TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

Asante kwa muongozo mkuu, hii kitu nishaanza baadaye ikaanza kunishinda lakini safari hii ni mwanzo mpk mwisho
Ilikuja kunishinda pale kwenye kipengele cha kuactivate third eye
 
Asante kwa muongozo mkuu, hii kitu nishaanza baadaye ikaanza kunishinda lakini safari hii ni mwanzo mpk mwisho
Ilikuja kunishinda pale kwenye kipengele cha kuactivate third eye
 
There have been scientific studies on meditation. Brain waves have been measured in alfa and lower range during deep stages of meditation. Our body also is bioelectric entity. It is constituted and enveloped by bioelectric and magnetic field which has since some time been seen by kirlian photography. The electromagnetic field of our body is conditioned by the status of our physical body and emotions and vice versa. Linkage of meditation with religion is on the basis that the ultimate goal of individual person or society is happiness, bliss, harmony, creativity, etc. It is for this reason that the images of Shiv, Mahavir, Buddha, Jesus all depict meditative pose. Meditation is part of ancient science. If we look at archaeological rock forms of human beings, there also we find the same pose, though mainstream literature would disregard these aspects and concentrate on the primitive status of man then. But in reality, to say that ancient man was an uncivilized creature of jungle would be a fallacy.
 
Neno Tahajudi ni la kiswahili naamini lina maneno mengne yanayoleta maana hyo hyo ya tahajudi(meditation) neno kama taamuli
 
Mtambuzi

Kwanza kabisa sikubaliani na wewe kuwa neno tahajudi limetokana na neno "meditation". Labda ungeandika kuwa neno tahajudi maana yake Kingereza ni "meditation" hapo ningejaribu kukuelewa ingawa neno "meditation" halimaanishi maana halisi ya neno tahajudi.

Neno tahajudi ni neno la lugha ya Kiarabu na hutamkwa "tahajud" na si tahajudi.

Neno tahajud linatokana na neno jihad au kujitahidi.

Hiyo ni kwa kifupi tu. Kwa kirefu zaidi nikipata wasaa na nikiwa kwenye kompyuta nnaweza kuliezea zaidi, lakini kwa sasa mniwie radhi kwani nnatumia simu kuandika.
Tahajud sio jihad ila ni kisimamo au kukaa kwa kipindi kirefu kumuomba allah hasa ktk mwez wa ramadhan kumi la mwisho huwa kuna mkesha wa kusali na husimama kwa kipindi kirefu zaidi tofauti na kusali kawaida
 
Tahajud sio jihad ila ni kisimamo au kukaa kwa kipindi kirefu kumuomba allah hasa ktk mwez wa ramadhan kumi la mwisho huwa kuna mkesha wa kusali na husimama kwa kipindi kirefu zaidi tofauti na kusali kawaida

Nisome vizuri labda utanielewa.

Sikusema maana yake ni Jihad, nimesema, linatokana na neno Jihad (jitihada).

Kisimamo cha usiku huwezi kukifanya bila kujitahidi. Kumbuka hilo.
 
Natumai wanna jukwaa mpo poa na mnazid kupambana na changamoto za" Hapa kazi Tu"

Bila kutumia maneno zaidi, Nakiri kuwa mfwatiliaji mzuri wa mada za members wa jf hasa za akina, mshana, Lara 1, mzizi mkavu, galadudu, anael, na wengine wengi...

Katika uzi wa zaman kidogo baadhi walifafanua kiundani sana kuhusu Meditation na mimi nikawa mwanafunzi mzuri wa kusoma thread zao kisha nafanya Practice.

Ukweli nilianza kuhisi utofauti katika mfumo wangu wa maisha, japo mwanzo nilikua napata illusion" taswira sizizoeleweka hata kama sifanyi meditation" kuna picha fulan ya jicho ilikua inanijia ndani ya ubongo wangu kwa siku mbili.

Hali hiyo ilitoweka nilipunguza muda wa meditation kutoka lisaa moja kwa siku mpaka nusu saa, ilifika kipindi nakuwa napenda sana kufanya meditation na kusikiliza audio za "binural beats" Ni ndani ya kipind kifupi sana lakini mipango yangu ya kimaisha na maendeleo ikaanza kukaa vizuri, nikaanza kupendwa sana na jamii, nikitaman kitu nakipata ama nikiwaza basi inayokea hivo hivyo nikaanza kupata uoga na kujihisi nimeanza kupata power za tofauti.

