Intended
Member
- Sep 24, 2018
- 64
- 89
Mara nyingi timu yetu inapohitaji matokeo hata ya sare huwa tunafungwa hata kama tunacheza na Timu mbovu lakini kunapokuwa hakuna haja ya matokeo hata kama tukicheza na Brazil tunaweza kuwafunga.
Wengi wanahisi tayari tumeshawafunga Lesotho na kujipa matumaini kibao. Ni bora watanzania mjiandae kisaikolojia mapema
Wengi wanahisi tayari tumeshawafunga Lesotho na kujipa matumaini kibao. Ni bora watanzania mjiandae kisaikolojia mapema