Tahadhari: Kwa watafuta ajira usijaribu kuomba wala kufanya kazi hospitali hizi jijini Mwanza

Tahadhari: Kwa watafuta ajira usijaribu kuomba wala kufanya kazi hospitali hizi jijini Mwanza

Mkuu, Acha Uongo. Nimefanya Kazi na nina fanya kazi na Uhuru hospital kwa Miaka 5 sahizi. Sijawahi pata Shida ya Mshahara wala Mkataba. Hadi Tanzanite hospital imefunguliwa Bado nipo Na Uhuru Hospital na Tanzanite Hospital Sijapata Hizo Shida Ulizozisema Kwa Miaka 5 yote, Na Wala sijawahi kufikiria kuja Kuacha Kazi Uhuru Hospital Unless Nijiajiri.

Mwaka 2019, Nilienda Nje Ya Tanzania Kusoma, Uhuru hospital Waliendelea kunilipa Mshahara Bila Kuchelewa, Kwa Muda wote nilio Kuwa Nasoma, Na Bila Kunikata Hata Tsh.10, Hadi Nilipo Rudi 2020 nikaendelea nao na kazi.

Sahizi Tena Nimerudi Shule. Uhuru hospital Bado Wananilipa Mshahara Bila Shida Yoyote ile. So Acha Kuwadanganya Watu.

Changamoto niliyo Iona Kwa Miaka 5 yangu ya Kufanya Kazi Kwenye hii hospital Binafsi ni Bad Altitude za WAAJIRIWA. Waajiriwa Wengi Hawana Nidhamu Ya Kazi, Wanachukulia Taasisi Binafsi Hasa Hospital Kama Ni Sehemu Ya KIJIWE. Hii ndio Changamoto kubwa. Mfanyakazi hana Nidhamu ya Kazi, Hadhamini Ajira yake, Haheshimu Kituo Kilichompa Ajira wala Mwajiri wake. Unategema Mwajiri Akuheshimu na Wewe?

Tena Nyie Ndio mnao Wadanganya watu, Lakini Kwa Kijana Anayekua Kikazi, Uwezo binafsi uwezo wa kibiashara, Uhuru Hospital Ni sehemu sahihi ya Kufanya Kazi Kama Ukibahatika kupata Ajira. Nisehemu itakayo kupa nafasi ya kukua.

Mkuu Kudanganya watu na wewe ni Mtumishi wa Serikali Hizi Ndio Nidhamu Mbovu na mbaya Ambazo Wafanyakazi wengi wanazo.

Kifupi, UHURU HOSPITAL kama Huna NIDHAMU, Huna INTERGRITY basi Wewe hapakufai kufanya kazi.

Over
Haha [emoji1]Bw Derick naona umekuja kujaribu kujisafisha,,,,,,wewe huwezi kusafishika wewe ni tapeli mzuri pia....kama mpaka umeshindwa kufanya kazi na mkeo kisa pesa......kama haitoshi wahindi walioweka mtaji mkubwa kipindi uhuru yako inaanza si uliwatapeli wewe haha.

Jirekebishe mzee.
 
Ninayo mifano mingi kuhusu uhuru kwa udhurumaji wafanyakazi....

Dentist yule amabae kwa sasa ana kituo chake pale Ghana green view ulimlipa?

Jitahidi kulipa wafanyakazi acha janja Janjaaaa.
 
Mkuu, Acha Uongo. Nimefanya Kazi na nina fanya kazi na Uhuru hospital kwa Miaka 5 sahizi. Sijawahi pata Shida ya Mshahara wala Mkataba. Hadi Tanzanite hospital imefunguliwa Bado nipo Na Uhuru Hospital na Tanzanite Hospital Sijapata Hizo Shida Ulizozisema Kwa Miaka 5 yote, Na Wala sijawahi kufikiria kuja Kuacha Kazi Uhuru Hospital Unless Nijiajiri.

Mwaka 2019, Nilienda Nje Ya Tanzania Kusoma, Uhuru hospital Waliendelea kunilipa Mshahara Bila Kuchelewa, Kwa Muda wote nilio Kuwa Nasoma, Na Bila Kunikata Hata Tsh.10, Hadi Nilipo Rudi 2020 nikaendelea nao na kazi.

Sahizi Tena Nimerudi Shule. Uhuru hospital Bado Wananilipa Mshahara Bila Shida Yoyote ile. So Acha Kuwadanganya Watu.

