Katika hali isiyokuwa ya kawaida maeneo mengi ya jiji la Dar wakazi wake wameacha au kupunguza kuwa na tahadhari na ugonjwa huu .... Watu hawavai barakoa watu hawànawi kama ilivyokuwa siku chache gonjwa likipopamba moto.
Mwanzoni ilikuwa tahadhari ipo kila mahala na hata ndani ya mabasi ya daladala abiria walikuwa wanalazimishwa kuingia na barakoa na baadhi ya daladala waalikuwa wanatoa sanitizer.
TAHADHARI Serikali iangalie tena uwezekano wa kufanya ukaguzi ili hata kama gonjwa limepungua pasitokee mlipuko.
Mwanzoni ilikuwa tahadhari ipo kila mahala na hata ndani ya mabasi ya daladala abiria walikuwa wanalazimishwa kuingia na barakoa na baadhi ya daladala waalikuwa wanatoa sanitizer.
TAHADHARI Serikali iangalie tena uwezekano wa kufanya ukaguzi ili hata kama gonjwa limepungua pasitokee mlipuko.