TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

Habari zenu ndugu,jamaa na marafi. Nimekuja hapa kwa lengo moja tu, ni hivi ni mara nyingi saaana nimekuwa nikisikia hata kusoma maada mbalimbali zinazo husu ""Tahajudi"" nami nimekuwa na shauku ya kutaka kujifunza juu ya haya mambo, Ni ombi langu kwa mwenye kujua namna ya kufanya Tahajudi anifundishe maana nimekuwa nikisikia inafaida nyingi kimwili, kiakili na hata kiroho.Asante
 
Asante sana mkuu kwa hii elimu maana imenisaidia mengi.

Hivi kuna madhara yoyote kama nikivuta marijuana wakati wa zoezi?
Napenda sana wakati wa hili zoezi nivute kwanza sijui kwanini
Kwa upande wangu mm navutaga kwanza kabla sijaanza na huwa inanipa utulivu wa kutosha nikiwa nafanya meditation.
Nb: nadhani hii unategemea na kichwa cha mtu, cha muhimu ni ku-practice na pale utakapoona inakupa utulivu zaidi basi shikilia hapo hapo
 
Kwa upande wangu mm navutaga kwanza kabla sijaanza na huwa inanipa utulivu wa kutosha nikiwa nafanya meditation.
Nb: nadhani hii unategemea na kichwa cha mtu, cha muhimu ni ku-practice na pale utakapoona inakupa utulivu zaidi basi shikilia hapo hapo
Hata mimi ndio hivo
 
Haya ndo mambo sasa,twende kazi,siyo kila tukifungua jf tunakutana na siasa na lawama tu.bora tuwe tunajifunza mambo mengine
 
Kwenye meditation kutumia kitu kama marijuana ilihali kikiwa kinakusaidia kufikia hali ya self mastery inaruhusiwa. Hasa wale wanaohitaji ku aweken kundalini.
 
Asante sana mkuu kwa hii elimu maana imenisaidia mengi.

Hivi kuna madhara yoyote kama nikivuta marijuana wakati wa zoezi?
Napenda sana wakati wa hili zoezi nivute kwanza sijui kwanini

Dont. Usitumie kilevi cha aina yoyote katika meditation na hakikisha muda mrefu umepiga kama zaidi ya 3 hours hujatumia kilevi chochote.

Meditation inatumika kuiongoza akili. Sio tu kwenye msongo wa mawazo au stress bali hata katika addictions na mashikilio ya raha zitokanazo na vilevi katika kuitafuta furaha.
 
Kwa upande wangu mm navutaga kwanza kabla sijaanza na huwa inanipa utulivu wa kutosha nikiwa nafanya meditation.
Nb: nadhani hii unategemea na kichwa cha mtu, cha muhimu ni ku-practice na pale utakapoona inakupa utulivu zaidi basi shikilia hapo hapo

Hata mimi ndio hivo

Kwenye meditation kutumia kitu kama marijuana ilihali kikiwa kinakusaidia kufikia hali ya self mastery inaruhusiwa. Hasa wale wanaohitaji ku aweken kundalini.

Kufanya meditation kwa kilevi chochote ni kosa na haina progress yoyote. Naturally akili haiitaji substance kutoka nje yako ili uamke au kuamsha kundalini au chakras za kufunuliwa ufahamu. Naturally akili inaweza kufikia hekima ya juu bila kutumia substances yoyote kutoka nje.

Mojawapo ya lengo la meditation ni kujifunza kuidhibiti akili, kuongeza hekima, kuacha addictions na mazoea na pia lengo kuu ni kujifunza kuitafuta furaha bila kutumia milango ya ufahamu. Mara nyingi wanadamu tunatafuta furaha nje yetu kwa kutumia substances ambazo zinatufanya tuwe tegemezi ili kuipata hali fulani au raha fulani.

Meditation inakata hiyo mizizi na kukufunulia happiness within.
 
Asante Mkuu,

Napenda kuuliza pia vipi kuhusu usaidizi wa music [kwa kutumia earphones], Je nako huko ni external influence. Maana mimi hua napata urahisi sana napoweka earphones.
 
Asante Mkuu,

Napenda kuuliza pia vipi kuhusu usaidizi wa music [kwa kutumia earphones], Je nako huko ni external influence. Maana mimi hua napata urahisi sana napoweka earphones.

Hapo kale takribani miaka 7000 iliyopita meditation ilikuwa inafanywa bila kutumia kifaa chochote cha mziki kwa sababu teknolojia haikwepo kama hivi sasa.

Aina ya music iliyokuwa inatumika katika meditation ilikuwa ni kengele ndogo ambayo ilikuwa inapigwa kwa utaratibu maalum na mtu anayefundishwa concentration anaelekeza akili yake kusikia sauti ya kengele ikipigwa na kufuata sauti yake mpaka inapoisha. Kengele inapigwa mara tatu wakati wa kuanza meditation na mara tatu wakati wa kumaliza meditation, ni kama kuandaa akili.

Hivi sasa mabadiliko ya technolojia na uwepo wa watu mbalimbali wanaojitokeza kufundisha meditation wanatoa CD au Audio guides na wengine wanauza kama sehemu ya biashara.

Kwa upande wa wanaofanya meditation toka miaka ya zamani, mpaka leo hawatumii muziki au chombo chochote katika kutumia kufanya meditation.

WHY? kwa sababu my dear friend, mind is a very tricky attribute. Muda mwingi milango yako ya ufahamu inafanya kazi. Macho, masikio, ulimi, pua, na ngozi kila saa tunavitumia kupata taarifa ya nini kinachoendelea nje yetu. Katika meditation una Switch Off milango ya ufahamu na kubakia na akili yako tu. Hii inakusaidia kuitambua nature ya akili yako na wewe binafsi na pia kutenganisha mazoea ya ku define happiness kutoka nje yako.

Hivyo kutumia audio music (relaxation music, new age music) bado hujafunga milango ya ufahamu (sikio) na sometimes kuna hali ya akili kutengeneza hali ya kufikirika kupitia music inayoplay background. Unaweza kulifahamu hilo ukiwa umejaribu kumeditate kwa muda mrefu na audio book.

SO: Njia nzuri fanya meditation bila support yoyote, funga milango ya ufahamu na hakikisha akili ipo timamu na haijaathiriwa na kilevi chochote. Face happiness within bila support kutoka nje yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…