TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

Nasikia pia inasaidia kupiga miti mademu wa kila aina bila kutongoza.
 
Nasikia kwa lucid dream unaweza hata kumpiga busu Beyoncé, rejea uzi wa rakims
 
samahani mwenye groups za Whatsapp zinazohusu mambo ya meditation na lucid dreams please nakuomba uniunganishe.
0676845079
 
Hata mimi nahitaji sana kuunganishwa kwenye group la whatsap lenye mambo haya ya meditetion..namba ni 0656 779 211.
 
Seeking the inner truth, power and reality safi sana keep on meditating
 
Nilikuwa kama wewe miaka miwili iliopita. Nadhani hakuna thread yoyote inayohusu meditation ambayo sikuipitia, tena kwa umakini mkubwa! lakini kila nilipojaribu, wapi niliambulia patupu yaani ilikua ni kukesha macho tuu bila hata kuhisi chochote kile. Nikbmua kuacha kabisaaa. Sasa, siku moja niliamka usiku, at midnight nikajiweka vizuri kwa ajiri ya kufanya meditation (taamuli) nilijihisi na imani sana usiku huo. Nikafumba macho, hapo hapo nikaanza kuona mabadiliko ya ajabu, nilihisi kuna mtu amekaa pembeni yangu, nikawa najikaza japo niliogopa sana, ila sikufumbua macho, mara nahisi makelele mengi, yaani sauti na miungulumo ya ajabu ajabu, mara naona nyota nyingiii na mandhali kama nipo juu angani katikati ya mawe makubwa ajabu, nyota, na mauzauza yasiovumilika, ghafla mwanga mkali ukanipiga machoni, nikashinda kuvumilia nikafumbua macho, uku nikihema kwa nguvu na woga usio kifani, cha ajabu sasa kumbe haikuwa usiku wala nini, nilikuwa nimepitiwa tu na usingizi ndani ya daladala,,abilia wote mimacho kwang
 
Nilikuwa kama wewe miaka miwili iliopita. Nadhani hakuna thread yoyote inayohusu meditation ambayo sikuipitia, tena kwa umakini mkubwa! lakini kila nilipojaribu, wapi niliambulia patupu yaani ilikua ni kukesha macho tuu bila hata kuhisi chochote kile. Nikbmua kuacha kabisaaa. Sasa, siku moja niliamka usiku, at midnight nikajiweka vizuri kwa ajiri ya kufanya meditation (taamuli) nilijihisi na imani sana usiku huo. Nikafumba macho, hapo hapo nikaanza kuona mabadiliko ya ajabu, nilihisi kuna mtu amekaa pembeni yangu, nikawa najikaza japo niliogopa sana, ila sikufumbua macho, mara nahisi makelele mengi, yaani sauti na miungulumo ya ajabu ajabu, mara naona nyota nyingiii na mandhali kama nipo juu angani katikati ya mawe makubwa ajabu, nyota, na mauzauza yasiovumilika, ghafla mwanga mkali ukanipiga machoni, nikashinda kuvumilia nikafumbua macho, uku nikihema kwa nguvu na woga usio kifani, cha ajabu sasa kumbe haikuwa usiku wala nini, nilikuwa nimepitiwa tu na usingizi ndani ya daladala,,abilia wote mimacho kwang
[emoji3] [emoji3] [emoji3] wasi wasi wangu ni kama hukuachia kijambo au udenda maana kuangaliwa sana kuna mistake ulifanya.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] wasi wasi wangu ni kama hukuachia kijambo au udenda maana kuangaliwa sana kuna mistake ulifanya.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] weee jamaa
 
Nahitaji kuwa ktk Group la Whatsaap la Issues za Meditations,namba yangu 0757 68 31 36
 
Meditation ni nini jamani na inafanywaje. Pls nitoeni ujinga. Naona inavitu poa sana
 
Back
Top Bottom