Mimi nina wadogo zangu miteja,mmoja kaacha mmoja anaendelea kuunyonya,watoto wajirani zangu wengine wamepoteza maisha "overdose",lakini siwezi kunga mkono haya anayoyafanya Makonda
nchi lazima iwe na sheria bila sheria huwezi kuongoza nchi,haiwezekani kuwa bwana Makonda kapelekewa majina bila ya kufanya utafiti yeye kayaweka kwenye vyombo vya habari.kama kama kawaida ya polisi wetu bila ya kuyachunguza hayo majina na wamekurupuka kukamata kwasababu mkuu wa mkoa kasema,polisi mpaka hii leo wameshindwa kuwapeleka hao vijana mahakamani
Makonda amejuaje kama hayo majina ni kweli hao vijana wanauza unga,mimi naomba mkuu wa mkoa kuweka bayana wapi kayapata hayo majina,aweke bayana jina la aliyetoa hayo majina
Mimi na sapoti kauli ya Nape