Tahadhari kwa wanaotaka kuingia kwenye biashara ya kilimo

Mwaka wa tano huu bado nakomaa na kilimo. Somo kubwa: Lijue soko la zao unalolima; weka usimamizi madhubuti; usifuate mkumbo; tumia wataalam, kuna hatua muhim unazotakiwa usimamie mwenyewe. Mfano: kupanda, mbolea, palizi na kuvuna.
 
Mwaka wa tano huu bado nakomaa na kilimo. Somo kubwa: Lijue soko la zao unalolima; weka usimamizi madhubuti; usifuate mkumbo; tumia wataalam, kuna hatua muhim unazotakiwa usimamie mwenyewe. Mfano: kupanda, mbolea, palizi na kuvuna.
2023 now πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kilimo kinaendeleaje maboss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…