Tahadhari: Veronica Anthony na Anthony Wilium Lwitiko; Matapeli wakubwa katika Forex

Tahadhari: Veronica Anthony na Anthony Wilium Lwitiko; Matapeli wakubwa katika Forex

Mkuu unajua unachokisema kuhusu ONTARIO? Unamfahamu vizuri? Usichafue majina ya watu kwa kitu usichokijua.
Mbona umepaniki sasa vipi kwani..... ??
[emoji16] [emoji16] [emoji119] [emoji119]
 
Tamaa za pesa ndio chanzo cha yoote....

Kwa hali hii bado mtu anaamin laki moja itampa udewji ndan ya wiki... dah
 
Nilichogundua kwenye huu uzi

Watu wengi hawana hata chembe ya idea kuhusu Forex..na wanaigroup pamoja na Ponzi Schemes

Forex sio sawa na D9 , Forever Living etc

Ponzi schemes zinahusisha kupanda pesa kidogo na kuvuna nyingi...Mara nyingi hakuna uzalishaji wowte na pesa ya member wageni hulipa memba wenyeji

Siko hapa kutetea mtu ila Forex si kitu rahisi na hakiwezi fanywa na kila mtu .Inabidi uwe vizuri kichwani
 
Kumekuwa na makundi tofauti tofauti katika whatsapp yanayoibuka Ili kumvutia mtu awekeze pesa ili wajanja wazipige kwa kisingizio cha kutrade ili upewe mpaka 70%ya mtaji wako in 4days only.

Makundi hayo ni kama tajirika na forex,forex investors nk.

Vinara wa wizi huu ni Dada mmoja anaejulikana kwa jina la veronica Anthony. .na kijana mmoja ambae anajitambulisha kama mdogo wake veronica.Anthony wiliam lwitiko.huyu kwa uchunguzi ni mwanafunzi wa UDOM yupo pale natural mathematics and science. Mpaka sasa wameshawaliza watu zaidi ya tsh mil 300 na bado wanaendeleza utapeli huo.

Ndugu zangu kuweni makini na link mbalimbali zinazokuambia jiunge group fulani uanze na mtaji mdogo wa 20000 tu eti utajipatia mpaka 25ml kwa muda mfupi.uongo uliokithiri huo....

Nimeona tushirikishane maana hawa jamaa mpaka sasa ni wanted lkn bado wanaendeleza utapeli huo kila kona.

Sasa tangu lini kwenye Forex ukampa mtu pesa ili zizae .Maana mimi najua unadeposit kwenye ur own real account unatrade unapata faida /hasara sasa ninyi mmempaje mtu pesa zenu ?Au hata hamkusoma vitabu vile?

Mimi ninaweza sema mmbeibiwa kizembe
 
Kumekuwa na makundi tofauti tofauti katika whatsapp yanayoibuka Ili kumvutia mtu awekeze pesa ili wajanja wazipige kwa kisingizio cha kutrade ili upewe mpaka 70%ya mtaji wako in 4days only.

Makundi hayo ni kama tajirika na forex,forex investors nk.

Vinara wa wizi huu ni Dada mmoja anaejulikana kwa jina la veronica Anthony. .na kijana mmoja ambae anajitambulisha kama mdogo wake veronica.Anthony wiliam lwitiko.huyu kwa uchunguzi ni mwanafunzi wa UDOM yupo pale natural mathematics and science. Mpaka sasa wameshawaliza watu zaidi ya tsh mil 300 na bado wanaendeleza utapeli huo.

Ndugu zangu kuweni makini na link mbalimbali zinazokuambia jiunge group fulani uanze na mtaji mdogo wa 20000 tu eti utajipatia mpaka 25ml kwa muda mfupi.uongo uliokithiri huo....

Nimeona tushirikishane maana hawa jamaa mpaka sasa ni wanted lkn bado wanaendeleza utapeli huo kila kona.
Yaani watu waibe hadi sh300 mil wasikamatwe?
 
Yaani watu waibe hadi sh300 mil wasikamatwe?
Mkuu Hilo group lilikuwa na watu 192.na wengi humo walikuwa wameinvest mpaka 3mil kwa kichwa.japo walikuwwpo mpaka wa 50k.
lkn hela hazikulipwa toka tarehe 30-9 mpaka 09-10.
 
Mkuu Hilo group lilikuwa na watu 192.na wengi humo walikuwa wameinvest mpaka 3mil kwa kichwa.japo walikuwwpo mpaka wa 50k.
lkn hela hazikulipwa toka tarehe 30-9 mpaka 09-10.
Kwa hiyo walooibiwa wamechukua hatua gani?
 
Wewe ni mshenzi na mpumbavu Wa kiwango cha reli ya Standard Gauge, unaanzaje kufananisha Deci na Forex !!!! Vitu kama hujui uwe unauliza Mkuu acha kushadadia mambo
Mbona umepaniki Mkuu, mpe taarifa ya unachojua, ndio ustaarabu. Kwa lugha kali hii nani atataka kusikia mawazo yako?!!
 
Kwa hiyo walooibiwa wamechukua hatua gani?
Zipo kesi zimefunguliwa mahali tofauti nchi nzima lkn pia watu wa tressing wanaendelea kuwatresz watu anaowasiliana nao na mpaka jana isue inaenda poa. Nadhani ushirikiano wa tcra,polisi na makampuni ya simu uliopo hivi sasa utatoa majibu mazuri muda wwt
 
Zipo kesi zimefunguliwa mahali tofauti nchi nzima lkn pia watu wa tressing wanaendelea kuwatresz watu anaowasiliana nao na mpaka jana isue inaenda poa. Nadhani ushirikiano wa tcra,polisi na makampuni ya simu uliopo hivi sasa utatoa majibu mazuri muda wwt
Huyo anaekuita mshenzi atakuwa ni mmoja wawatuhumiwa kwa povu hilo
Kumekuwa na makundi tofauti tofauti katika whatsapp yanayoibuka Ili kumvutia mtu awekeze pesa ili wajanja wazipige kwa kisingizio cha kutrade ili upewe mpaka 70%ya mtaji wako in 4days only.

Makundi hayo ni kama tajirika na forex,forex investors nk.

Vinara wa wizi huu ni Dada mmoja anaejulikana kwa jina la veronica Anthony. .na kijana mmoja ambae anajitambulisha kama mdogo wake veronica.Anthony wiliam lwitiko.huyu kwa uchunguzi ni mwanafunzi wa UDOM yupo pale natural mathematics and science. Mpaka sasa wameshawaliza watu zaidi ya tsh mil 300 na bado wanaendeleza utapeli huo.

Ndugu zangu kuweni makini na link mbalimbali zinazokuambia jiunge group fulani uanze na mtaji mdogo wa 20000 tu eti utajipatia mpaka 25ml kwa muda mfupi.uongo uliokithiri huo....

Nimeona tushirikishane maana hawa jamaa mpaka sasa ni wanted lkn bado wanaendeleza utapeli huo kila kona.
 
Back
Top Bottom