

WITO; EPUKENI KUJIUNGA KWENYE MAKUNDI YA WHATSAP KWA KUTUMIA LINK.

MWISHO; WAPUUZENI KABISA HAWA WAPIGA DEKI WA LUMUMBA.
Mnaanza kuogopa vivuli vyenu wenyewe ?! Ni wazi fahari wawili hawakai zizi moja ! Tutasikia tu muda si mrefu.
 
Mm nilidhani Hawa Viazi Wangeunda Magroup Kuhamasisha Rais Atenguwe Uteuzi wa RC DSM kwa kuwa na Vyeti ambavyo sio vyako....wao wanajadili ushenzi.
 
Ha ha haaaaaa.. Ngoja na mimi nitengeneze "GO BASHITE" na "MAKONDA FOR LIFE"

Yaani UVCCM wanakua wanakinzana Mpaka wamvuruge JPM atoe maamuzi
 
fed4f09a2ab06d216e8a4cc26abf890e.gif

Anhaaaaaa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji106] [emoji106]
 
Ngoja nijaribu kutuma M Pesa kwenye 0755078854 nione imesajiliwa kwa jina gani
 
Ngoja nijaribu kutuma M Pesa kwenye 0755078854 nione imesajiliwa kwa jina gani
Mkuu jina si limesha jitaja hapo L***E MBENA ila nimeipenda hii, safi sana CCM kwa kazi nzuri.
 
asante kwa info. Siwez kujiunga na group la kisiasa whatsapp kwasbb mamluki wa lumumba ni wengi
 
Mkuu umenirusha kweli aah nilifikiri vijana wa lumumba wameungana kwenda koromije kwenye sanduku la mzee bashite kuleta vyeti!
 
Na; Joseph Monia Politician

TAHADHARI KWA WANA CHADEMA WOTE WANAOTUMIA MTANDAO WA WHATSAP.
TAFADHALI SAMBAZA TAARIFA HII.

Tumepokea taarifa ya vijana wa CCM (Lumumba) kuunda njama za kuanzisha magroup mawili ya Whatsap waliyopanga wayaite kwa majina ya "FRIENDS OF LISSU", na "FRIENDA OF MBOWE" ambapo mpango wao mkubwa ni kueneza link ya group husika ili wana CHADEMA wajiunge,kisha waanzishe hoja ya uchonganishi wa viongozi wawili wa CHADEMA yaani;

1. Mh.FREEMAN MBOWE (M/kiti wa chama)

2. Mh. TUNDU LISSU (Mwanasheria mkuu wa chama) kama mipango yao inavyoonekana hapo chini.

View attachment 483241
View attachment 483244
View attachment 483246

WITO; EPUKENI KUJIUNGA KWENYE MAKUNDI YA WHATSAP KWA KUTUMIA LINK.

MWISHO; WAPUUZENI KABISA HAWA WAPIGA DEKI WA LUMUMBA.

Hivi vimbwiga vilikolala ndiyo tulikoamkia,vitaishia kuolewa kule Mombasa kama yule kiranja wao.
 
Daaaa....kwahiyo makundi ya kigafidhina yasha anza kundwa mapema kabisa ili tu kuchafua atmosphere.
 
Wamechemka Mafisiem wanatafuta kiki ya mvurugano watavurugana wenyewe
 
Upo mpango mahususi unasukwa na Uvccm kupitia mitandao ya kijamii hasa magroup ya whatsup ukiwa na lengo la kutengeneza mfarakano baina ya Lisu na Mbowe!
Hii ni kutokana na Lisu kushinda urais wa TLS ikiwa ni baada mbinu zote zilizopangawa na ccm kushindwa kuvuruga uchaguzi, hivyo mbadala uliopo sasa ni kusuka mpango wa kuwafarakanisha!
Zipo link zinazunguka za kujiunga na magroup ya whatsup ambayo maudhui yake ni kueneza propaganda chafu ili wawili hao wafarakane!
Naamini mpango huo hautafanikiwa na umekwisha shindwa, uvccm wanatumika vibaya kufitini!
Mpango huo hautafua dafu, Mbowe na Lisu na cdm kwa ujumla wapo imara!
 
Na; Joseph Monia Politician

TAHADHARI KWA WANA CHADEMA WOTE WANAOTUMIA MTANDAO WA WHATSAP.
TAFADHALI SAMBAZA TAARIFA HII.

Tumepokea taarifa ya vijana wa CCM (Lumumba) kuunda njama za kuanzisha magroup mawili ya Whatsap waliyopanga wayaite kwa majina ya "FRIENDS OF LISSU", na "FRIENDA OF MBOWE" ambapo mpango wao mkubwa ni kueneza link ya group husika ili wana CHADEMA wajiunge,kisha waanzishe hoja ya uchonganishi wa viongozi wawili wa CHADEMA yaani;

1. Mh.FREEMAN MBOWE (M/kiti wa chama)

2. Mh. TUNDU LISSU (Mwanasheria mkuu wa chama) kama mipango yao inavyoonekana hapo chini.

View attachment 483241
View attachment 483244
View attachment 483246

WITO; EPUKENI KUJIUNGA KWENYE MAKUNDI YA WHATSAP KWA KUTUMIA LINK.

MWISHO; WAPUUZENI KABISA HAWA WAPIGA DEKI WA LUMUMBA.
Na; Joseph Monia Politician

TAHADHARI KWA WANA CHADEMA WOTE WANAOTUMIA MTANDAO WA WHATSAP.
TAFADHALI SAMBAZA TAARIFA HII.

Tumepokea taarifa ya vijana wa CCM (Lumumba) kuunda njama za kuanzisha magroup mawili ya Whatsap waliyopanga wayaite kwa majina ya "FRIENDS OF LISSU", na "FRIENDA OF MBOWE" ambapo mpango wao mkubwa ni kueneza link ya group husika ili wana CHADEMA wajiunge,kisha waanzishe hoja ya uchonganishi wa viongozi wawili wa CHADEMA yaani;

1. Mh.FREEMAN MBOWE (M/kiti wa chama)

2. Mh. TUNDU LISSU (Mwanasheria mkuu wa chama) kama mipango yao inavyoonekana hapo chini.

View attachment 483241
View attachment 483244
View attachment 483246

WITO; EPUKENI KUJIUNGA KWENYE MAKUNDI YA WHATSAP KWA KUTUMIA LINK.

MWISHO; WAPUUZENI KABISA HAWA WAPIGA DEKI WA LUMUMBA.
Mange Kimambi uko wapi kuna mtu kakutaja huku na namba yake ya simu inaonekana.Fanya mpango watanzania tujue cv yake anaweza akawa amezungusha. Ni msakatonge wa lumumba
 
Back
Top Bottom