Tahadhari: Kwa watafuta ajira usijaribu kuomba wala kufanya kazi hospitali hizi jijini Mwanza

Tahadhari: Kwa watafuta ajira usijaribu kuomba wala kufanya kazi hospitali hizi jijini Mwanza

Mkuu, Acha Uongo. Nimefanya Kazi na nina fanya kazi na Uhuru hospital kwa Miaka 5 sahizi. Sijawahi pata Shida ya Mshahara wala Mkataba. Hadi Tanzanite hospital imefunguliwa Bado nipo Na Uhuru Hospital na Tanzanite Hospital Sijapata Hizo Shida Ulizozisema Kwa Miaka 5 yote, Na Wala sijawahi kufikiria kuja Kuacha Kazi Uhuru Hospital Unless Nijiajiri.

Mwaka 2019, Nilienda Nje Ya Tanzania Kusoma, Uhuru hospital Waliendelea kunilipa Mshahara Bila Kuchelewa, Kwa Muda wote nilio Kuwa Nasoma, Na Bila Kunikata Hata Tsh.10, Hadi Nilipo Rudi 2020 nikaendelea nao na kazi.

Sahizi Tena Nimerudi Shule. Uhuru hospital Bado Wananilipa Mshahara Bila Shida Yoyote ile. So Acha Kuwadanganya Watu.

Changamoto niliyo Iona Kwa Miaka 5 yangu ya Kufanya Kazi Kwenye hii hospital Binafsi ni Bad Altitude za WAAJIRIWA. Waajiriwa Wengi Hawana Nidhamu Ya Kazi, Wanachukulia Taasisi Binafsi Hasa Hospital Kama Ni Sehemu Ya KIJIWE. Hii ndio Changamoto kubwa. Mfanyakazi hana Nidhamu ya Kazi, Hadhamini Ajira yake, Haheshimu Kituo Kilichompa Ajira wala Mwajiri wake. Unategema Mwajiri Akuheshimu na Wewe?

Tena Nyie Ndio mnao Wadanganya watu, Lakini Kwa Kijana Anayekua Kikazi, Uwezo binafsi uwezo wa kibiashara, Uhuru Hospital Ni sehemu sahihi ya Kufanya Kazi Kama Ukibahatika kupata Ajira. Nisehemu itakayo kupa nafasi ya kukua.

Mkuu Kudanganya watu na wewe ni Mtumishi wa Serikali Hizi Ndio Nidhamu Mbovu na mbaya Ambazo Wafanyakazi wengi wanazo.

Kifupi, UHURU HOSPITAL kama Huna NIDHAMU, Huna INTERGRITY basi Wewe hapakufai kufanya kazi.

Over
Kwamba uhuru hsptl imekusomeshaaaa[emoji2][emoji2][emoji2]aaahh thubutu ww utakua una share na hiyo hsptl
 
Mkuu, Acha Uongo. Nimefanya Kazi na nina fanya kazi na Uhuru hospital kwa Miaka 5 sahizi. Sijawahi pata Shida ya Mshahara wala Mkataba. Hadi Tanzanite hospital imefunguliwa Bado nipo Na Uhuru Hospital na Tanzanite Hospital Sijapata Hizo Shida Ulizozisema Kwa Miaka 5 yote, Na Wala sijawahi kufikiria kuja Kuacha Kazi Uhuru Hospital Unless Nijiajiri.

Mwaka 2019, Nilienda Nje Ya Tanzania Kusoma, Uhuru hospital Waliendelea kunilipa Mshahara Bila Kuchelewa, Kwa Muda wote nilio Kuwa Nasoma, Na Bila Kunikata Hata Tsh.10, Hadi Nilipo Rudi 2020 nikaendelea nao na kazi.

Sahizi Tena Nimerudi Shule. Uhuru hospital Bado Wananilipa Mshahara Bila Shida Yoyote ile. So Acha Kuwadanganya Watu.

