TAHADHARI kwa wale wanaopenda kufanya mapenzi na wasichana wa ndani wa kazi

TAHADHARI kwa wale wanaopenda kufanya mapenzi na wasichana wa ndani wa kazi

barafuyamoto

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
32,378
Reaction score
29,739
Habari zenu,

Sina mengi ya kuwaambia ila kwa wale wenye wasichana wa kazi, napenda kuwasihi muwacheki afya zao hao wafanyakazi wenu wa ndani.

Hawa wanaotoka vijijini tena washamba wengi ni "wagonjwa". Kama baba mwenye nyumba au una kijana mdogo anapooza mashine hapo, kuweni waangalifu sana.

Nina jirani yangu na pia jamaa mmoja rafiki wa jamaa ninayefanya nae kazi, wana mabinti wa kazi toka nyanda za juu kusini, imebainika ni 'wagonjwa' ingawa wao hawajui, nadhani zile takwimu zisipuuzwe. Wasinyanyapaliwe ila kuweni makini nao.

Hivyo kuweni waangalifu sana na mabinti hawa.

MPENDE NA MLINDE UMPENDAE.
 
Tunashukuru sana kwa ushauri, ila umakini unatakiwa kwa wanawake wote hata kwa ma sister na ma ustadhat kwasababu magonjwa yanawakumba wote na bila kujali wanatokea wapi.
Kabisa, ila wanaume wengi huwachukulia hawa mabinti kama washamba na hawajui kitu hivyo hudhani ni salama, hivyo hujiachia sana.
 
Ni kweli mkuu hiyo nimeona nikivyo panga mabibo kuna Sister mmoja hivi alipanga chumba na sebule... Humo anakaa na mtoto wake, Mdogo wake wa kiume na Dada yake... Na huyo Mdogo wake alikua anashindaga sana chuo na alikua nalala huko lakini likizo analala pale...

Sasa yule mfanyakazi alikua anagegedwa na huyo kijana mida ya chana Sister ake ekienda kuhangaikia tumbo yan chakula... Mbaya zaidi huyo kijakazi alikua na ukimwi..

Na ilijukikana pale ambapo alikua anaongea na Sister mmoja ambaye alipanga chumba kimoja maana lugha ni moja na kabila moja akawa anamwambia nimesahau arv zangu ntafanyeje kupata hapa mjini...

............,..................................

Lakini kijana alikua anajilia tuuu... Lakini kumla mwenye ukimwi sio ni kupata ukimwi inategemeana na mapenzi yenu
 
Habari zenu!
Sina mengi ya kuwaambia ila kwa wale wenye wasichana wa kazi, napenda kuwasihi muwacheki afya zao hao wafanyakazi wenu wa ndani.
Hawa wanaotoka vijijini tena washamba wengi ni "wagonjwa". Kama baba mwenye nyumba au una kijana mdogo anapooza mashine hapo, kuweni waangalifu sana.
Nina jirani yangu na pia jamaa mmoja rafiki wa jamaa ninayefanya nae kazi, wana mabinti wa kazi toka nyanda za juu kusini, imebainika ni 'wagonjwa' ingawa wao hawajui, nadhani zile takwimu zisipuuzwe. Wasinyanyapaliwe ila kuweni makini nao.
Hivyo kuweni waangalifu sana na mabinti hawa, MPENDE NA MLINDE UMPENDAE.
sisi Ni watu wazima bana potelea mbali. Siyo kwako tu tumeshasikia huu ushauri ninmiaka nenda Rudi. Qutomber hatutaacha hasa hasa ya kuibia tamu Sana.

Kama Akina Samsoni Na daudi watu way Mungu Hadi Mungu mwenyewe alikuwa Benet nao walishindwa kuvumilia Yani Samsoni Licha ya kutandaza miti uyahuduni hakuridhika alikuwa anafuata nyap Hadi ukanda was Gaza ije iwe sisi kizazi hiki Cha qisayngeh manabii zetu Ni Mzee wa upako Na gwajima?

Tuache bana tutandaze miti Kama ukipangiwa kufa Na ngoma ndio hivyo huwez badilisha
 
sisi Ni watu wazima bana potelea mbali. Siyo kwako tu tumeshasikia huu ushauri ninmiaka nenda Rudi. Qutomber hatutaacha hasa hasa ya kuibia tamu Sana.

Kama Akina Samsoni Na daudi watu way Mungu Hadi Mungu mwenyewe alikuwa Benet nao walishindwa kuvumilia Yani Samsoni Licha ya kutandaza miti uyahuduni hakuridhika alikuwa anafuata nyap Hadi ukanda was Gaza ije iwe sisi kizazi hiki Cha qisayngeh manabii zetu Ni Mzee wa upako Na gwajima?

Tuache bana tutandaze miti Kama ukipangiwa kufa Na ngoma ndio hivyo huwez badilisha
Comment yako umenichekesha sana Copenhagen DN
 
Habari zenu!
Sina mengi ya kuwaambia ila kwa wale wenye wasichana wa kazi, napenda kuwasihi muwacheki afya zao hao wafanyakazi wenu wa ndani.
Hawa wanaotoka vijijini tena washamba wengi ni "wagonjwa". Kama baba mwenye nyumba au una kijana mdogo anapooza mashine hapo, kuweni waangalifu sana.
Nina jirani yangu na pia jamaa mmoja rafiki wa jamaa ninayefanya nae kazi, wana mabinti wa kazi toka nyanda za juu kusini, imebainika ni 'wagonjwa' ingawa wao hawajui, nadhani zile takwimu zisipuuzwe. Wasinyanyapaliwe ila kuweni makini nao.
Hivyo kuweni waangalifu sana na mabinti hawa, MPENDE NA MLINDE UMPENDAE.

Unashuri wawacheki afya kabla hawajaanza kutembea nao, hivi wanakuwa wameleta msaidizi wa kazi za ndani au mwanamke wa kuwastarehesha?

Kama hao wenye nyumba wana tabia hizi chafu basi hata wao hawawezi kuwa wazima.
 
Tatizo mnawapa vyakula safi protein kibao then hamuwaruhusu waende walau kutembea beach hata mara moja kwa mwezi; hao ni binadamu damu inachemka sasa itachemkia kwa nani kama si baba mwenye nyumba.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Unashuri wawacheki afya kabla hawajaanza kutembea nao, hivi wanakuwa wameleta msaidizi wa kazi za ndani au mwanamke wa kuwastarehesha?

Kama hao wenye nyumba wana tabia hizi chafu basi hata wao hawawezi kuwa wazima.
Wawacheki afya NDIO, Hii ni hata kwa mama mwenye nyumba awacheki ajue afya zao, unapowaacha watoto wako na yeye ujue kilichopo kama utakuwa umeridhika.
 
Bora muambiane sababu walio wengi wakishaona mdada amependeza wao wanachowaza ni kuwala tu. Ila yote kwa yote wasaidizi wa ndani wanakuja kwa ajili kuwasaidia kazi wake zenu kazi ndogo ndogo za nyumbani na sio kwamba wanakuja muwafanye vyombo vyenu vya starehe.
 
Hawa mabinti wa vijijini wanangonoka sana tena hovyohovyo si wa kuwaamini kabisa.
 
Back
Top Bottom