Tahadhari watumia pombe kali!

Tahadhari watumia pombe kali!

Ukinywa hizi za Tz mfululizo kila siku hata ml 200 tuu kwa mwezi mmoja chakula unakichukia hata kukiona.

Ni maajabu wakati fulani zile "Malawi, Power one" walizipiga marufuku wakati hizi za Tanzania Ni mbaya zaidi.
 
Mwaka jana, wakati kama huu (siku kuu mfululizo), nilimpoteza rafiki yangu kipenzi.
Alipenda sana pombe kali, bia alikuwa hataki.
Kula chakula alikuwa mvivu.
Sasa alianza na pombe Kali, Alhamisi jioni, (hapo ni mpaka masaa marefu), Ijumaa, Jumamosi, Jumapili, Jumatatu!
Sasa Jumanne tumefika ofisini(tulikuwa ofisi moja), saa mbili, saa tatu, saa nne, mmmh! kimya hakuna mtu.
Nikamfuata nyumbani kwake. Gonga mlango weee! kimya.
Nikaita majirani, nikapiga simu ofisini.
Uamuzi ikawa kuvunja mlango.
Mshangao! Jamaa amelala usingizi mzito, chupa pembeni.
Postmortem, no food at all. Liver failure!!
Comrades be careful!!
Akahamia kwenye mbao?
 
Mwaka jana, wakati kama huu (siku kuu mfululizo), nilimpoteza rafiki yangu kipenzi.
Alipenda sana pombe kali, bia alikuwa hataki.
Kula chakula alikuwa mvivu.
Sasa alianza na pombe Kali, Alhamisi jioni, (hapo ni mpaka masaa marefu), Ijumaa, Jumamosi, Jumapili, Jumatatu!
Sasa Jumanne tumefika ofisini(tulikuwa ofisi moja), saa mbili, saa tatu, saa nne, mmmh! kimya hakuna mtu.
Nikamfuata nyumbani kwake. Gonga mlango weee! kimya.
Nikaita majirani, nikapiga simu ofisini.
Uamuzi ikawa kuvunja mlango.
Mshangao! Jamaa amelala usingizi mzito, chupa pembeni.
Postmortem, no food at all. Liver failure!!
Comrades be careful!!
Sisi wa Kidimbwi tunakunywa Moet & Chandon tu . R.I.P
 
Kwahiyo tatizo ni pombe au tatizo ni chakula, tuweke sawa comrade!

Haya tukiacha pombe kali wewe mapendekezo yako ni tunywe pombe gani?

Yote kwa yote tusipokunywa pombe mtaunganisha kilio cha kulipia ada watoto wenu na hiki cha mafuta...
Umesahau kumwambia aweke picha
 
Ngoja mwakani nikapime ini na figo

Ova
 
Back
Top Bottom