Changamoto niliyo Iona Kwa Miaka 5 yangu ya Kufanya Kazi Kwenye hii hospital Binafsi ni Bad Altitude za WAAJIRIWA. Waajiriwa Wengi Hawana Nidhamu Ya Kazi, Wanachukulia Taasisi Binafsi Hasa Hospital Kama Ni Sehemu Ya KIJIWE. Hii ndio Changamoto kubwa. Mfanyakazi hana Nidhamu ya Kazi, Hadhamini Ajira yake, Haheshimu Kituo Kilichompa Ajira wala Mwajiri wake. Unategema Mwajiri Akuheshimu na Wewe?

Tena Nyie Ndio mnao Wadanganya watu, Lakini Kwa Kijana Anayekua Kikazi, Uwezo binafsi uwezo wa kibiashara, Uhuru Hospital Ni sehemu sahihi ya Kufanya Kazi Kama Ukibahatika kupata Ajira. Nisehemu itakayo kupa nafasi ya kukua.

Mkuu Kudanganya watu na wewe ni Mtumishi wa Serikali Hizi Ndio Nidhamu Mbovu na mbaya Ambazo Wafanyakazi wengi wanazo.

Kifupi, UHURU HOSPITAL kama Huna NIDHAMU, Huna INTERGRITY basi Wewe hapakufai kufanya kazi.

Over
Mmiliki wa Hospital umekuja kwa povu bin povuka....badilikeni aisee.
 
Haijalishi ni kwaa namna gani mnavifaaa tibaa sijui matakataka gani km hamuwatendei haki watumishi wenu ni kazi bureeee

Uko juu kuna mdau kasema mnagushi mpk majibu ya vipimo hii ni hatari sana kwa mustakabali wa wagonjwa wateja wenu

Ukiendeleza ubishi madr waliopita hapo watazidi kuwaumbuaaaa

Badilikeni.
 
kufaidika kinamna gani!?.. unadhani hatujui kua mna false positive za Blood smear!?, unadhani hatujui mna forge majibu ya widal test na culture ilhali culture kuna wakati haifanyiki!?.. mdogo wangu amemaliza Bugando na amefanya hapo labortory!.. mambo mengine hayafai ila watu wananyamaza tu!..

katika wote aliofanya nao kijana wangu hapo hakuna ambae alipewa mikataba zaidi ya story za alfu lela ulela, ndo maaana wanaposumbuliwa kulipwa wanashindwa kufungua kesi kulalamika maana hata huko mwenye pesa atashinda tu ukizingatia hata mkataba hakupewa!. yaaan maelewano kauli, na mtu akisisitiza sana mnadai tunakua assess kwanza, What The JamiiForums. vingine uhuru mnanyamaziwa tu,

we piga promo piga mbanga unavoweza ila sitajishughulisha na wewe!.

Mwanza sehemu safe kwa vipimo vya kimaabara atleast naona ni Lancet wako pale ghana, agakhan na kamanga, huku pengine private madesa ni mengi sana..

Una ushahidi?, ni vipi mtu Ata Force B/S iwe Positive? Ulikuja Ukakosa Reagents Za Widal Mkuu? Kuna Board Ya Maabara kwanini hukupeleka malalamiko? By the Way Uhuru Culture zote zinafanyikia Tanzanite. Huyo Mdogo wako Muulize Vizuriii kuhusu Maabara ya Uhuru, Uhuru maabara huwa hatuchukui vilaza ndio maana atakuwa alishindwa
 
Haijalishi ni kwaa namna gani mnavifaaa tibaa sijui matakataka gani km hamuwatendei haki watumishi wenu ni kazi bureeee

Uko juu kuna mdau kasema mnagushi mpk majibu ya vipimo hii ni hatari sana kwa mustakabali wa wagonjwa wateja wenu

Ukiendeleza ubishi madr waliopita hapo watazidi kuwaumbuaaaa

Badilikeni.