Changamoto niliyo Iona Kwa Miaka 5 yangu ya Kufanya Kazi Kwenye hii hospital Binafsi ni Bad Altitude za WAAJIRIWA. Waajiriwa Wengi Hawana Nidhamu Ya Kazi, Wanachukulia Taasisi Binafsi Hasa Hospital Kama Ni Sehemu Ya KIJIWE. Hii ndio Changamoto kubwa. Mfanyakazi hana Nidhamu ya Kazi, Hadhamini Ajira yake, Haheshimu Kituo Kilichompa Ajira wala Mwajiri wake. Unategema Mwajiri Akuheshimu na Wewe?

Tena Nyie Ndio mnao Wadanganya watu, Lakini Kwa Kijana Anayekua Kikazi, Uwezo binafsi uwezo wa kibiashara, Uhuru Hospital Ni sehemu sahihi ya Kufanya Kazi Kama Ukibahatika kupata Ajira. Nisehemu itakayo kupa nafasi ya kukua.

Mkuu Kudanganya watu na wewe ni Mtumishi wa Serikali Hizi Ndio Nidhamu Mbovu na mbaya Ambazo Wafanyakazi wengi wanazo.

Kifupi, UHURU HOSPITAL kama Huna NIDHAMU, Huna INTERGRITY basi Wewe hapakufai kufanya kazi.

Over
Wewe utakuwa Dr Nyasebo, Hapo UHURU jamaa zangu wawili wamepita huyu wamiwisho ndio nikimpokea kituo nilichokuwepo kabla sijaacha kazi huko Mwanza! Kiufupi ni matapeli
 
Habarini wanajukwaa.

Naomba nijikite kwenye mada yangu.

Pengine kutokana na ukosefu wa ajira,kama mtanzania mwenzenu ambae kwa nyakati tofauti nimewahi kuwa katika mkoa wa Mwanza kikazi kama mkaguzi wa maswala ya afya,nimekutana na kisanga cha ubabaishaji na usumbufu kwa baadhi ya hospital za watu binafsi mkoani humo.

Natoa tahadhari ya kwamba ukiomba kazi katika hospital hizi tambua unajitolea la sivyo utapata msongo wa mawazo!

1.HURUMIA WATOTO HOSPITAL

Hospital hii ipo mtaa wa kilelu-Mabatini.

Ni hospital nzuri yenye miundombinu ya kisasa.

Hii hawalipi kabisa mishahara, ukiajiriwa watakubali kiasi chochote cha mshahara ukibahatika utalipwa nusu au awamu moja baada ya hapo hesabu maumivu.

Mabingwa wa kubadili wafanyakazi maana hakuna mtu huvumilia usumbufu,matokeo yake hospital hii imekimbiwa na wagonjwa na iko kwenye mwelekeo wa kujifia.

Hakuna mfanyakazi mwenye mkataba.

2.ALJUMAA HEALTH CENTRE MWANZA
Kituo kidogo katikati ya soko kuu la mwanza la zamani kwenye jengo la msikiti wa Ijumaa.

Hospital ina miundombinu bora sana....iko equipped vizuri sana,inazo mashine za kisasa na vifaa bora sana nadiriki kusema moja ya hospital yenye vitu vizuri sana iko kwenye top 3 ya hospital zenye vifaa vya kisasa kwa mkoa huo.

Pamoja na sifa nzuri nilizotaja hapo juu,kituo hiki kina shida ya uongozi.

Kila kukicha wanabadili wafanyakazi na mshahara ni mpaka maombi,inachukua zaidi ya miezi 2 au 3 wafanyakazi kulipwa

Kazi ya kituo hiki sio guarantee ni kama vibarua tu

Hakuna mfanyakazi mwenye mkataba kama utakuta mkataba ni ubabaishaji tu

Wafanyakazi kituo hiki hawana likizo wala day off!

Iko kwenye mwelekeo wa kujifia.

3.UHURU HOSPITAL
Ipo mtaa wa uhuru karibu na mtaa maarufu wa mlango mmoja.

Moja ya hospital bora sana mwanza ikiwa na miundombinu safi na ya kisasa.

Shida kubwa ni uongozi na mmiliki kua mbabaishaji

Inabadili wafanyakazi kama mvua na mishahara haieleweki wafanyakazi njaa kali

Sio sehemu salama kwa mtafuta ajira

Iko kwenye uelekeo mbaya kama mmiliki wake hatabadirika.