Siku zilivozid sababu ya kulewa na kawaida ukinywa pombe hupaswi kufanya Meditation basi nikawa navusha siku 2 ndio nafanya, ikaenda suku 3 wiki mara moja had mwez mara moja, au 3 mambo yangu hayakuwa kama mwanzoni sijui kwa nini??? Kuna wakat ukizama kwa meditation unaskia furaha sana sijui kama nin labda niseme unapata aman ya akili zaidi. Sasa naona akili yangu inaanza kupenda tena kuanza kufanya meditation" kuwa huru" naomba members ambao wamewah kufanya meditation kama inavotakikana wanielekeze

2. Naomba kujua kama kuna meditation iliyo mbaya
3. Mafanikio waliyoyapata baada ya meditation na hasara pia kama zipo
4. Kama kuna madhara ya kuacha au kutokufanya kwa wakat ama kilasiku
5. Je kunautofaut kwa Mtu anaefanya Mara chache mf . Mara moja au 2 kwa wiki na anaefanya kila Siku.

Nisiwachoshe kwa sasa naomba niishie Hapo.
 
Mimi ndio nimeanza sikuza karibuni sana bado sija izoelea na bado sijaweza kuifanya vyema.Nakila nikifanya huwa nina ona maruweruwe, na pia kizunguzungu. Paka sasa sija ona mafanikio kwa macho yangu zaidi yaku soma kwenye mitandao. Natumaini uzi wako uta leta majibu yatakayo nifaa namimi. Tuwasubirie wadau.
 
Hivi hizo meditation sio against na Mungu kweli? mshana jr ni mkweli unaweza kusema kitu hapa
 
hio kitu ni nzuri sana kuna kipindi nilifululiza kufanya aisee mpaka nikaogopa coz kuna vitu vingi unaweza kuvicontro kupitia hio kitu ila kwa sasa nimeacha kutokana na mazingira niliopo
 
swali 3 jibu:
a. husaidia kuongeza umakini, kwa kuweka akili yako katika eneo moja, kama vile kuvuta pumzi ndani na nje, hii huwa ni ngumu awali maana akili huama sehemu moja kwenda nyingine, lakini kwa kurudia rudia unaweza kuweka akili yako sehemu moja, hapa sasa wapaswa uwe mtu wa mawazo chanya maana unakua na nguvu ya umakini na kuumba kitu kutokana na mawazo yako.

b. hucontroll hasira na mengineyo, ukikomaa nayo unaweza hata kuacha mambo mabaya vilevile ni nzuri kwa afya..kukuweka mbali na mashinikizo ya damu.

c. subiri wataalam wengine walete faida zingine😉
 
hio kitu ni nzuri sana kuna kipindi nilifululiza kufanya aisee mpaka nikaogopa coz kuna vitu vingi unaweza kuvicontro kupitia hio kitu ila kwa sasa nimeacha kutokana na mazingira niliopo
Hapo kwene point ya kuweza ku control mambo yaliyopo nje ya uwezo wako nakusapport sana mkuu. Mim nina nakumbuka kulikuwa kuna viwanja vunauzwa nikawa nimekwenda na mama mmoja bahati nzuri tukakuta vimebakia viwanja2 tu basi ikabidi tukubaliane kila mtu atachukua kiwanja kimoja tukapanga siku ya kukutana na muuzaji kwa ajili ya malipo na kuandikishana baada ya kurud nyumbani nikawa nawaza mwenyewe kwamba ingetokea nikapata vile viwanja vyote 2 ningepiga bingo lakini huku najua kwamba haitowezekana hiko kipind nilikuwa nafanya sana meditation. Cha kushangaza ilipofika Siku ya kwenda kufanya malipo yule mama akanipigia simu asubuh na kuniambia yeye hatochukua tena bali nivichukue mimi moyoni nikafurah lakini nikamuuliza kulikoni akanijibu kuwa amebadilisha mawazo na angependa nivichukue tu mim nikamwambia mama ni kweli viwanja vipo sehemu nzuri ila sikua nimejiandaa kifeza kuvinunua vyote 2. Akanijibu usijali nitakukopesha fedha ya kununulia, sikuamini na sijui kwa nin alibadili mawazo.

