fathergetho
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 1,556
- 914
Shukrani kwa ushauri wenu. Tunayazingatia hayaKila mgombea ubunge agakiki mfumo wa mawasiliano toka kila kituo kwenda kwenye kata na jimboni na taifani. Najua mawakala hawataruhusiwa kuwa na simu lakini tafuteni njia mvadala ya kuhakikisha mawasiliano yanakuwepo. Agenda ya Nguvu ya uma iwe on place kwa sababu kuna kila dalili ya uhujumu. Andaeni umma. Ccm ni wachezaji, ni refa, washika vibendera, na makamisaa. Msiamini kabisa system.
Tena kipigo cha mbwa koko.Chadema acheni uoga, kipigo kipo pale pale
Si ndio tunayambia makenge haya hayaelewi kabisa yanajifanya kichwa ngumu sana hayahuu ndio upumbav wa zec
Yaani mnakaa na kubuni uongo uongo , uhalisia wote mnaujua ndomana mizengwe kila konaaaaaWaache wajitishe tuu mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Siasa ni sayansi na sayansi ni namba. Tunawashukuru kwa kushiriki
View attachment 1609046
Ona ushezi wenuView attachment 1609054
Kuna mwanamikakati gani pale kwenye timu ya Magufuli!?Ccm ni ya kushindwa kirahisi hivyo? Itakuwa ni uzembe na kashfa kwa timu yao kupanga mikakati ya ushindi
Kutafuta kura milioni 7 ndio kumfanye mtu arisk kuchungulia futi 6 chini!?Waache wajitishe tuu mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Siasa ni sayansi na sayansi ni namba. Tunawashukuru kwa kushiriki
View attachment 1609046
Bado kulishwa mbolea ya binadamu.Kenge weee huna hata aibu.mnaandaa daftari bubu la wapiga kura mpaka hamjui mnachofanyaView attachment 1609051View attachment 1609052
Uchaguzi ukiisha CCM lazima washitakiwe kwa kuwatumikisha watoto. Hii ni laana na ushetwani mkubwa sana.Ndo Hawa mnawategemea kujaza mikutano, maagizo kwa walimu,manesi, Askari n.k
Muda ushaisha, iwe jua iwe mvua CCM mnapigwa asubuhi tuView attachment 1609057
Ushauri mzuri,piakuna ushauri wa kigogo kashautoa!! Kabla ya kufika tar 28 inabidi makatibu na wenyeviti wa majimbo wa act/chadema wafatilie vituo hewa vyote! na pia lazima wawe na tallying center za kila kata-jimbo-mkoa(summation) ya mkoa ndio inaenda makao makuu ,hii itasaidia kujua jumla kuu ya vituo halali tu ,kisha mnafanya comparison ya kura na NEC katika ngazi ya jimbo ,zikienda tofauti tu na idadi halisi ,hapo inatakiwa ACT/Chadema waweke online matokeo yote nchi nzima ambayo ni halisi ,wakishaweka sisi tutajua cha kufanya!!Kuelekea uchaguzi wa tarehe 28 naomba Chadema na ACT Wazalendo mchukue tahadhari muhimu
1) Kuhusu mawakala wenu, wajiamini, wawe makini na matukio yote, wawe wenye uzalendo maana pesa nyingi zitamwagwa siku hiyo. Pia wawahi mapema sana kabla ya saa moja maana mbinu chafu zinapangwa kutumika mapema sana asubuhi!...
Mpaka TISS wanatupa mbinu za kulinda ushindi wetu ujue CCM imechokwa
Kipigo hakiepukiki safari hii wanatapatapa safari hii hakuna kura ya huruma Chadema must go to hell where it came fromChadema acheni uoga, kipigo kipo pale pale
Chadema acheni uoga, kipigo kipo pale pale