Tahadhari: Viongozi wa Yanga wadhibitiwe

Tahadhari: Viongozi wa Yanga wadhibitiwe

Chendembe

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
444
Reaction score
488
Niwasilishe maskitiko yangu kwa kutochezwa kwa mchezo wa Simba na yanga 8. 5. 2021.

Naitazama yanga na naitazama TFF na nawatazama viongozi wa Yanga naiona hatari mbeleni. Najiuliza hawa viongozi wanazifaham Simba na Yanga? Ivi leo hii Simba au Yanga ishushwe daraja tu moja athali zake wanazifahamu viongozi hawa?

Ninamashaka na Uongozi mzima wa Yanga kwa busara, uwezo wa uwongozi na hata manufaa ya Amani ya Taifa. Nawaona wanalinda maslahi yao zaidi.

Tafadhali serikali, iwaangalie kwa jicho la kipekee viongozi wa Yanga kwa maslahi ya nchi yetu.
 
Maoni ujibiwa kwa maoni. Maswali haya yanakupunguzia uwezo wako wa kufikiri na unaiathili familia yako ujuweee
 
Mimi ni msimbazi.

Ila mtoa maada umekua mtopolo zaidi ya utopolo wenyewe
 
Kuna watu unaroho za kisnich kama jiwe mwendazake
 
Hivi hawa watu wanakuwaje wanachama wa JF na huu uwezo mdogo wa kufikiri???Nadhan Melo boresha mfumo wa kujiunga JF.
 
Utopolo acheni kushindana na serikali, leo serikali ikisema uwanja wa mkapa ulimwe kuoteshwe mpunga FIFA hawez kuzuia Wala kumpangia
 
Hata pasipo kuwa na Soka, unadhani serikali itakosa mbadala wake.
Serikali na Taifa Kwanza na mengine ni mbwembwe tuuu
Utopolo acheni kushindana na serikali, leo serikali ikisema uwanja wa mkapa ulimwe kuoteshwe mpunga FIFA hawez kuzuia Wala kumpangia
 
Back
Top Bottom