Tahadhari: Uporaji kwa wanaopewa lift na magari binafsi waibuka

Tahadhari: Uporaji kwa wanaopewa lift na magari binafsi waibuka

Mdada96

Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
76
Reaction score
153
Hello
Wapendwa haswa kina dada kuna tabia imeibuka currently mjini humu DSM, sijajua kwa mikoani. Gari haswa hizi private zina offer lift waweza dhani ni msamaria mwema lakini ni wezi ukiingia humo hatujui nini wanakufanyia ila kama una kadi ya benki utawapa na password utatoa, simu na pochi vinabebwa na anakutupa ukiwa haujitambui. Tuweni makini jamani ni hayo tu kwa leo.

Tuzidi kuchukua tahadhari na tusiamini watu kirahisi hivyo maana wazuri na wabaya wote wapo duniani ...

Wasalaamu

Mdada💇
 
unawashauri wanawake hawa hawa

Uyu jamaa anaona mbali sana
masoudkipanya-20210922-0001.jpg
 
Hawa jamaa Wana cruise maeneoya Mwenge hasa njia ya kwenda coca-cola, clouds, kawe na mbezi juubila kusahau Tegeta pia...wanaweza wakaja na gia ya kuulizia mahalo Fulani ukisogea TU wanakunyaka Hadi ndani ya gari...hasa mida ya alfajiri...kuweni makini...
 
Hello
Wapendwa haswa kina dada kuna tabia imeibuka currently mjini umu dsm sjajua kwa mikoani ...gari haswa izi private zina offer lift waweza dhani ni msamalia mwema lakini ni wezi ukiingia umo hatujui nini wanakufanyia ila kama una kadi ya benki utawapa na paswedi utatoa,simu na pochi vinabebwa na anakutupa ukiwa haujitambui ...tuweni makini jamani ni ayo tu kwa leo....
Tuzidi kuchukua tahadhari na tusiamini watu kirahisi ivyo mana wazuri na wabaya wote wapo duniani ...
Wasalaamu
Mdada💇
Mwandiko wa kiume lakini mwandishi wa kike, Mdada.
 
Mwaka 2007 Kuna mdada alipewa lift ubungo Gari inaenda Imara kuingia ndani ya Gari breki ya Kwanza Ifakara. Watu washa mpiga mkwassa Na kumpuna madusko yote
 
tusipende sana bure bure...kwanini upewe lift au uombe ombe lift...bora wakuteke ijulikane moja umetekwa kuliko kujipeleka mwenyewe kifala kwa kupenda maisha ya kijamaa ya kusaidiwasaidiwa.....bora umpige sound konda wa daladala kuliko kuomba omba lift kwa watu usiowajua huku dunia yenyewe imeshakwenda tenge...
 
Hello
Wapendwa haswa kina dada kuna tabia imeibuka currently mjini humu DSM, sijajua kwa mikoani. Gari haswa hizi private zina offer lift waweza dhani ni msamaria mwema lakini ni wezi ukiingia humo hatujui nini wanakufanyia ila kama una kadi ya benki utawapa na password utatoa, simu na pochi vinabebwa na anakutupa ukiwa haujitambui. Tuweni makini jamani ni hayo tu kwa leo.

Tuzidi kuchukua tahadhari na tusiamini watu kirahisi hivyo maana wazuri na wabaya wote wapo duniani ...

Wasalaamu

Mdada💇
Na kwann ukubali lift ,tunajitakia wenyew jamen!?
 
Unauliza makofi polisi?! Halafu mleta mada utatuvurugia wengine ambao ni wasamaria wema.
🤣🤣🤣🤣

Wasamaria wema anzieni mitaa ya nyumbani ndio inapendeza zaidi. Sie wa mbali tuacheni tupambane na hali zetu!
 
Issue za lifti zinanikaliaga kushoto sana.

Najikutaga nawaza tu nitakavyotekwa na kupigwa P.

Hapana kwa kweli. Hizi P upigwe tu kwa kutaka na sio kimasikhara au kwa ku fosi😪😪

Bora nitumie tu public transport, kwanza kuna kuwaga na story sana.
 
Hizo ni story tu hakuna ukweli wowote.

Watu wa Dar kwa kutunga story ambazo hazina kichwa wala miguu hawajambo.

Sasa unampaje mtu lift humjui? Pili, wakishakuibia wanakuacha wapi ama wanakuacha unaendelea kuendesha gari hadi kazini ama sokoni ulikokua unaenda?

Juzi hapa walitunga story eti mwizi kaiba atm card kaenda akatoa milioni 35, unajiuliza atm mashine ya wapi mtu anatoa 35m, eti akatoa mpesa 20m.

Wanawake wa dar kwa kutunga story zisizo na akili hawajambo. Hadi hua najiuliza hivi dar imejaa wanawake zero brain ama?
 
Back
Top Bottom