Tahadhari mnaopenda kuchukua wasichana warembo

Tahadhari mnaopenda kuchukua wasichana warembo

Majini pia yapo kwa ajili ya wanawake wapenda pesa na kujitongozesha kwa wanaume wazuri na wenye pesa,hivyo nanyi wanawake muwe makini.
kuna mtu mmoja hapa hapa Dar es saaam alioa kabisa, akazaa na mtoto mmoja na mwanamke asomfahamu...kuna siku moja yule mkewe akamwambia, leo nataka uwahi kurudi nyumbani mapema sana, kwasababu nataka kuja kulala kikwetu...jioni ilipofika, yule mwanamke akamwambia sasa ni muda wa mimi kulala kikwetu...mwanaume akawa anacheka tu akifikiri anamtania labda ni manjonjo ya mahaba...ebwanaeee, akastukia mwanamke ameaa kichwa chini miguu juuu inaeekea darini, ameshikilia vidole tu kwa chini na haanguki wala nini...bifu la kuchanganyikiwa na kuzirai lilipoisha, ndo ilikuwa mwisho wa ndoa hiyo na mwanzo wa kupotea/kuyeyuka kwa hilo jini mtu pamoja na mtoto wake ambaye lilimuua kwa kumchinja kabisa...akaondoka naye kwenda kuzimu...

pale magomeni kuna majini mengi sana, wanavaa ushungi mweusi ni wazuri sana, na wanavutia..wachawi wengi wa kiislam huwa wanayaoa, yanawajengea na nyumba, wanaishi nayo...shehe wa msikiti, au imam au mtu yeyote aliyebobea kwenye elimu ya kiisam, lazima aoe jini, achiia wake wengine wengi...hii kitu inajulikana kabisa...
 
pale magomeni kuna majini mengi sana, wanavaa ushungi mweusi ni wazuri sana, na wanavutia..wachawi wengi wa kiislam huwa wanayaoa, yanawajengea na nyumba, wanaishi nayo...shehe wa msikiti, au imam au mtu yeyote aliyebobea kwenye elimu ya kiisam, lazima aoe jini, achiia wake wengine wengi...hii kitu inajulikana kabisa...

Tha tha hii si hatari?
 
Kwenye mawindo yangu wakati wote nina kamfupa ka kitimoto kwenye walet yangu. Majini hayana nafasi kabisa kabisa na Mchungaji
Mchungaji unatufundisha nini kondoo wako?ila washauri kaka zetu wale wasiofika kwenye ibada wabebe vimfupa.
 
wanaume mnaopenda kuchukua wasichana warembo hususani kama umekutana nae siku moja na kumtaka kimapenzi ikibidi kusex nae siku hiyo hiyo ni hatari sana.
mtaani sasa hivi majini wanawake yamejaa sana, utaona ni mrembo kama malaika kumbe jini utamdu muda si mrefu utapotea au utapata madhara

hakikisha msichana unaetaka kuwa nae kimahusiano unamjua vizuri eithe anaishi wap, anafanya kazi wap, marafiki zake ni nani, alisoma wapi na ufanye uchunguzi wa kina kabla hajaparamia majini!

Majini watu ni wengi wanapita mabaa usiku au njiani wamesimama mchana/usiku wanarembua kweli kweli tuwe makini kwa hilo nina mifano hai wameonekana.

1.hakuna mwanamme asietaka binti mrembo.
2.kulikwepa jini,ni kazi kubwa labda lisikupende
 
Mchungaji unatufundisha nini kondoo wako?ila washauri kaka zetu wale wasiofika kwenye ibada wabebe vimfupa.