Mikataba hakuna

4.SALAAMAN HEALTH CENTRE MWANZA
Ipo mtaa wa mission karibu na njia panda ya bugando jirani na msikiti wa wahindi ule mweupe.

Kituo kizuri kiasi chake.

Kina tatazo la uongozi

Wanafukuza wafanyakazi kila kukicha,kufanya kazi kituo hiki unatakiwa uwe mvumilivu kuliko uvumilivu wa AYUBU!

Mshahara wanatoa nusu nusu,mfano leo utapewa laki kesho laki 2 baada ya wiki watamalizia

Hawatoi mkataba na wanafukuza na haupati haki yako popote

Usumbufu kwa wafanyakazi umepelekea kukosa wateja.

Mwelekeo wake ni kujifia.

5.STAR MED CARE
Ni dispensary ipo mtaa wa mabatini kama unaelekea shule ya msingi mabatini.

Uongozi ndio changamoto,hali inayopelekea kazi kuharibika matokeo yake kukosa mishahara.

Hizi ni baadhi ya hospital sumbufu sana na si salama sana kwa mtafuta ajira.

Usiku mwema!
Sawa
 
Wewe utakuwa Dr Nyasebo, Hapo UHURU jamaa zangu wawili wamepita huyu wamiwisho ndio nikimpokea kituo nilichokuwepo kabla sijaacha kazi huko Mwanza! Kiufupi ni matapeli
Muongo anajaribu kusafisha kisichowezekana!

Aliwatapeli hata alioanza nao kufanya biashara kipindi wanajiita NILE HEALTH CARE wakiwa waanzilishi watatu akawala chenga.....akaenda kuanzisha uhuru na wahindi ambao nao baada ya mwaka ndoa ikafa .....na hadi kufikishana kwa pilato.


Ombi langu waache ujanjajanja....wafanye vizuri kwa faida ya jamii ya Tanzania.
 
Haha [emoji1]Bw Derick naona umekuja kujaribu kujisafisha,,,,,,wewe huwezi kusafishika wewe ni tapeli mzuri pia....kama mpaka umeshindwa kufanya kazi na mkeo kisa pesa......kama haitoshi wahindi walioweka mtaji mkubwa kipindi uhuru yako inaanza si uliwatapeli wewe haha.

Jirekebishe mzee.

Hayo ni mawazo yako ya Kimaskini Mkuu. Mimi nina Fanya Kazi Pale Leo kesho Hadi Kesho Kutwa. Serikali Haiwezi kuwa na Mkaguzi Kama Wewe [emoji28][emoji28][emoji28] Mwenye mamlaka ya Kutoa Haki Ni Mahakama. Kama Mtu alitapeliwa Mahakam Hazipo? Hizi ni Ndio Akili za Kimaskini.

Huwezi kuniambia Kitu kuhusu Uhuru Nikakulewa mimi na Vizazi Vyangu. Siwaji Ona Mtu Akidhurumiwa Mshahara wake.

Usipende kueneza Uongo.
 
Haha [emoji1]Bw Derick naona umekuja kujaribu kujisafisha,,,,,,wewe huwezi kusafishika wewe ni tapeli mzuri pia....kama mpaka umeshindwa kufanya kazi na mkeo kisa pesa......kama haitoshi wahindi walioweka mtaji mkubwa kipindi uhuru yako inaanza si uliwatapeli wewe haha.

Jirekebishe mzee.
Huyu Derick ndo mmiliki sio? Naona povuu[emoji481][emoji481][emoji38]
 
Ninayo mifano mingi kuhusu uhuru kwa udhurumaji wafanyakazi....

Dentist yule amabae kwa sasa ana kituo chake pale Ghana green view ulimlipa?

Jitahidi kulipa wafanyakazi acha janja Janjaaaa.

Huyo Unajua Wewe, Uhuru haijawai kufanya kazi na Mtu kama Huyo.
 
Wewe utakuwa Dr Nyasebo, Hapo UHURU jamaa zangu wawili wamepita huyu wamiwisho ndio nikimpokea kituo nilichokuwepo kabla sijaacha kazi huko Mwanza! Kiufupi ni matapeli

Thibitisha Mkuu kuwa ni Matapeli?
 
Muongo anajaribu kusafisha kisichowezekana!

