TAHADHARI kwa wale wanaopenda kufanya mapenzi na wasichana wa ndani wa kazi

TAHADHARI kwa wale wanaopenda kufanya mapenzi na wasichana wa ndani wa kazi

kuna bint mmoja alikuja town kufanya kazi baba mwenye nyumba akaanzisha kamchezo ka kumbaka mpaka akampa mimba alipogundua yule bint ni mjamzito akamfukuza kama mbwa kurudi makwao akaenda hospital akajipata ana HIV... bahati mbaya na mwanae akafariki.............
akatafuta jinsi akarudi mjini tena safari hii akiwa amejawa na roho ya kulipiza, kisasi bahati mbaya hao waliompokea wakawa a kichanga cha miezi kama sikosei 3.mama mwenyenyumba alikuwa na tabia ya kumkaripia sana huyu msaidizi na akiwa anajua fika anamuacha na mwanae mchanga , na anaenda ofisini kila siku,dada wa kazi akaanza kumchana huyu kichanga kwenye nyayo na yeye akawa anajichanja anampaka damu yule malaika kwenye hayo majeraha sasa baada ya muda mfupi mtoto akaanza uugua bila ,kikomo ikabidi maadaktari wachukue hatua ya kuwapima wazazi na yule mtoto wwazazi wakakutwa wazima ila kichanga kimeathirika walipohojiwa sawasawa wakasma wanaishi na dada wa kazi na ndiye anayelea mtoto wakamchukua wakaenda kumpima wakakuta ameathirika kupelekwa polisi akasema anzia mwanzo hadi mwisho wa kisa cha kutenda ukatili huo akaenda mbele zaidi akasema hata mama yake ameathirika na yye ndo alikuwa anasaidia amilia kwao na aliumia sana kwa ukatili aliofanyiwa kwahiyo alikuwa analipiza kisasi


My take hawa watoto tuwalee kwa upendo, japo wengi siku hizi ni manunda napia Tuwe waangalifu sana nao ni bora kuwapima afya kwa ajili ya usalama wa familia zetu maana wengine wako kwenye revange, wengine wana matatizo ya kisaikolojia ........... NA WENGINE WANABAKWA WANAAMBUKIZWA MARADHI BILA KUJIJUA

mimi nilishindwa kabisa kuishi na hao watu nikafanya maamuzi magumu ya kumpakia mwanangu basi kumkabidhi kwa mamangu maana kila nikirudi nyyumbani ilikuwa ni kisa kipya nikaona naweza kupata kesi ya mauwaji bure
 
Kuna familia moja sikumbuki ni mkoa au mji gani hapa Tanzania,baba mwenye nyumba alikuwa anapumzika kwa dada wa kazi,kijana wake wa kumzaa naye alikuwa anapumzika hapo, na mwisho shamba boi naye alijipatia nafasi ya kupumzika kwa huyo dada,wote hakuna aliyemhisi mwenzie, ilikuwa kwa siri sana na kimyakimya,kazi ilikuwa pale ilipojulikana huyo dada wa kazi ni mgonjwa wa ukimwi wa muda mrefu,nyumba nzima ilikuwa kilio na yote ya sirini yakawa peupe, ni kweli tuwasaidie hawa kina dada badala ya kuwatumia kingono kwa kujiaminisha kuwa ni washamba kwa hiyo wako salama
 
Habari zenu,

Sina mengi ya kuwaambia ila kwa wale wenye wasichana wa kazi, napenda kuwasihi muwacheki afya zao hao wafanyakazi wenu wa ndani.

Hawa wanaotoka vijijini tena washamba wengi ni "wagonjwa". Kama baba mwenye nyumba au una kijana mdogo anapooza mashine hapo, kuweni waangalifu sana.

Nina jirani yangu na pia jamaa mmoja rafiki wa jamaa ninayefanya nae kazi, wana mabinti wa kazi toka nyanda za juu kusini, imebainika ni 'wagonjwa' ingawa wao hawajui, nadhani zile takwimu zisipuuzwe. Wasinyanyapaliwe ila kuweni makini nao.

Hivyo kuweni waangalifu sana na mabinti hawa.

MPENDE NA MLINDE UMPENDAE.

Hata mie hapa kwangu, miaka 2 iliyopita alikuja msichana wa kazi Bahati mbaya akapata homa kali wiki za mwanzo, katika vipimo alionekana ni mgonjwa japo hakuwa anatambua kuwa ana tatizo la afya.
 
Habari zenu,

Sina mengi ya kuwaambia ila kwa wale wenye wasichana wa kazi, napenda kuwasihi muwacheki afya zao hao wafanyakazi wenu wa ndani.

Hawa wanaotoka vijijini tena washamba wengi ni "wagonjwa". Kama baba mwenye nyumba au una kijana mdogo anapooza mashine hapo, kuweni waangalifu sana.

