TAHADHARI: Wahafidhina wapo toka zamani, Kisa cha Abneli mwana wa Neri na Generali Yoabu

Mfano Ccm imekopi huo uhafidhina huko Urusi na China ambapo china yenyewe imeshaachana nao. Imebaki ni jina tu in Practicea haupo real.
misimamo ya chama cha kikomunisti cha China ni ile ile toka kuundwa kwake 1921 mpaka sasa 2023 wanacho fanya wao ni mageuzi madogo madogo yasiyo athiri misimamo yao.
 
misimamo ya chama cha kikomunisti cha China ni ile ile toka kuundwa kwake 1921 mpaka sasa 2023 wanacho fanya wao ni mageuzi madogo madogo yasiyo athiri misimamo yao.
I dont think so. Misimamo imebaki kwenye mifumo ya kutwaa madaraka tu. Kwingine ni overhaul.
 
I dont think so. Misimamo imebaki kwenye mifumo ya kutwaa madaraka tu. Kwingine ni overhaul.
Kuna msimamo wa nchi, kuna msimamo wa chama na kuna msimamo wa kiuchumi na msimamo wa masuala ya kijamii na kuitawala.

Ni vyema kujitahidi kutofautisha hivi vitu.
 
Kama kuna watu wanapinga mwenendo wa chama ndani Chadema nawaunga mkono na kama huo ndio uhafidhina basi wawe wahafidhina extremists kabisa ili upinzani upone.
Wewe huwezi kuunga mkono upinzani katu, labda Slaa arudi Chadema.
 
Oooh kumbe πŸ€”! Hapo sielew kama alietuumba anafurahia kukosolewa uumbaji wake! Acha tuishi mkuu πŸ‘Š
Hakuna anayemkosoa. Ni sawa na kuvaa nguo. Kwani kuvaa hatukuagizwa.
 
Hakuna anayemkosoa. Ni sawa na kuvaa nguo. Kwani kuvaa hatukuagizwa.
Well so tuliagizwa tumkosoe kwa rangi alizotuumba nazo mkuu!! Alilofanya MUNGU lolote lile ni perfect! Wala halihitaji kukosolewa kwa kujibadili rangi mkuu!!
 
Well so tuliagizwa tumkosoe kwa rangi alizotuumba nazo mkuu!! Alilofanya MUNGU lolote lile ni perfect! Wala halihitaji kukosolewa kwa kujibadili rangi mkuu!!
Kwani dhambi ni kujikoboa tu?
 
Yoabu was a Mad Man.
 
Kama kuna watu wanapinga mwenendo wa chama ndani Chadema nawaunga mkono na kama huo ndio uhafidhina basi wawe wahafidhina extremists kabisa ili upinzani upone.
Usiturudishe misri bwana Mtazamo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…