Mwambie athibitishe
 
Mkuu, Acha Uongo. Nimefanya Kazi na nina fanya kazi na Uhuru hospital kwa Miaka 5 sahizi. Sijawahi pata Shida ya Mshahara wala Mkataba. Hadi Tanzanite hospital imefunguliwa Bado nipo Na Uhuru Hospital na Tanzanite Hospital Sijapata Hizo Shida Ulizozisema Kwa Miaka 5 yote, Na Wala sijawahi kufikiria kuja Kuacha Kazi Uhuru Hospital Unless Nijiajiri.

Mwaka 2019, Nilienda Nje Ya Tanzania Kusoma, Uhuru hospital Waliendelea kunilipa Mshahara Bila Kuchelewa, Kwa Muda wote nilio Kuwa Nasoma, Na Bila Kunikata Hata Tsh.10, Hadi Nilipo Rudi 2020 nikaendelea nao na kazi.

Sahizi Tena Nimerudi Shule. Uhuru hospital Bado Wananilipa Mshahara Bila Shida Yoyote ile. So Acha Kuwadanganya Watu.

Changamoto niliyo Iona Kwa Miaka 5 yangu ya Kufanya Kazi Kwenye hii hospital Binafsi ni Bad Altitude za WAAJIRIWA. Waajiriwa Wengi Hawana Nidhamu Ya Kazi, Wanachukulia Taasisi Binafsi Hasa Hospital Kama Ni Sehemu Ya KIJIWE. Hii ndio Changamoto kubwa. Mfanyakazi hana Nidhamu ya Kazi, Hadhamini Ajira yake, Haheshimu Kituo Kilichompa Ajira wala Mwajiri wake. Unategema Mwajiri Akuheshimu na Wewe?

Tena Nyie Ndio mnao Wadanganya watu, Lakini Kwa Kijana Anayekua Kikazi, Uwezo binafsi uwezo wa kibiashara, Uhuru Hospital Ni sehemu sahihi ya Kufanya Kazi Kama Ukibahatika kupata Ajira. Nisehemu itakayo kupa nafasi ya kukua.

Mkuu Kudanganya watu na wewe ni Mtumishi wa Serikali Hizi Ndio Nidhamu Mbovu na mbaya Ambazo Wafanyakazi wengi wanazo.

Kifupi, UHURU HOSPITAL kama Huna NIDHAMU, Huna INTERGRITY basi Wewe hapakufai kufanya kazi.

Over
Yaani umefanya ujinga mkubwa kuja kujitetea kwa kutia chumvi sana. Basi naamini maneno ya mleta mada. Haiwezekani eti uliacha kazi ukaenda kujiendeleza nje ila mshahara wakawa wanakulipa. Hospitali gani private inafanya hivyo, unatuona sisi wapumbavu?
 
Kwahiyo kwa Kukosa Kwako Ajira Kote huko ndiyo kwa Hasira zako umeamua uje JamiiForums Kuwachafua?

Yaani inaingia Akilini kweli Wewe Mtu Mmoja uyajue Mapungufu yao ( hizi Taasisi / Zahanati / Hospitali ) zote halafu Serikali yenye Mkono mrefu kupitia Wizara na Taasisi zake Nyeti wasijue?

Inaonyesha una Majungu na Mswahili.
kila jukwaa una mambo ya kipuuzi na ujinga ujinga
 
kufaidika kinamna gani!?.. unadhani hatujui kua mna false positive za Blood smear!?, unadhani hatujui mna forge majibu ya widal test na culture ilhali culture kuna wakati haifanyiki!?.. mdogo wangu amemaliza Bugando na amefanya hapo labortory!.. mambo mengine hayafai ila watu wananyamaza tu!..

katika wote aliofanya nao kijana wangu hapo hakuna ambae alipewa mikataba zaidi ya story za alfu lela ulela, ndo maaana wanaposumbuliwa kulipwa wanashindwa kufungua kesi kulalamika maana hata huko mwenye pesa atashinda tu ukizingatia hata mkataba hakupewa!. yaaan maelewano kauli, na mtu akisisitiza sana mnadai tunakua assess kwanza, What The JamiiForums. vingine uhuru mnanyamaziwa tu,

we piga promo piga mbanga unavoweza ila sitajishughulisha na wewe!.

