TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia

" Mungu akasema, na tumfanye mtu kwa mfano wetu , kwa sura yetu, akatawale samaki wa baharini na vyote vitambaavyo ardhini " MWANZO 1:26

Tuna nguvu za kiungu ndani yetu, kwa kuwa tumeumbwa kwa mfano wake




Sent from my iPhone using JamiiForums

Una nguvu ipi ya Kiungu wewe ?
Usikimbie Swali na kujifanya hujaelewa.

Suala la Mungu kuumba binaadamu kwa mfano wake linahusika vipi na Nguvu za Mungu?

Mungu anaadhibu kwa Moto wa jahannamu Waovu na kuwalipa watu wema pepo.
Mungu anaumba Na Kutoa roho.
Nakuuliza Yesu km ana uwezo wa kuyafanya hayo?
Na km Jibu ni Ndio Nipe Andiko kuwa Yesu aliwahi kutamka kuwa yeye ni MUNGU.
Au wapi Yesu alisema ataadhibu waovu na kuwalipa Wema!
Acheni kumsingizi Yesu mambo ambayo yeye mwenyewe hakutamka
Mtapigwa laana ya milele.
 
Hizi mambo naweza kujifunza vip maana kwakusoma nikifatisha nitakosea
 


 
Mungu akubarki sana kwa hili darasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barikiwa sana kiongoz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Meditation :ni kitendo cha uzingativu wa akili kuwa sehemu moja
Faida za meditation:
1.meditation ina ongeza uwezo wa akili ikiwa inafanywa kila siku
2. Meditation ina ongeza furaha na amani ndani ya nafsi
3.pia meditation endapo ikifanywa kila siku ,inafungua natural power za mtu anaye fanyaa
4. Meditation ina saidia katika mfumo wa upumuaji
5. Meditation ina kupa uwezo wa kuongea na nafsi yako
6.meditation ujianini kuongea mbele za watu ,mfano kwenye mikutano ,siasa,nk.
7. Meditation inakupa nafasi na kuheshimu kila kitu chenye uhai

Mambo ya kuzingatia wakati wa kufanya meditation
1.taafuta sehemu tulivu isiyo na makelele

2.Oga ,vaa nguo nyepesi na zisizo bana,hii inasaidia kuondoa nuwasho kwenye mwili .
3. Imani ya kuwa unaweza kufanya meditation
4. Vuta punzi ndefu na kutoa taratibu hii inakusaidia kuondoa uwoga na kuweza u bongo upate oxygen ya kutosha.
5.Kaa mfumo wa budhaa ,au lala chali,au kaa kwenye stuli hakiki haumii sehemu yoyote 5.legeza misuli na mwili kiujumla
6. Weka akili yako kwenye pumzi inayo ingia na kutoka
7. Hakikisha unafanya meditation ndani muda wa dakika 10 hadi 15
8. Hakikisha usifikilie chochote za ya punziiii
 

Navutiwa sana na huu Uzi, niliwai kuwaona jamaa pale coco beach Lakin skujua kiundani Leo nmepata picha kwa ukubwa sana
 
Kwani hata hawa ma-prophet tunaowaona wanazuka siku hizi na kutenda miujiza nawao walipitia huko?
 
Asante mkuu
 
Ikawaje?
 
Tahajudi (Meditation) ni mmoja wa sehemu nane za Patanjali Yog. Pia inajulikana kwa maneno Ashtang Yog. Hizo sehemu nane ni kama ifuatavyo: Yam, Niyam, Asan, Pranayam, Pratyahar, Dharana, Dhyan, Samadhi. Tahajudi ni kama Pratyahar ikiendelea kwenye stages zifuatazo, kufika kwenye stage ya mwisho Samadhi.
 

Ningependa kujuzwa zaid kuhusiana na hizi zote
 

Ningependa kujuzwa zaid kuhusiana na hizi zote
 
Unaposema furaha na amani ni utajir,nakataana na ww...utajir ni ukwasi.full stop,hamna tafsir nyngne
 

Naja pm
 

Nashindwa kuja pm em naomba uje ili nipate huo wasaa
 
Inaonekana hii kitu ni nzuri saana ila sasa jinsi ya kufanikiwa kuifanya ndo changamoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…