Tahadhari: Siasa isituharibie elimu yetu

Tahadhari: Siasa isituharibie elimu yetu

Kumekuwa na jitihada nyingi wakati wa uchaguzi wanasiasa kutaka kuonesha walivyofanya maajabu, ubaya nipale yanapotengenezwa mambo kinguvu ili kusadifu matakwa ya wanasiasa.

Tunakumbuka 2013 matokeo ya K IV yalinogeshwa ili BRN (big results now) ionekane imeleta output kubwa enzi hiyo.

Hivi sasa niajabu kidogo jinsi shule za serikali nane zimeshika kumi bora matokeo KVI.

Shule za private zimewekeza mmmno natena kadhaa huchukua wanafunzi bora tupu na huwalipa walimu wake vizuri sana,zina vifaa bora kabisa vya kufundishia na kujifunzia sasa leo iweje wazidiwe na shule ambazo wanafunzi hawachujwi, chakula cha wanafunzi ni tabu, walimu hawalipwi vyema, mishahara haiongezeki, madaraja kupanda ni kwashida, wanaidai serikali malimbikizi ya mishahara muda mrefu bila kulipwa,wamepandishiwa kibabe makato ya heslb na wanalalamika awamu ya tano kutokuwajali kama ile ya nne na matatizo mengine mengi.

Bila hata ya utafiti ni dhahiri point tatu zinatafutwa kwabao la mkono nahii ni aibu kuu maana bila elimu bora taifa huishia kusinyaa hata lijengwejengwe vipi. Tunataka elimu bora isiyolongoshewa siasa za ubabe ubabe kulazimisha yasiyoyamkinika.

#ondoa magumashi kwenye elimu.

Hoja yako ni ipi? Hutaki shule za serikali zifanye vyema au? Kisa tu awali vzr,walimu wake hawajalipwa mishahara minono n.k ww unsona ndo kigezo cha kufeli? Zikifaulisha ni kosa?
Mbona zikifelisha mnapandisha uzi umu kuzilaumu kwann zinazidiwa,
Binadamu siku zote nj vigeugeu
Enzi zetu sisis tunasoma shule za serikali ndo zilikuwa ongoza si olevel wala advance na mtu ukisoma private unaonekana kilaza
Naona sasa upepo unabadilika iwe kama zamani wewe unataka shule za private ziendelee kufeli☺☺
Kama umesoma private na umefeli ni wewe mkuu wapo walio faulu
 
Kumekuwa na jitihada nyingi wakati wa uchaguzi wanasiasa kutaka kuonesha walivyofanya maajabu, ubaya nipale yanapotengenezwa mambo kinguvu ili kusadifu matakwa ya wanasiasa.

Tunakumbuka 2013 matokeo ya K IV yalinogeshwa ili BRN (big results now) ionekane imeleta output kubwa enzi hiyo.

Hivi sasa niajabu kidogo jinsi shule za serikali nane zimeshika kumi bora matokeo KVI.

Shule za private zimewekeza mmmno natena kadhaa huchukua wanafunzi bora tupu na huwalipa walimu wake vizuri sana,zina vifaa bora kabisa vya kufundishia na kujifunzia sasa leo iweje wazidiwe na shule ambazo wanafunzi hawachujwi, chakula cha wanafunzi ni tabu, walimu hawalipwi vyema, mishahara haiongezeki, madaraja kupanda ni kwashida, wanaidai serikali malimbikizi ya mishahara muda mrefu bila kulipwa,wamepandishiwa kibabe makato ya heslb na wanalalamika awamu ya tano kutokuwajali kama ile ya nne na matatizo mengine mengi.

Bila hata ya utafiti ni dhahiri point tatu zinatafutwa kwabao la mkono nahii ni aibu kuu maana bila elimu bora taifa huishia kusinyaa hata lijengwejengwe vipi. Tunataka elimu bora isiyolongoshewa siasa za ubabe ubabe kulazimisha yasiyoyamkinika.

#ondoa magumashi kwenye elimu.
Acha wivu mkuu.

Umeandika uongo na upotoshaji.
 
Ufaulu ni 98% eti,,,,kama wanafanya siasa sijui litakuja kuwa ni taifa la namna gani
 
Hi awamu pendwa kila kitu inalazimisha tu wabunge feki wanaingizwa bungeni kwa nguvu ,inalazimisha matokeo feki ya mitihani daaah watu wamekua waoga wanafanya maamuz huku wakilinda matumbo yao na kumfurahisha jiwe
Huwa hamufuatili baadhi ya mambo ..hayo matokeo ya advance hayana tofauti kumbwa na miaka mingine...
 
Mleta mada umeleta issue ambayo inatembea sana ktk magroup mengi ya shule! Usanii mkubwa kabisa umefanyika kuonyesha kuna kupanda kwa kiwango kikubwa cha ufauli hasa ktk baadhi ya shule za serikali kwa ajili ya 'kick' ktk uchaguzi huu. Ni jambo la hatari sana kwa mustakabadhi wa taifa letu. usanii huu hadi ktk elimu sijui tuendako itakuwa vipi!
 
Back
Top Bottom