Mafuta ya kitimoto ni kinga kubwa! Hata wewe wale wenye majini akina kaka mahaba dawa yao paka mafuta ya kitimoto
 
mifano hi ipo ila siyo mimi kuna my friend naishi nae ilimtokea maeneo ya posta, alikuwa anatokea IFM akiwa anadrive kwa mbele akaona bint mzuri amesimama pale karibu na jenfo la kitegauchumi majira ya saa 6 usiku alipo mkaribia akasimamisha gari ili amsemeshe aondoke nae, kabla hajamsemesha ghafla akamwona yupo ndani ya gari siti ya nyuma wakati milango yote ipo locked hajui kapita wap........ akawa kama kachanganyikiwa vile alichofanya ni kukimbiza gari hadi kariakoo pake sokoni penye watu wengi akasimama akashuka akamwacha mrembo/jini knye gari akakimbia kwa miguu hadi magomeni. asubuh yake akatuma mtu mwingne akachukue ile gari pale kkoo bahati nzuri akaikuta ipo salama.

Nafikiri hii inasaidia watu kuwa na adabu...sidhani kama huyo rafiki yako atawaza tena kujichukulia mwanamke yeyote barabarani...!
 
kuna mtu mmoja hapa hapa Dar es saaam alioa kabisa, akazaa na mtoto mmoja na mwanamke asomfahamu...kuna siku moja yule mkewe akamwambia, leo nataka uwahi kurudi nyumbani mapema sana, kwasababu nataka kuja kulala kikwetu...jioni ilipofika, yule mwanamke akamwambia sasa ni muda wa mimi kulala kikwetu...mwanaume akawa anacheka tu akifikiri anamtania labda ni manjonjo ya mahaba...ebwanaeee, akastukia mwanamke ameaa kichwa chini miguu juuu inaeekea darini, ameshikilia vidole tu kwa chini na haanguki wala nini...bifu la kuchanganyikiwa na kuzirai lilipoisha, ndo ilikuwa mwisho wa ndoa hiyo na mwanzo wa kupotea/kuyeyuka kwa hilo jini mtu pamoja na mtoto wake ambaye lilimuua kwa kumchinja kabisa...akaondoka naye kwenda kuzimu...

pale magomeni kuna majini mengi sana, wanavaa ushungi mweusi ni wazuri sana, na wanavutia..wachawi wengi wa kiislam huwa wanayaoa, yanawajengea na nyumba, wanaishi nayo...shehe wa msikiti, au imam au mtu yeyote aliyebobea kwenye elimu ya kiisam, lazima aoe jini, achiia wake wengine wengi...hii kitu inajulikana kabisa...



rev masanillo kasema dawa yao ni kitimoto au ndio maana waislam hawapendi kitimoto wasije wakakorofishana na hayo majini?
 
Nafikiri hii inasaidia watu kuwa na adabu...sidhani kama huyo rafiki yako atawaza tena kujichukulia mwanamke yeyote barabarani...!

mbona alikoma .................................. ila dada hata wewe una uso mzuri sana jinsi ulivyo hata ukiniambia ni jini naweza nikajitoa mhanga
 
quote_icon.png
Originally Posted by Rev Fr Masanilo
Kwenye mawindo yangu wakati wote nina kamfupa ka kitimoto kwenye walet yangu. Majini hayana nafasi kabisa kabisa na Mchungaji

...????????Well...atleast unajali usalama wako!




kuna mmoja kasema kuna jini kafri linakula hadi kitimto
 
quote_icon.png
Originally Posted by Rev Fr Masanilo
Kwenye mawindo yangu wakati wote nina kamfupa ka kitimoto kwenye walet yangu. Majini hayana nafasi kabisa kabisa na Mchungaji


kuna mmoja kasema kuna jini kafri linakula hadi kitimto

Jini Kafri dawa yake ni pua ya kiti moto hasa supu yake
 
mbona alikoma .................................. ila dada hata wewe una uso mzuri sana jinsi ulivyo hata ukiniambia ni jini naweza nikajitoa mhanga

Hahahaha.....unafurahisha kweli Dr wa ukweli. Unatoa tahadhari wakati wewe mwenywe jaribu linaweza kukushinda....pole!
 
Back
Top Bottom