2. Kuna siku ofisini kwetu kulikuwa kunahitajika members 3 waende field kwa ajili ya kukusanya data, mim jina langu halikuako kwenye list baada ya kujitambua kwamba nina power za tofauti niliporud nyumban nikafanya guided meditation zile za kudownload binafsi nilikua napenda kuchanganya meditation ya kuvuta pumzi pamoja na iyo ya sauti " guided one" asubuh pia nikafanya ilipofika majira ya sa 3 asubuh wale members 3 wanaitwa kwa ajili ya kupokea check " field allowance" nikashangaa kuona napigiwa simu na secretary na kuambiwa boss kaagiza nahitajika nikachukue hundi yangu na napaswa kujianda kwenda field kesho yake. Naskitika kuacha meditation bila kujijua,
Pia katika kufanya meditation kuna state ambazo nazifikiaga mara chache mfano katika siku 7 za kufanya meditation mara 2 au 3 ndio nafikia iyo state ya kutengana na dunia kimawazo " free mind" nazama deep ulimwengu mwingine: Hapo huwa sielewi vizuri sababu naweza Fanya meditation ndan ya dakika 5 nikawa tayar nimezama deeply huwa napenda sana kufikia iyo state unapata furaha ambayo haipo duniani " total free mind & stress zone" kabla sijafikia iyo hali " state" huwa naskia kitu kama mtetemo " vibration" kutokea ncha ya kidole gumba mguuni kupanda juu unapofika katika paji la uso macho huona kama Giza " tambua hapo tayari nakua nimefumba macho" baada ya hapo ndio nazama/ potea ulimwengu wa mawazo
 
Hapo kwene point ya kuweza ku control mambo yaliyopo nje ya uwezo wako nakusapport sana mkuu. Mim nina nakumbuka kulikuwa kuna viwanja vunauzwa nikawa nimekwenda na mama mmoja bahati nzuri tukakuta vimebakia viwanja2 tu basi ikabidi tukubaliane kila mtu atachukua kiwanja kimoja tukapanga siku ya kukutana na muuzaji kwa ajili ya malipo na kuandikishana baada ya kurud nyumbani nikawa nawaza mwenyewe kwamba ingetokea nikapata vile viwanja vyote 2 ningepiga bingo lakini huku najua kwamba haitowezekana hiko kipind nilikuwa nafanya sana meditation. Cha kushangaza ilipofika Siku ya kwenda kufanya malipo yule mama akanipigia simu asubuh na kuniambia yeye hatochukua tena bali nivichukue mimi moyoni nikafurah lakini nikamuuliza kulikoni akanijibu kuwa amebadilisha mawazo na angependa nivichukue tu mim nikamwambia mama ni kweli viwanja vipo sehemu nzuri ila sikua nimejiandaa kifeza kuvinunua vyote 2. Akanijibu usijali nitakukopesha fedha ya kununulia, sikuamini na sijui kwa nin alibadili mawazo.

2. Kuna siku ofisini kwetu kulikuwa kunahitajika members 3 waende field kwa ajili ya kukusanya data, mim jina langu halikuako kwenye list baada ya kujitambua kwamba nina power za tofauti niliporud nyumban nikafanya guided meditation zile za kudownload binafsi nilikua napenda kuchanganya meditation ya kuvuta pumzi pamoja na iyo ya sauti " guided one" asubuh pia nikafanya ilipofika majira ya sa 3 asubuh wale members 3 wanaitwa kwa ajili ya kupokea check " field allowance" nikashangaa kuona napigiwa simu na secretary na kuambiwa boss kaagiza nahitajika nikachukue hundi yangu na napaswa kujianda kwenda field kesho yake. Naskitika kuacha meditation bila kujijua,
Pia katika kufanya meditation kuna state ambazo nazifikiaga mara chache mfano katika siku 7 za kufanya meditation mara 2 au 3 ndio nafikia iyo state ya kutengana na dunia kimawazo " free mind" nazama deep ulimwengu mwingine: Hapo huwa sielewi vizuri sababu naweza Fanya meditation ndan ya dakika 5 nikawa tayar nimezama deeply huwa napenda sana kufikia iyo state unapata furaha ambayo haipo duniani " total free mind & stress zone" kabla sijafikia iyo hali " state" huwa naskia kitu kama mtetemo " vibration" kutokea ncha ya kidole gumba mguuni kupanda juu unapofika katika paji la uso macho huona kama Giza " tambua hapo tayari nakua nimefumba macho" baada ya hapo ndio nazama/ potea ulimwengu wa mawazo
Like attracts like. What you think you become, you create your own reality. Unaambiwa just believe in whatever you want so much that it has no choice but to materialize. Yaani hupaswi kuumiza kichwa vitakujaje ww amini unacho. Thought is a reality that hasn't manifested into real thing! If we project our thoughts they become material things!!![emoji4]
 
Back
Top Bottom