TAHADHARI: Mboga za majani wanazokula wakazi wa Dar ni sumu tupu

TAHADHARI: Mboga za majani wanazokula wakazi wa Dar ni sumu tupu

Niliamua kulima mbele ya nyumba kuna sehemu ndogo iko wazi huu mwaka wa 5 sinunui mboga asilani. Naweka kila kinachoweza kuota kidogo kidogo. Mwaka jana nilipanda biringanya miche kama 8 nilikuwa navuna ndoo inajaa. Hapo hapo niliweka miche 4 ya papai kufanya utafiti nayo. Nafanya zaidi nikitoka kazini na weekends. Wadada hawapendi hizo kazi but kumwagilia wanasaidia ila akimwagilia jioni asubuhi nawahi kuamka namwagilia maana wanalipua pia kama huingii sana. Ninasupply pia kidogo kazini kwangu kwa sababu zinakuwa nyingi familia yangu haiwezi kumudu kutumia zote. Majirani zangu wanatumia pia kila wanapohitaji. Inawezekana, kama huna eneo panda kwenye makopo na ndoo. Nina mpili pili 1 tu lakini umezaa sana sana nimegawa sana pilipili mafungu kwa mafungu na bado uko fiti.
 
Niliamua kulima mbele ya nyumba kuna sehemu ndogo iko wazi huu mwaka wa 5 sinunui mboga asilani. Naweka kila kinachoweza kuota kidogo kidogo. Mwaka jana nilipanda biringanya miche kama 8 nilikuwa navuna ndoo inajaa. Hapo hapo niliweka miche 4 ya papai kufanya utafiti nayo. Nafanya zaidi nikitoka kazini na weekends. Wadada hawapendi hizo kazi but kumwagilia wanasaidia ila akimwagilia jioni asubuhi nawahi kuamka namwagilia maana wanalipua pia kama huingii sana. Ninasupply pia kidogo kazini kwangu kwa sababu zinakuwa nyingi familia yangu haiwezi kumudu kutumia zote. Majirani zangu wanatumia pia kila wanapohitaji. Inawezekana, kama huna eneo panda kwenye makopo na ndoo. Nina mpili pili 1 tu lakini umezaa sana sana nimegawa sana pilipili mafungu kwa mafungu na bado uko fiti.
Unaweza kuniunganisha kwenye hiyo supply chain yako?
 
Unaweza kuniunganisha kwenye hiyo supply chain yako?

Sitaweza, Mboga sio nyingi sana, bustani ni ndogo tu ya kutumia mimi mwenyewe ila mboga zinakuwa nyingi hatuwezi kumaliza ndio maana nawauzia pia ofisini nilipo ambapo pia hazitoshelezi mahitaji yao, nawaletea mara 1 kwa wiki kila mmoja mafungu anayohitaji halafu naacha ichipuke tena, lakini wangependa kupata karibu kila siku jambo ambalo kwa sasa haliwezekani.
 
Sitaweza, Mboga sio nyingi sana, bustani ni ndogo tu ya kutumia mimi mwenyewe ila mboga zinakuwa nyingi hatuwezi kumaliza ndio maana nawauzia pia ofisini nilipo ambapo pia hazitoshelezi mahitaji yao, nawaletea mara 1 kwa wiki kila mmoja mafungu anayohitaji halafu naacha ichipuke tena, lakini wangependa kupata karibu kila siku jambo ambalo kwa sasa haliwezekani.
Ongeza uzalishaji, huo ni ujasiriamali mzuri utakutoa biashara ipo
 
Mwenzenu nina bustani yangu nzuri na mboga zangu zote ni organic lakini wateja sipati wa kutosha. Mbezi beach kama unahitaji ni PM tafadhari. Mchicha, majani ya maboga, majani ya viazi na majani ya kunde kwa sasa. Pilipili zipo pia. Situmii mbolea ya dukani natumia mbolea ya sungura wangu ambao wanatumia chakula changu na lusina.
Mbezi beach sehemu gani?
 
Huku kwetu zinajiotea tu popote ni saaafi hazina contaminants
e51f4832642f5c8daed192eb0c0fdec4.jpg
e13d578c6710f63be475a477682e040c.jpg
 
word
na zingine zinashinda zinakojolewa na wapita njia, Mungu atusaidie
 
Hivyo ule utamaduni wa kupanda mboga zako uwani au nje ya nyumba umeishia wapi? Manake mie nakumbuka wakati tunakua tulikua tunanunua mboga mara chache saaana. Tulikua tumepanda matembele, mboga za maboga, kisamvu nk. Lakini nyumba za siku hizi hata vimche vichache vya mboga hamna, ni mismenti kila mahali. Yaani naitamani ile hali ya zamani. Ndio maana watu utakuta wanakula mboga za majani nk, lakini bado wanakufa na kansa. Yaani siku hizi kila nyumba kuna mtu ambaye ana kansa au kafa na kansa unamjua. tubadilike jamani, tujali afya zetu.

tunapanda majani/ukoka na kuweka parking, kazi kweli kweli
 
Ongeza uzalishaji, huo ni ujasiriamali mzuri utakutoa biashara ipo

Tatizo wasaidizi wa www.com ni shida. Mfano; Ili niupate mchicha inabidi kuusimamia kufukuzia ndege wasiule unapoanza kuota. Ukiondoka dada anashinda kwenye TV anaangalia movie ukija weekend kucheck unakuta kipara umeliwa wote. Niliweka hadi kijana ashughulike tu na hiyo bustani maana inanilipa na ingemlipa pia, hakuweza hata kuinulia tu biringanya zilizokuwa kubwa zinakaa chini kwa miti achilia mbali kuweka mbolea. Najitahidi asilimia kubwa nafanya mwenyewe na muda ni mchache, eneo ni dogo, labda nikistaafu nitahamia shamba kabisa.
 
Mboga za majani nazo nadhani kila mtu ajifunze kutengeneza bustani yake mwenyewe hata simple tu kama hii....
 

Attachments

  • 9604_1173130409366122_2132786412911108260_n.jpg
    9604_1173130409366122_2132786412911108260_n.jpg
    13.4 KB · Views: 99
Mboga za majani nazo nadhani kila mtu ajifunze kutengeneza bustani yake mwenyewe hata simple tu kama hii....
Nimeshafanya hivyo before nitakueleza wapi kwenye maongezi yetu. Mwenye nyumba wangu aliniiga sasa watoto na wajukuu wake huko ughaibuni wanatumia mapipa yangu.
 
Nimeshafanya hivyo before nitakueleza wapi kwenye maongezi yetu. Mwenye nyumba wangu aliniiga sasa watoto na wajukuu wake huko ughaibuni wanatumia mapipa yangu.
Hii ni nzuri hata kama huna ardhi ya kutosha unaifanya tu
 
Tatizo wasaidizi wa www.com ni shida. Mfano; Ili niupate mchicha inabidi kuusimamia kufukuzia ndege wasiule unapoanza kuota. Ukiondoka dada anashinda kwenye TV anaangalia movie ukija weekend kucheck unakuta kipara umeliwa wote. Niliweka hadi kijana ashughulike tu na hiyo bustani maana inanilipa na ingemlipa pia, hakuweza hata kuinulia tu biringanya zilizokuwa kubwa zinakaa chini kwa miti achilia mbali kuweka mbolea. Najitahidi asilimia kubwa nafanya mwenyewe na muda ni mchache, eneo ni dogo, labda nikistaafu nitahamia shamba kabisa.
Kwani during week days hauishi hapo? Kwanini ustuke weekend kuwa spinach imeliwa na ndege
 
Back
Top Bottom