Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 14,809
- 11,825
Peremende pekee ndio Hazina Madhara...Hivi kuna kitu tunachokula ambacho ni salama kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Peremende pekee ndio Hazina Madhara...Hivi kuna kitu tunachokula ambacho ni salama kweli?
Pale napo ni sumu tupu watu wanalishwaNa kwa msisitizo zaidi kituo cha daladala chaitwa MCHICHA!!
Hii ndio kitu ninacholilia kila siku yaan nasubiri mwezi wa 8 hiivi niende RUVU nikaanze kilimo cha mbogamboga hasa spinach, Chinese but soko la uhakika ndio nilikuwa sijawa nayo ila nikshakuwa na soko la uhakika nataka nikakae kabisa huko nitoke huku DSM nikimalizana na university.Mto Ruvu haupo mbali na Dar. Kwa nini serikali isuchukue juhudi za makusudi kuchochea kilimo cha mboga mboga Ruvu na hivo kuhakikisha wakazi wa Dar chakula salama.
Nashangaa wanatuambia tu kwenye media mjiajiri wakati mtaji ni shida kupata! Wengine mitaji yetu ya kuanza kilimo ata sio mikubwa kiasi kwamba wangefanya makubaliano na bank moja inaweza kumaliza tatizo kabisa kwa mfano kila kijana anetaka kulima unampa 2Mil ya kuanzia inatosha kabisaNi janga na jipu pia - hapa kuna fursa kubwa tu ya vijana, ila wapatiwe uwezo yatengwe maeneo salama na serikali iweke miundombinu ya umwagiliaji wa maji safi halafu ikodishe bustani hizo kwa vijana ambao wamejaa mjini hawana ajira. Wanasiasa lichukueni hilo; hiyo miundombinu mbadala ikiwekwa basi sehemu chafu zote watu waondolewe kama wanavyovunja mabanda ya kando ya barabara, only after serikali imeweka sehemu mbadala ndio wawavunjie, lakini kwa sasa tunakula sumu tu
Kuna watu wana PHD zao za food, chemical, environmental, agriculture wamefanya utafiti na kusema hzo mboga sio salama sasa cjui nyie mnabishana nini au fanyeni basi utafiti wenu ili tujue. Kama ni biashara yako ujakatazwa kufanya ila mjue kuwa sio salama kwa mlaji alaf madhara sio lazima upate Leo maana unaweza kufka miaka 40-50 ukaaambiwa una cancer na ukashindwa kuelewa umeipatajeMkuu, this is very technical na ni vigumu kujua directly unless chemical analysis imefanyika.
Pitia link hizi utapata facts zote:
Field accumulation risks of heavy metals in soil and vegetable crop irrigated with sewage water in western region of Saudi Arabia
Open dumping of municipal solid waste and its hazardous impacts on soil and vegetation diversity at waste dumping sites of Islamabad city
Einstein penye wengi pana mengi,mengine ya kufurahisha, mengine ya kushangaza, mengine ya kufikirisha, mengine ya kuchekesha na mengine ya kujenga, almradi kila reply unayoisoma unapata picha ya mtu alivyo kwenye uhalisia wakeKuna watu wana PHD zao za food, chemical, environmental, agriculture wamefanya utafiti na kusema hzo mboga sio salama sasa cjui nyie mnabishana nini au fanyeni basi utafiti wenu ili tujue. Kama ni biashara yako ujakatazwa kufanya ila mjue kuwa sio salama kwa mlaji alaf madhara sio lazima upate Leo maana unaweza kufka miaka 40-50 ukaaambiwa una cancer na ukashindwa kuelewa umeipataje
Hii idea ni nzuri sana dada hasa kiafya na kiusalama lakini wengi wetu bado kupenya kwenye bongo zetuUnaweza kupanda mboga za majani nyumbani hata kama una sehemu ndogo, karai bovu unaweka udongo na mbolea unaweka mbegu za mchicha. Una uhakika jinsi ulivyootesha na hazina kemikali.
Mbolea aina gani?Unaweza kupanda mboga za majani nyumbani hata kama una sehemu ndogo, karai bovu unaweka udongo na mbolea unaweka mbegu za mchicha. Una uhakika jinsi ulivyootesha na hazina kemikali.