DOKEZO Tahadhari: Pesa bandia za Tsh. 5,000 na 1,000 zimezagaa mtaani, tuwe makini

DOKEZO Tahadhari: Pesa bandia za Tsh. 5,000 na 1,000 zimezagaa mtaani, tuwe makini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tafadhali ndugu zangu angalizo wiki hii kuna pesa nyingi za Bandia nimekutana nazo nahisi kama kuna watu wameanza kuingiza pesa Bandia ktk mzunguko.
Nilikutana na noti ya elfu 2, 5 na 1 nyepesi kuliko kawaida, hadi mtu unashangaa na kuikagua mara mbili mbili na ni kwa nyakati tofauti
 
Mi mwenyewe nilishangaa mwaka 2020 matatu number iko ndani pale mbele unalipa kwa M-pesa kama huna cash.
Kenya wapo mbali sana.
Sisi si ipo hiyo lipa kwa Mpesa lakini sasa serikali bado inakukata hata ukilipa hivyo...

Hii inaendana na cheap internet. Watu wakiwa na internet wana download app ya Mpesa, tigopesa etc inakuwa na option za malipo kila sehemu hadi malipo ya serikali, kuingia kwenye SGR, BRT nk.
Sisi huku tu kulipia 5000 tu kwa mpesa wanakata 1000 nzima sasa si bora ulipe cash..

Yaan Tanzania we need a serious Minister of finance na governor mzr wa BOT. Tuajili hata wakenya basi kama watz hatuwezi...wao hata dollar kwa kenyan shillings haiporomoki...ilikuwa imepanda kufika 160ksh sasa wameishusha to 128ksh within 5 months
Na sababu ni cashless economy...kwamba hata exchange rates zinafanyika huko huko mpesa...
Sisi sasa...
Tungeanza hata kwa baadhi ya maeneo kulipa kwa mpesa bila makato...mfano Daladala zote, bodaboda, bajaji kila mtu afungue pochi la biashara ndani ya Mpesa...mtu sio lazima alipe cash...waelimishwe faida yake kama kutoa usumbufu wa kutafuta change na kuondoa upotevu hela...
Mwezi mmoja unatosha hii kusambaa nchi nzima....

Kenya hadi matatu wanawifi kuwezesha abiria alipe kwa Application ya Mpesa. Hizo router za Voda, Airtel zingekuwa zinafungwa kwenye Daladala, brt nk au vituo vya mwendokasi vyote vingekuwa na WiFi....sijui kwa nini makampuni ya simu hayachangamki yapo yapo tu.
Yaan Tanzania...cheiii..
 
Nafikiri haujaelewa, cashless inaweza kuwa unaenda kununua bidhaa una scan kufanya malipo kutoka katika account yako instead of paying cash.
Yes. Hata huyo muuzaji ndani ya Mpesa application yake ya simu anaweza kuwa na bar code...mteja anascan tu na kufanya malipo. Message inakuja tu ya kupokea malipo bila makato.

Yaani sisi Watz sijui tulilaaniwa kupata viongozi wasiowaza kurahisisha maisha ya watz. Yaan wapo wapo tu. Kazi kumuabudu Mama Samia
 
Hakuna pesa bandia.
Mimi kila siku napata pesa ila pesa bandia sizioni
Tukubali kuna hizi movies zinazungumzia uhalisia wa maisha,

sasa series moja ya kihindi inaitwa Farzi.. main actor ni Shahid Kapoor, kwenye hii series jamaa ni artist wa uchoraji, anatengeneza noti bandia hadi mashine inashindwa kutambua kama ni noti bandia...

Point kuu ni kwamba huenda umekutana nazo nyingi tu ila umeshindwa kuzitambua kutokana na uhodari wa mtengenezaji
 
Tukubali kuna hizi movies zinazungumzia uhalisia wa maisha,

sasa series moja ya kihindi inaitwa Farzi.. main actor ni Shahid Kapoor, kwenye hii series jamaa ni artist wa uchoraji, anatengeneza noti bandia hadi mashine inashindwa kutambua kama ni noti bandia...

Point kuu ni kwamba huenda umekutana nazo nyingi tu ila umeshindwa kuzitambua kutokana na uhodari wa mtengenezaji
Unazitambuaje?
 
Na mimi sinunui kwako ujinga mtupu
Kitu cha elfu kumi cash nikulipe elfu 10 na ya kukutumia elfu 2 makato jumla elfu 12 sifanyi kazi hiyo nitaenda kwingine wanakopokea cash
Mimi siuzi kitu cha 12k ndugu, umelipa kiasi cha chini sana ni 500k 😀, na sijitaji ya kutolea
 
Sisi si ipo hiyo lipa kwa Mpesa lakini sasa serikali bado inakukata hata ukilipa hivyo...

Hii inaendana na cheap internet. Watu wakiwa na internet wana download app ya Mpesa, tigopesa etc inakuwa na option za malipo kila sehemu hadi malipo ya serikali, kuingia kwenye SGR, BRT nk.
Sisi huku tu kulipia 5000 tu kwa mpesa wanakata 1000 nzima sasa si bora ulipe cash..

Yaan Tanzania we need a serious Minister of finance na governor mzr wa BOT. Tuajili hata wakenya basi kama watz hatuwezi...wao hata dollar kwa kenyan shillings haiporomoki...ilikuwa imepanda kufika 160ksh sasa wameishusha to 128ksh within 5 months
Na sababu ni cashless economy...kwamba hata exchange rates zinafanyika huko huko mpesa...
Sisi sasa...
Tungeanza hata kwa baadhi ya maeneo kulipa kwa mpesa bila makato...mfano Daladala zote, bodaboda, bajaji kila mtu afungue pochi la biashara ndani ya Mpesa...mtu sio lazima alipe cash...waelimishwe faida yake kama kutoa usumbufu wa kutafuta change na kuondoa upotevu hela...
Mwezi mmoja unatosha hii kusambaa nchi nzima....

Kenya hadi matatu wanawifi kuwezesha abiria alipe kwa Application ya Mpesa. Hizo router za Voda, Airtel zingekuwa zinafungwa kwenye Daladala, brt nk au vituo vya mwendokasi vyote vingekuwa na WiFi....sijui kwa nini makampuni ya simu hayachangamki yapo yapo tu.
Yaan Tanzania...cheiii..
Waziri wetu yeye yupo bize kubuni kodi mpya kila siku, anahakikisha kila muhamala unaofanyika uwe na makato, tuna safari ndefu sana
 
Juzi kati tu kuna mshikaji kanichomekea elfu 5 zenye samani ya elfu 20 gonga kwenye bunda la laki tatu aisee
 
Back
Top Bottom