Mwanza sehemu safe kwa vipimo vya kimaabara atleast naona ni Lancet wako pale ghana, agakhan na kamanga, huku pengine private madesa ni mengi sana..

Mkuu Wewe hujafanya kazi Hospitalini, Hakuna Hospital ambayo wagonjwa hawajawahi kulalamikia majibu, Na hii hutokana na uelewa Mdogo wa Mgonjwa vs Dalili anazozipata, au majibu aliyoyategemea. Ndio maana hata wizara ya Afya ilianzisha Kampeni ya Kusema Sio KILA HOMA NI MALARIA NENDA KITUO CHA AFYA UKAPIME. Hawakuwa wajinga ni kwasababu wagonjwa wanaenda Hospital Majibu yao au tayari wamesha meza Dawa. Nenda MNH, Nenda KCMC, Hospital zote kubwa Utaona Majibu Yanalalamikiwa. Kwenye Sector ya Afya Sio Kitu cha Ajabu.

Lakini Kama Uhuru Hospital, Majibu ya Mgonjwa Hawezi kufanyiwa Figisu Kwasababu Tuna machines za Kufanya Hivyo Vipimo. Na Vipo vipimo ambavyo hatufanyii Mgonjwa Anaambiwa.

Hiyo B/S unayo sema sisi Tunafanya control pia Na MRDT usiongee kitu Ambacho Hukijui Muulize tena Mdogo wako
 
Yaani umefanya ujinga mkubwa kuja kujitetea kwa kutia chumvi sana. Basi naamini maneno ya mleta mada. Haiwezekani eti uliacha kazi ukaenda kujiendeleza nje ila mshahara wakawa wanakulipa. Hospitali gani private inafanya hivyo, unatuona sisi wapumbavu?

Uhuru Hospital, Nenda Kaulize File Langu. Shida nini Mkuu? Na Sikuacha Kazi Niliomba Ruhusa ya kwenda Kusoma. Sijawahi Acha Kazi mkuu. Hawafanyi hivyo kwenye Taasisi Yako, Mimi ni Shuhuda nimefanyiwa hivyo. Na Naitetea Uhuru kwasababu Ndio sehemu Inayonifanya Nile na Kuingia Jamii Forum kupitia Mshahara wanao Nilipa.

Mkuu mbona Una Panic? Relax na
 
Mimi sio Mkaguzi, Mkaguzi ni aliye leta Mada.
Mkuu private nyingi kwanini hamtoi mkataba wa ajira?
Huwa mnafanya hivyo kwa lengo lakuwatumikisha watu bila ujira!

Umetumia nguvu nyingi kutetea kwa sababu wewe una share hivyo pesa unapata chapu sio?
Kwa vijana mnao wajiri hamuwalipi au mnawalipa kidogo kidogo alfu maneno ya tuvumiliane yanakuwa mengi.

Maoni yangu
Kunifanyisha kazi mwisho wasiku unaleta janjajanja usitegemee heshima itafata mkondo..ukicheza nakuzaba vibao😂😂
 
Mkuu private nyingi kwanini hamtoi mkataba wa ajira?
Huwa mnafanya hivyo kwa lengo lakuwatumikisha watu bila ujira!

Umetumia nguvu nyingi kutetea kwa sababu wewe una share hivyo pesa unapata chapu sio?
Kwa vijana mnao wajiri hamuwalipi au mnawalipa kidogo kidogo alfu maneno ya tuvumiliane yanakuwa mengi.

Maoni yangu
Kunifanyisha kazi mwisho wasiku unaleta janjajanja usitegemee heshima itafata mkondo..ukicheza nakuzaba vibao[emoji23][emoji23]

Mkuu, Kwanza Kabisa Mtu yeyote Yule Anaye Ajiriwa Anajua Wajibu na Haki Yake zake, ndio maana Serikali Ilitoa, Sheria za Ajira na Mahusiano Kazini, Ikaweza na Haki na Wajibu wa Muajiriwa na Muajiri. Kukiwa na Kipengele cha Umuhimu wa mkataba Wa kazi. Kama Umeenda kuomba Kazi ukaanza Kufanya Bila Mkataba au kuomba Mkataba Unataka Kusema Muajiri ndio Ana shida?, wewe Hadi unaanza Kazi Hujui Umuhimu Wa Mkataba? Na Kwanini Ukubali kuanza kufanya Kazi Bila Mkataba?, Japo sio Kwamba Private zote hazitoi mikataba Hapana, Private nyingi sanaa Zinatoa Mikataba.

