Jela unaweza usifungwe lakini muda na rumande unaweza kuswekwa.
Bongo Bingo.
Mkuu usikosoe kiswahili fasaha kwa kiswahili chako cha mtaani.kuswekwa=kuwekwa
ujinga!inakuwaje wewe hujui kuandika kiswahili?
ziyada [emoji808]Huwajui mateja, wana akili za ziyada.
kuwacha [emoji808]Well, kwa sasa hiyo ni issue iliyopo na zaidi ni nia, hata Kinondoni na Muhimbili wanatoa hiyo tiba. Kuwacha uteja kwanza utake mwenyewe, pil, hizi jitihada za Serikali na hususan Makonda tuziunge mkono sote.
Serikali si ya kuilamu kwa hilo, haikukufundisha uteja na inajitahidi na tunaona jitihada zilizopo.