Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Katika barua ya wazi kwa viongozi wanaokutana katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Jijini NewYork, Mashirika 238 kutoka Nchi 75, yakiwemo #Oxfam, #SaveTheChildren na #PlanInternational yameelezea hali ya wasiwasi ongezeko la viwango vya njaa
Barua hiyo imebainisha kuwa Mtu mmoja anakadiriwa kufariki dunia kila baada ya sekunde nne kutokana na njaa hivyo mataifa hayo yamehimiza hatua ya kimataifa kuchukuliwa ili kumaliza janga kubwa la njaa ulimwenguni
Aidha, taarifa imeeleza kuwa watu Milioni 345 wanakabiliwa na njaa kali kwa sasa, hiyo ikiwa mara mbili ya hali ilivyokuwa mwaka 2019
Chanzo: DW Swahili
Barua hiyo imebainisha kuwa Mtu mmoja anakadiriwa kufariki dunia kila baada ya sekunde nne kutokana na njaa hivyo mataifa hayo yamehimiza hatua ya kimataifa kuchukuliwa ili kumaliza janga kubwa la njaa ulimwenguni
Aidha, taarifa imeeleza kuwa watu Milioni 345 wanakabiliwa na njaa kali kwa sasa, hiyo ikiwa mara mbili ya hali ilivyokuwa mwaka 2019
Chanzo: DW Swahili