Tahadhari! Tafakari yaleo inaweza kugusa hisia zako hivyo kua mstaarabu wakati unatoa maoni yako au pita kimya kimya.

third eye chakra

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2023
Posts
713
Reaction score
1,745
WAISLAM WANASEMA UKRISTO NI DINI YA UONGO.
WAKRISTO NA WAO WANASEMA UISLAM NI DINI YA UONGO.
WAKRISTO NA WAISLAM WOTE WANASEMA DINI YA KIYAHUDI NI YA UONGO.
NA WAYAHUDI WANASEMA DINI ZOTE 2 HAPO JUU NI UONGO.

NA MIMI NIMEAMUA KUKUBALIANA NAO WOTE KUA NI WAONGO👈
 

Attachments

  • Screenshot_20240731-152200.png
    962.5 KB · Views: 5
Bora iwe hivyo tu tukose wote.
 
Njooni leo weekend tuangalie baikoko
 
Achana na mambo ya dini ni utapeli,utumwa,uongo na udumavu wa fikra. Fanya hivi kula sana bia nyama choma na totozi zenye makalio ya haja enjoy maisha why making yourself a slave? Why making yourself a dumb?
 
Acha kushinda kanisani au msikitini ni kupoteza muda. Shinda sana baa kula bia,kula nyama,kula sana totozi zenye big nyashi hayo ndo maisha kama huna hela walevi wenzio tutakukopesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…