Aliwatapeli hata alioanza nao kufanya biashara kipindi wanajiita NILE HEALTH CARE wakiwa waanzilishi watatu akawala chenga.....akaenda kuanzisha uhuru na wahindi ambao nao baada ya mwaka ndoa ikafa .....na hadi kufikishana kwa pilato.


Ombi langu waache ujanjajanja....wafanye vizuri kwa faida ya jamii ya Tanzania.

Jamii Haifaidiki na Uhuru?, imeajiri Zaidi ya wafanyakazi 60 Uhuru Pekee, Inahudumia Zaidi ya Wagonjwa 190 unasemaje Jamii Haifaidiki?, Narudia Hakuna Mkaguzi wa Serikali kama Wewe.

Na Siwezi kuona Taasisi Inayonipa Mkate wa Kila Siku Mtu kama Wewe Anaichafua Never. Kama Wababishaji Kwanini Wameweza kuwa na Wafanyakazi Zaidi ya 60? Kam Wababishaji Kwanini Uhuru imeweza Kuwa Na Tawi jingine (Tanzanite) lilipewa Hadi Ya Hospital Ya Rufaa ya Mkoa? Kama Wababaishaji kwanini Imekuwa Ndio Hospital Yenye NEUROSURGIONE Full Time kwa Kanda Ya Ziwa?

Kama wababishaji Kwanini Inahudumia zaidi ya Wagonjwa 190 kwa siku? Kwa Tawi Moja? Hawa Wagonjwa Wanahudumiwa na Nani?

Usichukie Mafanikio Ya Mtu Jifunze, Kafanikiwa Vipi?
 
Ila Uhuru Hospital hata Mimi yalinikuta. Yule jamaa ni mbabaishaji sana. Halafu ana hasira za hapa na pale
Mke wake ni E.N.T kamdhulumu hadi yeye wakashindwana akaamua kuachana nae kikazi

Mke kaamua kuanzisha ka clinic chake pale uhuru jirani na iliyokua mount meru

Fikiria mme ana hospital na awe smart ashindwe kufanya kazi na mke wake ambae ni specialist wa magonjwa ya kinywa,pua na sikio?

Huyu jamaa ni mbabaishaji hakuna mfano

Aliwatapeli pia wenzake pale NILE HEALTH CARE akina dr Mbaraka ambao walikua CO-Pertiners


Mimi nimewapa tahadhari tu......uhuru badilikeni....mna jina kubwa ila mna uchafu mwingi.....kwa nia njema ndio maana tunawasema tunawapenda!
 
Mke wake ni E.N.T kamdhulumu hadi yeye wakashindwana akaamua kuachana nae kikazi

Mke kaamua kuanzisha ka clinic chake pale uhuru jirani na iliyokua mount meru

Fikiria mme ana hospital na awe smart ashindwe kufanya kazi na mke wake ambae ni specialist wa magonjwa ya kinywa,pua na sikio?

Huyu jamaa ni mbabaishaji hakuna mfano

Aliwatapeli pia wenzake pale NILE HEALTH CARE akina dr Mbaraka ambao walikua CO-Pertiners


Mimi nimewapa tahadhari tu......uhuru badilikeni....mna jina kubwa ila mna uchafu mwingi.....kwa nia njema ndio maana tunawasema tunawapenda!

Akili ya Kimaskini, Ni lazima uhusishe Mambo ya kifamilia na Mambo ya Kazi…!!! Hii waajiriwa wengi huwa Inawagarimu sana. Unataka matatizo ya familia yako yawe matatizo ya Mwajiri wako.

Mambo ya Familia yake sisi wafanyakazi yanatuhusu Nini? Kuwa specialist, Au kuwa CEO hakumaanishi au hakukupi Guarantee ya kuendesha Mambo Ya Ndoa, Wanaachana Wachungaji, Matajiri wakubwa Duaniani, Sembuse Wafanyabiashara? Sijaona Mantiki yako ya Kuingiza Mambo ya Kifamilia Kwenye Taasisi….!!

Wewe ndio Yule mkeo anakuwa Waziri basi na wewe unataka utumie uwanaume wako watu wajue kuwa mkeo ni waziri [emoji28][emoji28] Kaa kwa Kutulia, Lete hoja zenye kueleweka….

Mbona Taasisi inazidi kukua kila kukicha?, Na Wewe Umekiri kuwa Taasisi yetu ni kubwa, Yes ni Kubwa na inakua na wanao ikuza ni Wafanyakazi tukiongozwa na CEO unaye msema Wewe kuwa ni Mbaya…!!!

Uhuru hospital imeajiri zaidi ya Specialists 6 Full time, akiwemo Neurosurgeon Mmoja, Zaidi ya MD’s 8 na hawachukui CO [emoji28][emoji28], Ina Vyumba vya Theatre zaidi ya 3, Ina CT scan, X-Ray, Ultrasound Machines 3, Hata hospital za mkoa hazina, Tumeagiza MRI machine, Nitajie Hospital Gani Mwanza Ina MRI machine? Au NEUROSURGEON Full Time?, Hata Bugando haina ila unaposema watu wasiende kuomba kazi ndio tuna Install MRI machine, halafu wewe uje kusema watu wasiombe Ajira pale ni wababaishaji una akili Wewe mkaguzi [emoji15][emoji15]

Halafu usijifanye kuwa Eti unaipenda Uhuru hospital ndio maana unasema, Mtu anaye ipenda Taasisi huwa sio mnafiki na huwa hashawishi watu wasiombe Kazi. Uhuru hospital Ina Sanduku la Maoni ulishaleta maoni yako?

Lakini kama Kuna Mfanyakazi ameonewa au kufanyiwa ndivyo sivyo si kuna CMA? Ulishaenda CMA ukaikuta Kesi ya Uhuru Hospital?

Naendelea kusema Serikali haiwezi kuwa na mkaguzi kama wewe.
 
Jamii Haifaidiki na Uhuru?, imeajiri Zaidi ya wafanyakazi 60 Uhuru Pekee, Inahudumia Zaidi ya Wagonjwa 190 unasemaje Jamii Haifaidiki?, Narudia Hakuna Mkaguzi wa Serikali kama Wewe.

Na Siwezi kuona Taasisi Inayonipa Mkate wa Kila Siku Mtu kama Wewe Anaichafua Never. Kama Wababishaji Kwanini Wameweza kuwa na Wafanyakazi Zaidi ya 60? Kam Wababishaji Kwanini Uhuru imeweza Kuwa Na Tawi jingine (Tanzanite) lilipewa Hadi Ya Hospital Ya Rufaa ya Mkoa? Kama Wababaishaji kwanini Imekuwa Ndio Hospital Yenye NEUROSURGIONE Full Time kwa Kanda Ya Ziwa?

Kama wababishaji Kwanini Inahudumia zaidi ya Wagonjwa 190 kwa siku? Kwa Tawi Moja? Hawa Wagonjwa Wanahudumiwa na Nani?

Usichukie Mafanikio Ya Mtu Jifunze, Kafanikiwa Vipi?

kufaidika kinamna gani!?.. unadhani hatujui kua mna false positive za Blood smear!?, unadhani hatujui mna forge majibu ya widal test na culture ilhali culture kuna wakati haifanyiki!?.. mdogo wangu amemaliza Bugando na amefanya hapo labortory!.. mambo mengine hayafai ila watu wananyamaza tu!..

katika wote aliofanya nao kijana wangu hapo hakuna ambae alipewa mikataba zaidi ya story za alfu lela ulela, ndo maaana wanaposumbuliwa kulipwa wanashindwa kufungua kesi kulalamika maana hata huko mwenye pesa atashinda tu ukizingatia hata mkataba hakupewa!. yaaan maelewano kauli, na mtu akisisitiza sana mnadai tunakua assess kwanza, What The https://jamii.app/JFUserGuide!?. vingine uhuru mnanyamaziwa tu,

we piga promo piga mbanga unavoweza ila sitajishughulisha na wewe!.

Mwanza sehemu safe kwa vipimo vya kimaabara atleast naona ni Lancet wako pale ghana, agakhan na kamanga, huku pengine private madesa ni mengi sana..
 
Habarini wanajukwaa.

Naomba nijikite kwenye mada yangu.

Pengine kutokana na ukosefu wa ajira,kama mtanzania mwenzenu ambae kwa nyakati tofauti nimewahi kuwa katika mkoa wa Mwanza kikazi kama mkaguzi wa maswala ya afya,nimekutana na kisanga cha ubabaishaji na usumbufu kwa baadhi ya hospital za watu binafsi mkoani humo.

Natoa tahadhari ya kwamba ukiomba kazi katika hospital hizi tambua unajitolea la sivyo utapata msongo wa mawazo!

1.HURUMIA WATOTO HOSPITAL

Hospital hii ipo mtaa wa kilelu-Mabatini.

Ni hospital nzuri yenye miundombinu ya kisasa.

Hii hawalipi kabisa mishahara, ukiajiriwa watakubali kiasi chochote cha mshahara ukibahatika utalipwa nusu au awamu moja baada ya hapo hesabu maumivu.

Mabingwa wa kubadili wafanyakazi maana hakuna mtu huvumilia usumbufu,matokeo yake hospital hii imekimbiwa na wagonjwa na iko kwenye mwelekeo wa kujifia.

Hakuna mfanyakazi mwenye mkataba.

2.ALJUMAA HEALTH CENTRE MWANZA
Kituo kidogo katikati ya soko kuu la mwanza la zamani kwenye jengo la msikiti wa Ijumaa.

Hospital ina miundombinu bora sana....iko equipped vizuri sana,inazo mashine za kisasa na vifaa bora sana nadiriki kusema moja ya hospital yenye vitu vizuri sana iko kwenye top 3 ya hospital zenye vifaa vya kisasa kwa mkoa huo.

Pamoja na sifa nzuri nilizotaja hapo juu,kituo hiki kina shida ya uongozi.

Kila kukicha wanabadili wafanyakazi na mshahara ni mpaka maombi,inachukua zaidi ya miezi 2 au 3 wafanyakazi kulipwa

Kazi ya kituo hiki sio guarantee ni kama vibarua tu

Hakuna mfanyakazi mwenye mkataba kama utakuta mkataba ni ubabaishaji tu

Wafanyakazi kituo hiki hawana likizo wala day off!

Iko kwenye mwelekeo wa kujifia.

3.UHURU HOSPITAL
Ipo mtaa wa uhuru karibu na mtaa maarufu wa mlango mmoja.

Moja ya hospital bora sana mwanza ikiwa na miundombinu safi na ya kisasa.

Shida kubwa ni uongozi na mmiliki kua mbabaishaji

Inabadili wafanyakazi kama mvua na mishahara haieleweki wafanyakazi njaa kali

Sio sehemu salama kwa mtafuta ajira

Iko kwenye uelekeo mbaya kama mmiliki wake hatabadirika.

Mikataba hakuna

4.SALAAMAN HEALTH CENTRE MWANZA
Ipo mtaa wa mission karibu na njia panda ya bugando jirani na msikiti wa wahindi ule mweupe.

Kituo kizuri kiasi chake.

Kina tatazo la uongozi

Wanafukuza wafanyakazi kila kukicha,kufanya kazi kituo hiki unatakiwa uwe mvumilivu kuliko uvumilivu wa AYUBU!

Mshahara wanatoa nusu nusu,mfano leo utapewa laki kesho laki 2 baada ya wiki watamalizia

Hawatoi mkataba na wanafukuza na haupati haki yako popote

Usumbufu kwa wafanyakazi umepelekea kukosa wateja.

Mwelekeo wake ni kujifia.

5.STAR MED CARE
Ni dispensary ipo mtaa wa mabatini kama unaelekea shule ya msingi mabatini.

Uongozi ndio changamoto,hali inayopelekea kazi kuharibika matokeo yake kukosa mishahara.

Hizi ni baadhi ya hospital sumbufu sana na si salama sana kwa mtafuta ajira.

Usiku mwema!
Madaktar mnakazi sana ,polen
 
Kwahiyo kwa Kukosa Kwako Ajira Kote huko ndiyo kwa Hasira zako umeamua uje JamiiForums Kuwachafua?

Yaani inaingia Akilini kweli Wewe Mtu Mmoja uyajue Mapungufu yao ( hizi Taasisi / Zahanati / Hospitali ) zote halafu Serikali yenye Mkono mrefu kupitia Wizara na Taasisi zake Nyeti wasijue?

Inaonyesha una Majungu na Mswahili.
Vituo vyote hivyo kuharibiana? Ushawahi kufanya kazi hivyo vituo?
Mapopoma class A at the corner.
Thread writter kasema yeye ni inspector.

Muwe wepesi wa kusoma kwanza na wagumu wa ku comment utopolo kirahisi.

shubamiit
 
Back
Top Bottom