WAnajamii forums, hasa wenye watoto wa kiume wanaopanga kuwatahiri.....
Nina ushauri ufuatao...imekuwa kawaida ukimuuliza mtu sehemu ya kufanyia tohara wanakuonyesha Kariakoo kwa ALIJUMAA
Kilichomtokea mwanangu aged nearlly 6yrs,wamemtahiri kwa kutumia kiring kidogo kuliko shafti ya mtoto na matokeo yake kimemuumiza sana for a week na ndo tumekuja kujua kuwa hakiponi tumempeleka kwa daktari mwingine ambaye ametushangaza sana....anasema tulimuwka mtoto kwenye risk kubwa sana na amefanyiwa operation kubwa kabisa ya kumpiga nusu kaputi...whAt they did is a total mess,viring vipo meant kwa watoto under th age of 2yrs while my boy is nearly 6 you can immagine.
Nasema watu wawe makini kwa kuwa daktari huyu ananiambia kuna watoto wanapata complecation mpaka wanakufa wakitokea hicho kidispensary mshenzi....hata mfagizi anatahiri pale,b carefull and love your kids,usimfanyie mAjaribio....nimekomaje! Na ndio nimejua ughali wa vitu vya rahisi.
Nina ushauri ufuatao...imekuwa kawaida ukimuuliza mtu sehemu ya kufanyia tohara wanakuonyesha Kariakoo kwa ALIJUMAA
Kilichomtokea mwanangu aged nearlly 6yrs,wamemtahiri kwa kutumia kiring kidogo kuliko shafti ya mtoto na matokeo yake kimemuumiza sana for a week na ndo tumekuja kujua kuwa hakiponi tumempeleka kwa daktari mwingine ambaye ametushangaza sana....anasema tulimuwka mtoto kwenye risk kubwa sana na amefanyiwa operation kubwa kabisa ya kumpiga nusu kaputi...whAt they did is a total mess,viring vipo meant kwa watoto under th age of 2yrs while my boy is nearly 6 you can immagine.
Nasema watu wawe makini kwa kuwa daktari huyu ananiambia kuna watoto wanapata complecation mpaka wanakufa wakitokea hicho kidispensary mshenzi....hata mfagizi anatahiri pale,b carefull and love your kids,usimfanyie mAjaribio....nimekomaje! Na ndio nimejua ughali wa vitu vya rahisi.