Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nadhani dawa sio kuwaogopa, nikuwalipua tu. Acha wachezee moto, wataungua tu.Na; Joseph Monia Politician
TAHADHARI KWA WANA CHADEMA WOTE WANAOTUMIA MTANDAO WA WHATSAP.
TAFADHALI SAMBAZA TAARIFA HII.
Tumepokea taarifa ya vijana wa CCM (Lumumba) kuunda njama za kuanzisha magroup mawili ya Whatsap waliyopanga wayaite kwa majina ya "FRIENDS OF LISSU", na "FRIENDA OF MBOWE" ambapo mpango wao mkubwa ni kueneza link ya group husika ili wana CHADEMA wajiunge,kisha waanzishe hoja ya uchonganishi wa viongozi wawili wa CHADEMA yaani;
1. Mh.FREEMAN MBOWE (M/kiti wa chama)
2. Mh. TUNDU LISSU (Mwanasheria mkuu wa chama) kama mipango yao inavyoonekana hapo chini.
View attachment 483241
View attachment 483244
View attachment 483246
WITO; EPUKENI KUJIUNGA KWENYE MAKUNDI YA WHATSAP KWA KUTUMIA LINK.
MWISHO; WAPUUZENI KABISA HAWA WAPIGA DEKI WA LUMUMBA.
Umeona ujinga wao!!Kama ulivyotoa tahadhari wamesha anza: Mbowe hana furaha na ushindi wa Tundu Lisu, TLS
ananifurahishaga sanaJudge Judy! Hahahaha
Mange atamuua kwa presha. Mpe siku 1 tu akiiona hiyo nambaSasa hapa hawa si wamejivua nguo inamaana ndani ya kijigroup Chao hicho hicho Kuna moles.
Mbaya zaidi na namba zao za simu ziko wazi.Namtamani aliemwita Mange jina kisenge vile namba yake si ipo Mange amuwashie moto mpaka ajutem.
CCM iishiwe pumzi kwa lipi? Uchaguzi mdogo uliopita mmeambulia kiti kimoja cha udiwani. Unategemea nini ? Kweli nyumbu ni nyumbu tu. Mwisho wa siku ni chakula cha mamba tu.Kweli ccm imeishiwa pumzi. Ni kama genge la wahuni wenye urohoo na tamaa ya madaraka. Mmeshindwa kuwaletea watanzania maendeleo mmeanza siasa chafu. Hiki chama kimegeuka kuwa genge la wahuni,wanafiki,wachawi,wapiga dilu na wa kujipendekeza.
CCM iishiwe pumzi kwa lipi? Uchaguzi mdogo uliopita mmeambulia kiti kimoja cha udiwani. Unategemea nini ? Kweli nyumbu ni nyumbu tu. Mwisho wa siku ni chakula cha mamba tu.
Mengine 9 tusaidieni suala la Daudi Bashite.