Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Seminary advanced hawafanyi vizuri,private zinazoweza kucompete Ni chache.O level ndo wanaongoza baada ya hapo wanafunzi wazuri wanaenda gvt hasa zile maalum kwa wanaofaulu vizuri.Nikweli lkn sidhani kwa kiasi hiko yaani hamna hata seminaries? Labda wengine hatujui vizuri mabadiliko ya kimaajabu yanayofanyika.
Daaa..yaan kuna comment zingine ukisoma unatamani kumzaba kibao aliotoa u kumtusii.Mkuu sipendi porojo za serikali juu ya elimu, lakini ukweli uliowazi watoto wanaosoma advance kwa shule za serikali wengi ni wazuri kuliko wanoasoma shule binafsi. Kwa o level privates wanafanya vizuri sana.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Labda mtuambie kwamba zile special zimerudi rasmi...Kama shule ingikuwa ya huko sitimbi sawa
Ila Kama unazungumzia ,kibaha,ilboru,mzumbe,Tabora schools,kilakala,msalato na kisimiri usishangae
Hizi shule hazichukui avarage students
Wanachukua cream tupu
Sina Shaka na ufaulu wa japo huu wa mwaka huu nahisi umenogeshwa kwa namna fulani
Wengi hapa wametoa hoja kisomi na kitaalam...lkn kwenye msafara wa mamba ... huwa hamkosekani!!Daaa..yaan kuna comment zingine ukisoma unatamani kumzaba kibao aliotoa..au kumtusii..
Uko sahh mkuu..shule za gov. A level zipo vzur sana..huyoo alietoa hyo thread n punguani tuu..na hajielewi..huenda hajapatia elimu ya advance..tumuachee tuu..
Kuna ukweli hapa.Mkuu sipendi porojo za serikali juu ya elimu, lakini ukweli uliowazi watoto wanaosoma advance kwa shule za serikali wengi ni wazuri kuliko wanoasoma shule binafsi. Kwa o level privates wanafanya vizuri sana.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Tunapiga kazi Madaraja tu ndo hayapandiKumekuwa na jitihada nyingi wakati wa uchaguzi wanasiasa kutaka kuonesha walivyofanya maajabu, ubaya nipale yanapotengenezwa mambo kinguvu ili kusadifu matakwa ya wanasiasa.
Tunakumbuka 2013 matokeo ya K IV yalinogeshwa ili BRN (big results now) ionekane imeleta output kubwa enzi hiyo.
Hivi sasa niajabu kidogo jinsi shule za serikali nane zimeshika kumi bora matokeo KVI.
Shule za private zimewekeza mmmno natena kadhaa huchukua wanafunzi bora tupu na huwalipa walimu wake vizuri sana,zina vifaa bora kabisa vya kufundishia na kujifunzia sasa leo iweje wazidiwe na shule ambazo wanafunzi hawachujwi, chakula cha wanafunzi ni tabu, walimu hawalipwi vyema, mishahara haiongezeki, madaraja kupanda ni kwashida, wanaidai serikali malimbikizi ya mishahara muda mrefu bila kulipwa,wamepandishiwa kibabe makato ya heslb na wanalalamika awamu ya tano kutokuwajali kama ile ya nne na matatizo mengine mengi.
Bila hata ya utafiti ni dhahiri point tatu zinatafutwa kwabao la mkono nahii ni aibu kuu maana bila elimu bora taifa huishia kusinyaa hata lijengwejengwe vipi. Tunataka elimu bora isiyolongoshewa siasa za ubabe ubabe kulazimisha yasiyoyamkinika.
#ondoa magumashi kwenye elimu.
Mkuu kumbuka wanaochaguliwa A level Serikalini ua wapo vizuri kwa asilimia kubwa na hao wa private wengi ni wale wanaoenda ili wawe na elimu ya A level lakini unakuta uku O level alizingua kiaina na pia asilimia kubwa ya wanaofaulu O level ua wanaenda kwenye shule wanazo pangiwa ndio maana unaona matokeo mazuriKumekuwa na jitihada nyingi wakati wa uchaguzi wanasiasa kutaka kuonesha walivyofanya maajabu, ubaya nipale yanapotengenezwa mambo kinguvu ili kusadifu matakwa ya wanasiasa.
Tunakumbuka 2013 matokeo ya K IV yalinogeshwa ili BRN (big results now) ionekane imeleta output kubwa enzi hiyo.