Nina jirani yangu na pia jamaa mmoja rafiki wa jamaa ninayefanya nae kazi, wana mabinti wa kazi toka nyanda za juu kusini, imebainika ni 'wagonjwa' ingawa wao hawajui, nadhani zile takwimu zisipuuzwe. Wasinyanyapaliwe ila kuweni makini nao.

Hivyo kuweni waangalifu sana na mabinti hawa.

MPENDE NA MLINDE UMPENDAE.
Hot as https://jamii.app/JFUserGuide
 
[QUOTE="Lakini kumla mwenye ukimwi sio ni kupata ukimwi inategemeana na mapenzi yenu[/QUOTE]
acha ujinga
 
Wawacheki afya NDIO, Hii ni hata kwa mama mwenye nyumba awacheki ajue afya zao, unapowaacha watoto wako na yeye ujue kilichopo kama utakuwa umeridhika.
unapo amua kuwacheki hawa mabak3 wacheki na wanao pia itapendeza zaidi
 
Ushauri maridhawa sana, ni maamuzi yetu sisi twenye wadada wa kazi kuufata au kuukacha.
Nami nawashauri kuwa, unapokiwa na mdada wa kazi walau kwa wiki mruhusu siku moja awe anatoka na kwenda kutembea anapotaka au mtembeze na kila mwaka umpe siku 30 walau za kwwnda kutembelea ndugu na jamaa zake, akienda huko akito[emoji240] hiyo ni juu yake but ni matumini kuwa atakaporudi atakuwa na nguvu mpya ya kufanya kazi. Lau kama anato[emoji240] na wewe mwenyewe basi kumbuka kumcheki afya mara kwa mara.

Kesho tukijaaliwa nakwenda kumcheki afya wa kwangu.[emoji124] [emoji125] [emoji125] Usiulize!!!
 
sisi Ni watu wazima bana potelea mbali. Siyo kwako tu tumeshasikia huu ushauri ninmiaka nenda Rudi. Qutomber hatutaacha hasa hasa ya kuibia tamu Sana.

Kama Akina Samsoni Na daudi watu way Mungu Hadi Mungu mwenyewe alikuwa Benet nao walishindwa kuvumilia Yani Samsoni Licha ya kutandaza miti uyahuduni hakuridhika alikuwa anafuata nyap Hadi ukanda was Gaza ije iwe sisi kizazi hiki Cha qisayngeh manabii zetu Ni Mzee wa upako Na gwajima?

Tuache bana tutandaze miti Kama ukipangiwa kufa Na ngoma ndio hivyo huwez badilisha
Kweli hii comment noma sana.
 
sisi Ni watu wazima bana potelea mbali. Siyo kwako tu tumeshasikia huu ushauri ninmiaka nenda Rudi. Qutomber hatutaacha hasa hasa ya kuibia tamu Sana.

Kama Akina Samsoni Na daudi watu way Mungu Hadi Mungu mwenyewe alikuwa Benet nao walishindwa kuvumilia Yani Samsoni Licha ya kutandaza miti uyahuduni hakuridhika alikuwa anafuata nyap Hadi ukanda was Gaza ije iwe sisi kizazi hiki Cha qisayngeh manabii zetu Ni Mzee wa upako Na gwajima?

Tuache bana tutandaze miti Kama ukipangiwa kufa Na ngoma ndio hivyo huwez badilisha
teh teh
 
Habari zenu,

Sina mengi ya kuwaambia ila kwa wale wenye wasichana wa kazi, napenda kuwasihi muwacheki afya zao hao wafanyakazi wenu wa ndani.

Hawa wanaotoka vijijini tena washamba wengi ni "wagonjwa". Kama baba mwenye nyumba au una kijana mdogo anapooza mashine hapo, kuweni waangalifu sana.

Nina jirani yangu na pia jamaa mmoja rafiki wa jamaa ninayefanya nae kazi, wana mabinti wa kazi toka nyanda za juu kusini, imebainika ni 'wagonjwa' ingawa wao hawajui, nadhani zile takwimu zisipuuzwe. Wasinyanyapaliwe ila kuweni makini nao.

Hivyo kuweni waangalifu sana na mabinti hawa.

MPENDE NA MLINDE UMPENDAE.
Naam
 
Habari zenu,

Sina mengi ya kuwaambia ila kwa wale wenye wasichana wa kazi, napenda kuwasihi muwacheki afya zao hao wafanyakazi wenu wa ndani.

Hawa wanaotoka vijijini tena washamba wengi ni "wagonjwa". Kama baba mwenye nyumba au una kijana mdogo anapooza mashine hapo, kuweni waangalifu sana.

Nina jirani yangu na pia jamaa mmoja rafiki wa jamaa ninayefanya nae kazi, wana mabinti wa kazi toka nyanda za juu kusini, imebainika ni 'wagonjwa' ingawa wao hawajui, nadhani zile takwimu zisipuuzwe. Wasinyanyapaliwe ila kuweni makini nao.

Hivyo kuweni waangalifu sana na mabinti hawa.

MPENDE NA MLINDE UMPENDAE.
Tatizo wanakuwaga so cheap
 
Back
Top Bottom