Tahadhari: Kwa watafuta ajira usijaribu kuomba wala kufanya kazi hospitali hizi jijini Mwanza

Nisije nikakujibu Nika Pata Burn, Kwa kuwa wewe Umekuja JF Juzi endelea kuandika hivyo hata ukipata Burn ni kwasababu hujielewi.
Wewe kweli kilaza..burn ndio kitu gani..acha wizi na nikufundishe kitu ukitaka kujibu hoja ondoa hasira na chuki..mana hizo huondoa uwezo wa akili tukafakari..sasa kupata burn ndio kufanyeje..lipa wafanyakazi wape mshahara..na muache kubambikia watu ugonjwa kupitia vipimo feki ili mpige hela za dawa..mna sababisha mzigo wa magonjwa kwa jamii hususani sualala AMR.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kama kuna vituo vya Afya na Hospitali binafsi zenye majina makubwa lakini zenye kujaa ubabaishaji, basi Mwanza ni kinara. Huenda 90% ya vituo vinafsi vya Afya mwanza mjini ni taasisi za kitapeli. Hiyo hospitali inayoitwa Uhuru pamoja na Tanzanite (wamiliki ni wale wale) ni taasisi za kitapeli kabisa kwenye suala la ajira. Nimewahi kukutana na watu kadhaa wakisema hayo, ni sifa mbaya ambayo inafahamika sana.
 
Umeandika ujinga mtupu..upotolo..lipa wafanyakazi kwa wakati..wape mkataba ndio sheria ya ajira inataka hivyo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sikia mkuu. Tenda haki, lipa wafanyakazi wako. Hata kama kuwapa mikataba ni vigumu, najua sometimes inaweza kukupa shida kulingana na position ya taasisi yako ila kulipa salary kwa wafanyakazi kusiwepo na blah blah. Hiyo ni dhambi kubwa mnafanya. Usipowapa mishahara yao sahihi hutokufa?
 

Ulishindwa Interview au walikuwa na Dharau? Mtu mwenye Dharau angekufanyia interview?
 

Mtu alie soma Na Akawa anategemea kuajiriwa Hawezi kuibiwa.
 
Ungekua na mawazo ya kitajiri usingekuja humu kubishana na masikini..acha udhulumati mwisho wake mbaya..lipa wafanyakazi stahiki zao na wape mikataba..janja janja itakupeleka pabaya.

#MaendeleoHayanaChama

Na sibishani na Mtu natoa FACTS
 

Lete uthibitisho mkuu Wa mtu alie bambikiwa Ugonjwa?
 

Umesikia Kwa Watu, Uliwahi kuthibitisha?
 
Umeandika ujinga mtupu..upotolo..lipa wafanyakazi kwa wakati..wape mkataba ndio sheria ya ajira inataka hivyo.

#MaendeleoHayanaChama

Unaifahamu sheria ya Ajira? Ndio inakwambia hivyo? Mkuu usikurupukie kitu Usicho kijua. Mkataba ni wa upande mmoja? Sheria Inayosimamia Mikataba Yote Tanzania Inasemaje kuhusu Mkataba?
 

Umepiga pale ukaona Mfanyakazi Halipwi?
 
Kuna shuhuda nyingi nimepokea pm dah,nina muda zaidi ya mwaka tangu nihame Mwanza

Nitataoa mrejesho,kifupi ni hatari serikali piteni vituo hivyo mkaangalie madudu....na vingne vimeongezeka

Nitaleta mwendelezo.

Acha Uongo Mkuu, Mimi nimepokea PM nyingi watu wakitaka kuja Kufanya kazi! Alie kuzidi Kakuzidi Mkuu.
 
We jamaa hata kibarua tu akikufanyia kazi yako hapo usipomdhulumu ashukuru sana. Wapo jamaa umewatendea ndiyo sivyo hapo. Nawafahamu
Halafu anatufanya sisi humu kama watoto..kabaki yeye tu kujidefend..kama unafanya vyema watu watakusemea sio wewe..ukiona watu wengine hawakusemei unahangaika pekeako kujisemea ujue tatizo lipo.

Huyu jamaa mwisho wake mbaya jasho la mtu hua haliendi bure..nampa tahadhari alipe wafanyakazi kwa wakati na pia awape mikataba ya kazi..kama hawezi kutoa huduma bora afunge hospitali akafanya kazi nyingine..muda utaongea.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hasa hiyo salaaman h/c ni ya kifala sana kuna jamaa mwenye kipara hana roho mbaya sana.
 
Mkuu Gentamycine huyo jamaa kasema ukweli, hizo zotee alizozitaja ni hosp za ubabaishaji na hakuna mtu anayepewa mkataba, pia mshahara unaweza kusubiri zaidi ya miezi mitatu pia zinaongoza kwa unyanyasaji kwa wafanyakazi wao, wanakauli zao kuwa "shida zako ndio zilizokuleta hapa"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…