Wadudu wa corona hawana nafasi sehemu yenye joto kali lile fukuto la joto la kubanana mwendokasi na daladala kidudu cha corona lazima kinyooshe mikono juu hilo joto ni zaidi ya kujifukiza
Akili ya kuambiwa...changanya na ya kwako weye.... pia soma between lines!
Jukumu la kujikinga na majanga ya kiafya ni la kwako kwanza. Wewe mwenyewe ndiye utakayejiponya ama kujiangamiza.
Kalagha baho!