FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #21
FaizaFoxy , kwa lugha nyingine unaituhumu serikali kwamba inakusanya kusanya watu tu bila kufanya hata uchunguzi wa awali?
Kwamba kila mtu akitajwa hakuna intelijensia ya kuchunguza kama kuna sababu ya kumshikilia kwa uchunguzi zaidi?
Kwamba sasa jeshi letu liko katika ngazi ya sungusungu ambako mtu alikuwa akisemwa semwa tu tayari anahukumiwa na hata hukumu za vifo?
Haki itatendekaje katka jehsi la namna hii? Nini kifanyike?
Hapana, uchunguzi wa awali na "intelijensia" inaweza kuwa ile kuhojiwa tu na polisi kituoni. Sasa wawe kama mia mbili wanangoja kuhojiwa!
Fikiri.