Na Wajibu wako Ni Mmoja Tuu, Kabla Hujaanza Kazi kaa chini Na Muajiri msign Mkataba. Ukianza kazi Bila Mkataba Hayo ni Mahusiano Yako na Maelewano yako kati ya Wewe Na Muajiri wako, Na Chochote kikitokea usitafute wa kumtupia Lawama Kwasababu ulikuwa unajua Haki zako na Wajibu Wako.

Ukisema Private Masilahi ni Madogo, Umekubaliana Nini Na Muajiri Wako, Makubaliano Yenu mmeyaweka kwenye Maandishi? Usipo fanya hivi kwasababu ya Uhitaji wa kazi au umekaa sana nyumbani au soko la Ajira ni Gumu Unajitafutia matatizo wewe na Sio Muajiri. Hii ni Muhimu sanaaa Watu wanao hangaika na Ajira kuelewa badala ya kuja kumtupia mtu lawama.

Lakini, Kazini Tunaendeshwa sanaaa Na Mahusiano. Ndio maana Serikali Ileta Kipengere cha Mahusiano Kazini, Ni kipengele muhimu sanaaa kinaenda zaidi ya Mikataba… Mfano Sheria Ya Ajira kazini inatambua Ili upate ruhusa ya Kwenda Msibani ni Lazima Aliye fariki awe mmoja ya wale walio tajwa kwenye Mkataba naamanisha Neutral Family, Lakini Mtu unafiwa na Mjomba Wa Mama Yako Sijui, Kwakutambua Umuhimu wa Mahusiano kazini Muajiri anakupa Ruhusa ya wewe kwenda Kuhudhuria mazishi, Japo Mkataba na Sheria Hazimlazimishi kufanya hivyo. Hivi Vitu ni lazima Waajiriwa Waelewee badala ya kwenda Kuwatupia Lawama Waajiri kama Mleta mada Alivyofanya.

Sheria zipo Wazi, Usipolipwa kwa muda gani unaenda CMA kufungua Mashtaka. Lakini Mahusiano Bado yanaenda Nje ya Mkataba. Kuna Kipindi muajiri Hupitia Changamoto za Kifedha, Anawasiliana Na Wafanyakzi kuwa Mshahara utachelewa Kwa Sababu 1,2,3 Wewe kama Muajiriwa Uta Reason Je Hizi sababu nazopewa ni Kweli au hazina Mashiko. Utafanya maamuzi. Lakini isiwe wewe Hutimizi Wajibu wako Lakini unataka Muajiri Akutimizie wajibu wake, Hapana. Bado serikali ilienda mbali Ikaleta Haki na Wajibu wafanyakazi na Muajiri, Kwamba Kila Haki ina Wajibu na Kila Wajibu una Haki.

Kuendelea Kuvilalamikia Hivi Vituo Kwenye JF haiwezi kuwa suruhu kama Wanaoajiriwa hawata elewa Haya. Nenda Mahakamani Kesi za madai na zingine zote huanzia Kwenye Mazungumzo mahakama hutoa muda wa nyie kujadiliana na kuona kama kuna umuhimu wa Kuendelea na Kesi au ifutwe, kesi nyingi zinaishia kwenye mazungumzo na Maelewano kwasababu kuna mtu hakuwa anatambua wajibu na haki zake.


Mleta Maada Amekuja na Mlengo wa Kusema vituo Ambavyo yeye havipendi na hana Ukweli Wa anayo yasema. Hivyo vituo alivyo vitaja Naona watu wakifanya kazi na kufurahia, Na Kuna Vitu hajavitaja watu wanalalamika Vile vile lakini Ukweli wake ni Upi?

