Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Hapo vip!
kiukweli binafsi hili limenitokea mara kaza,kuna jamaa huwa napanga naye mikakati mara nyingi na sometime hata nampotezea ananitafuta mwenyewe ila kila nikiweka naye mkakati sereous,anabadilika from no where au anayeyuka tu na kupotea baadaye anakuja kwa njia nyingine.
Nikaanza kumchunguza back ground ya malezi yake nikagundua amelelewa na Single mother,sasa huyu anatabia kwa asilimia nyingi na wale watoto wakiume ambao wamelelewa na Single mother.
unajua siwalaumu watoto wa kiume wanaolelewa na Single mother kwasababu hawajajitakiwa inatokea ila nimeona niweke tu kama tahadhari fulani.
Kijana huyu kwasababu amalelewa na mama,yeye kwenye akili yake na imani yake anaamini ushauri wa mwanamke ni bora na sahihi kuliko ya mwanaume
Unaweza ukapanga naye mkakati akikutana na ushauri wa mwanamke,mke wake au mama yake atachukua na kuifanyia maamuzi kuliko ushauri ambao mmeshauriana kama wanaume.
kiukweli binafsi hili limenitokea mara kaza,kuna jamaa huwa napanga naye mikakati mara nyingi na sometime hata nampotezea ananitafuta mwenyewe ila kila nikiweka naye mkakati sereous,anabadilika from no where au anayeyuka tu na kupotea baadaye anakuja kwa njia nyingine.
Nikaanza kumchunguza back ground ya malezi yake nikagundua amelelewa na Single mother,sasa huyu anatabia kwa asilimia nyingi na wale watoto wakiume ambao wamelelewa na Single mother.
unajua siwalaumu watoto wa kiume wanaolelewa na Single mother kwasababu hawajajitakiwa inatokea ila nimeona niweke tu kama tahadhari fulani.
Kijana huyu kwasababu amalelewa na mama,yeye kwenye akili yake na imani yake anaamini ushauri wa mwanamke ni bora na sahihi kuliko ya mwanaume
Unaweza ukapanga naye mkakati akikutana na ushauri wa mwanamke,mke wake au mama yake atachukua na kuifanyia maamuzi kuliko ushauri ambao mmeshauriana kama wanaume.