Hivi sasa niajabu kidogo jinsi shule za serikali nane zimeshika kumi bora matokeo KVI.
Shule za private zimewekeza mmmno natena kadhaa huchukua wanafunzi bora tupu na huwalipa walimu wake vizuri sana,zina vifaa bora kabisa vya kufundishia na kujifunzia sasa leo iweje wazidiwe na shule ambazo wanafunzi hawachujwi, chakula cha wanafunzi ni tabu, walimu hawalipwi vyema, mishahara haiongezeki, madaraja kupanda ni kwashida, wanaidai serikali malimbikizi ya mishahara muda mrefu bila kulipwa,wamepandishiwa kibabe makato ya heslb na wanalalamika awamu ya tano kutokuwajali kama ile ya nne na matatizo mengine mengi.
Bila hata ya utafiti ni dhahiri point tatu zinatafutwa kwabao la mkono nahii ni aibu kuu maana bila elimu bora taifa huishia kusinyaa hata lijengwejengwe vipi. Tunataka elimu bora isiyolongoshewa siasa za ubabe ubabe kulazimisha yasiyoyamkinika.
#ondoa magumashi kwenye elimu.
Sio ajabu mkuu io ni sawa na kusema eti kisa mwanafunzi anatokea familia duni basi ndio awe anafeli hapana mtu unaweza kusoma kwa mazingira magumu na ukafaulu tuhahahaa ni tahadhari tuu ili elimuyetu isije chezewa hasa nilipoona best 10 nashule wanazotokea ... uwekezaji kwenye elimu bado nimdogo serikali inapaswa kutoridhika kirahisi
Chadema acheni porojo this is more than too much, kila kitu kupinga tu.Chukulia mkoa kama Simiyu wao wameanzisha makambi ya kujisomea, wanakutana na kufanya drill ya kutosha jointly sasa kwa nini wasifaulu.Shule nyingi zilizong'ara ni za vipaji maalumu.Leo hii Tabora boys mnataka kusema haikustahili shule kama Ilboru. Please guys show some respect and appreciation to the government. Mlizoeshwa eti shule xinazofanya vizuri ni za private, eti bila Feza top ten basi matokea ni ya kisiasa. Shit hole!!!Kumekuwa na jitihada nyingi wakati wa uchaguzi wanasiasa kutaka kuonesha walivyofanya maajabu, ubaya nipale yanapotengenezwa mambo kinguvu ili kusadifu matakwa ya wanasiasa.
Tunakumbuka 2013 matokeo ya K IV yalinogeshwa ili BRN (big results now) ionekane imeleta output kubwa enzi hiyo.
Hivi sasa niajabu kidogo jinsi shule za serikali nane zimeshika kumi bora matokeo KVI.
Shule za private zimewekeza mmmno natena kadhaa huchukua wanafunzi bora tupu na huwalipa walimu wake vizuri sana,zina vifaa bora kabisa vya kufundishia na kujifunzia sasa leo iweje wazidiwe na shule ambazo wanafunzi hawachujwi, chakula cha wanafunzi ni tabu, walimu hawalipwi vyema, mishahara haiongezeki, madaraja kupanda ni kwashida, wanaidai serikali malimbikizi ya mishahara muda mrefu bila kulipwa,wamepandishiwa kibabe makato ya heslb na wanalalamika awamu ya tano kutokuwajali kama ile ya nne na matatizo mengine mengi.
Bila hata ya utafiti ni dhahiri point tatu zinatafutwa kwabao la mkono nahii ni aibu kuu maana bila elimu bora taifa huishia kusinyaa hata lijengwejengwe vipi. Tunataka elimu bora isiyolongoshewa siasa za ubabe ubabe kulazimisha yasiyoyamkinika.
#ondoa magumashi kwenye elimu.
ungeweza kuchangia bila kutuonesha hicho kiungo chako ulichotajaChadema acheni porojo this is more than too much, kila kitu kupinga tu.Chukulia mkoa kama Simiyu wao wameanzisha makambi ya kujisomea, wanakutana na kufanya drill ya kutosha jointly sasa kwa nini wasifaulu.Shule nyingi zilizong'ara ni za vipaji maalumu.Leo hii Tabora boys mnataka kusema haikustahili shule kama Ilboru. Please guys show some respect and appreciation to the government. Mlizoeshwa eti shule xinazofanya vizuri ni za private, eti bila Feza top ten basi matokea ni ya kisiasa. Shit hole!!!