Masuala Ya Ajira huwezi Kumuamlia mtu au kumsemea. Kuna waalimu wangapi wanaidai Serikali? Wafanyakazi Wangapi Wanaidai Serikali? Ulisha sikia mtu anasema Usiombe ajira serikalini kwasababu hawalipi?
 
Aisee usingetaja uhuru ningeshangaa sana jmn derick ana dharau yule mtu alafu mitandaoni ana vyo ji express ni tofauti na ukikutana nae live kaka ana dharau haswaa...sitasahau lakini aliwai nipotezea muda wangu kanitoa mkoani mpaka mwanza mwisho wa siku nakuta kwenye interview ni yeye na mkewe ndo wanaendesha interview alafu dharau zake sasa
 
Mkuu, Acha Uongo. Nimefanya Kazi na nina fanya kazi na Uhuru hospital kwa Miaka 5 sahizi. Sijawahi pata Shida ya Mshahara wala Mkataba. Hadi Tanzanite hospital imefunguliwa Bado nipo Na Uhuru Hospital na Tanzanite Hospital Sijapata Hizo Shida Ulizozisema Kwa Miaka 5 yote, Na Wala sijawahi kufikiria kuja Kuacha Kazi Uhuru Hospital Unless Nijiajiri.

Mwaka 2019, Nilienda Nje Ya Tanzania Kusoma, Uhuru hospital Waliendelea kunilipa Mshahara Bila Kuchelewa, Kwa Muda wote nilio Kuwa Nasoma, Na Bila Kunikata Hata Tsh.10, Hadi Nilipo Rudi 2020 nikaendelea nao na kazi.

Sahizi Tena Nimerudi Shule. Uhuru hospital Bado Wananilipa Mshahara Bila Shida Yoyote ile. So Acha Kuwadanganya Watu.

Changamoto niliyo Iona Kwa Miaka 5 yangu ya Kufanya Kazi Kwenye hii hospital Binafsi ni Bad Altitude za WAAJIRIWA. Waajiriwa Wengi Hawana Nidhamu Ya Kazi, Wanachukulia Taasisi Binafsi Hasa Hospital Kama Ni Sehemu Ya KIJIWE. Hii ndio Changamoto kubwa. Mfanyakazi hana Nidhamu ya Kazi, Hadhamini Ajira yake, Haheshimu Kituo Kilichompa Ajira wala Mwajiri wake. Unategema Mwajiri Akuheshimu na Wewe?

Tena Nyie Ndio mnao Wadanganya watu, Lakini Kwa Kijana Anayekua Kikazi, Uwezo binafsi uwezo wa kibiashara, Uhuru Hospital Ni sehemu sahihi ya Kufanya Kazi Kama Ukibahatika kupata Ajira. Nisehemu itakayo kupa nafasi ya kukua.

Mkuu Kudanganya watu na wewe ni Mtumishi wa Serikali Hizi Ndio Nidhamu Mbovu na mbaya Ambazo Wafanyakazi wengi wanazo.

Kifupi, UHURU HOSPITAL kama Huna NIDHAMU, Huna INTERGRITY basi Wewe hapakufai kufanya kazi.

Over
Wewe utakua meneja au mkirugenzi wa moja wapo wa hizo hospitali..unakuja kujisafisha kijanja tumesha kujua..acha wizi na udhurumati..hao ni binadamu wenzako nao wanafamilia zinawategemea...roho mbaya tu kunyonya wenzako.

Serikali imesikia na imeona...

#MaendeleoHayanaChama
 
Ndio ni mawazo ya Kimaskini Hata Wewe una Mawazo ya Kimaskini, Mawazo ya kimaskini ni kutaka Tajiri awe kama yeye aishi kama yeye Maskini anavyo fikiria.
Ungekua na mawazo ya kitajiri usingekuja humu kubishana na masikini..acha udhulumati mwisho wake mbaya..lipa wafanyakazi stahiki zao na wape mikataba..janja janja itakupeleka pabaya.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom