Tahadhari: Uporaji kwa wanaopewa lift na magari binafsi waibuka

Tahadhari: Uporaji kwa wanaopewa lift na magari binafsi waibuka

Hizo ni story tu hakuna ukweli wowote.

Watu wa Dar kwa kutunga story ambazo hazina kichwa wala miguu hawajambo.

Sasa unampaje mtu lift humjui? Pili, wakishakuibia wanakuacha wapi ama wanakuacha unaendelea kuendesha gari hadi kazini ama sokoni ulikokua unaenda?

Juzi hapa walitunga story eti mwizi kaiba atm card kaenda akatoa milioni 35, unajiuliza atm mashine ya wapi mtu anatoa 35m, eti akatoa mpesa 20m.

Wanawake wa dar kwa kutunga story zisizo na akili hawajambo. Hadi hua najiuliza hivi dar imejaa wanawake zero brain ama?
Mtoa lift umeona uingie front kupambania Kombe.
 
Mwandiko wa kiume lakini mwandishi wa kike, Mdada.
🙄🙄
Hizo ni story tu hakuna ukweli wowote.

Watu wa Dar kwa kutunga story ambazo hazina kichwa wala miguu hawajambo.

Sasa unampaje mtu lift humjui? Pili, wakishakuibia wanakuacha wapi ama wanakuacha unaendelea kuendesha gari hadi kazini ama sokoni ulikokua unaenda?

Juzi hapa walitunga story eti mwizi kaiba atm card kaenda akatoa milioni 35, unajiuliza atm mashine ya wapi mtu anatoa 35m, eti akatoa mpesa 20m.

Wanawake wa dar kwa kutunga story zisizo na akili hawajambo. Hadi hua najiuliza hivi dar imejaa wanawake zero brain ama?
Haijakukuta bado au m2 wako wa karbu hajakutwa nalo ...usivyovijua bora kukaka kimya
 
Huu wizi mimi mwenyewe nilikuwa nataka nije kuufanya hapo dar na kaIST ka uncle Bashite
 
tusipende sana bure bure...kwanini upewe lift au uombe ombe lift...bora wakuteke ijulikane moja umetekwa kuliko kujipeleka mwenyewe kifala kwa kupenda maisha ya kijamaa ya kusaidiwasaidiwa.....bora umpige sound konda wa daladala kuliko kuomba omba lift kwa watu usiowajua huku dunia yenyewe imeshakwenda tenge...
mnatuharbia sisi wasamaria wenye moyo safi tunaowapa lift wadada hususan wanachuo njiani
 
Hello
Wapendwa haswa kina dada kuna tabia imeibuka currently mjini humu DSM, sijajua kwa mikoani. Gari haswa hizi private zina offer lift waweza dhani ni msamaria mwema lakini ni wezi ukiingia humo hatujui nini wanakufanyia ila kama una kadi ya benki utawapa na password utatoa, simu na pochi vinabebwa na anakutupa ukiwa haujitambui. Tuweni makini jamani ni hayo tu kwa leo.

Tuzidi kuchukua tahadhari na tusiamini watu kirahisi hivyo maana wazuri na wabaya wote wapo duniani ...

Wasalaamu

Mdada💇
Walikuwa Masaki na Oysterbay.
 
Issue za lifti zinanikaliaga kushoto sana.

Najikutaga nawaza tu nitakavyotekwa na kupigwa P.

Hapana kwa kweli. Hizi P upigwe tu kwa kutaka na sio kimasikhara au kwa ku fosi😪😪

Bora nitumie tu public transport, kwanza kuna kuwaga na story sana.
Ukiniona nilivyo muungwana hutapata hofu utapanda tu. ILA binadamu amekuwa wa kuogopwa kuliko mnyama.
Ukitembea usiku kwa mbali ukiona mtu anakuja unahama upande lakini ukiona mbuzi.ng'ombe au mbwa wala hupati shida ya kuhama upande
 
Ukiniona nilivyo muungwana hutapata hofu utapanda tu. ILA binadamu amekuwa wa kuogopwa kuliko mnyama.
Ukitembea usiku kwa mbali ukiona mtu anakuja unahama upande lakini ukiona mbuzi.ng'ombe au mbwa wala hupati shida ya kuhama upande
Whether you look good enough to eat, it's a no.

It's public transport for me.
 
Lift naomba kwenye gari zifuatazo

Gari za mizigo

Gari za Polisi

Gari za Jeshi (JWTZ)

Gari za Taka😅

Gari nyinginezo serikalini

Private cars mnisamehe lift ntawaomba katika emergence states only.

Hata wanaume na sisi tunaogopa kubakwa
 
Hello
Wapendwa haswa kina dada kuna tabia imeibuka currently mjini humu DSM, sijajua kwa mikoani. Gari haswa hizi private zina offer lift waweza dhani ni msamaria mwema lakini ni wezi ukiingia humo hatujui nini wanakufanyia ila kama una kadi ya benki utawapa na password utatoa, simu na pochi vinabebwa na anakutupa ukiwa haujitambui. Tuweni makini jamani ni hayo tu kwa leo.

Tuzidi kuchukua tahadhari na tusiamini watu kirahisi hivyo maana wazuri na wabaya wote wapo duniani ...

Wasalaamu

Mdada💇
Hivi ukiwa na zile spray sijui za pilipili hazifai kusaidia kujiokoa?
Naombeni anayeweza kunisaidia kupata hizo spray. Hii Dunia inaenda kasi sana ingawa kuna wakati inaenda kistaarabu.
 
Lift naomba kwenye gari zifuatazo

Gari za mizigo

Gari za Polisi

Gari za Jeshi (JWTZ)

Gari za Taka😅

Gari nyinginezo serikalini

Private cars mnisamehe lift ntawaomba katika emergence states only.

Hata wanaume na sisi tunaogopa kubakwa
Sasa mwanaume unaombaje lift?
 
Sasa mwanaume unaombaje lift?
Kaka maisha haya, kama hayajakukuta usijiulize wengine wanashindwaje!

Fikiria uko zako Ugenini, umeibiwa kila kitu, huwezi omba msaada wa kusogezwa sehem flani unakoweza kupata msaada?
 
Kaka maisha haya, kama hayajakukuta usijiulize wengine wanashindwaje!

Fikiria uko zako Ugenini, umeibiwa kila kitu, huwezi omba msaada wa kusogezwa sehem flani unakoweza kupata msaada?
Lift zinazojadiliwa hapa hadi watu wanakabwa ni za waporaji. Yaani watu wanakuja na gari tu kaka,dada twende tukusaidie na huna shida yoyote. Sio emergency, maanake emergency hata hio kufikiria utakabwa haipo.
 
Huwa sipandi lift ya mtu simfahamu aisee!
 
Back
Top Bottom